halafu yako malaini mkuu, huwa unapaka nini?SEREKA si ndiyo mkuu? Wataiona nchi yao chungu maana wameanza kutushika makalio hawa.
halafu yako malaini mkuu, huwa unapaka nini?SEREKA si ndiyo mkuu? Wataiona nchi yao chungu maana wameanza kutushika makalio hawa.
hueleweki, shule muhimu mgalatiaJibu hojasiyo maandishi!
Hakuna vita hapa,wakristo tumekua wapole sana,siku tukiamua ni kuwachalaza viboko waisam,mkiona mnaonewa mnaweza kuihama nchi kama seleka na wafuasi wao pale wakristo walipoamua kuwaadhibu .Naiona vita ya kidini ikilinyemelea taifa hili....
Mchumba, leo unadaikuwa ya waislamuyananihusu nini? Kesho serikaliikishakubali kuiendesha mahakama yenu, mambo yatakuwa kama hivi!:-
Mahakama nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmojaanayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo.Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag, ambaye babake nimuisilamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja na kufanya zinaa kwakuolewa na mwanamume mkristo , kitu ambacho dini ya kiisilamu imeharamisha kwawanawake.Mariam mwenye umri wa miaka 28 pia ni mjamzito na ataadhabiwakwa kuchapwa mijeledi miamoja kwa kosa la zinaa.Maafisa wakuu wanasema kuwa licha ya Mariam kulelewa kwa njiaya kikristo yeye bado ni muisilamu kwa sababu hiyo ndiyo dini ya babake.Alipewa siku tatu baada ya kuhukumiwa aweze kurejea katikadini ya kiisilamu lakini akakataa na ndio maana adhabu ikasalia.Kwa kawaida wanawake waisilamu hawaruhusiwi kuolewa nawanaume wakristo ingawa wanaume waisilamu wanaruhusiwa kuwaoa wanawakewakristo.Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu AmnestyInternational linasema kuwa Bi Ishag alilelewa kama Mkristo muorthodoxi kwasababu babake hakuwepo naye maishani mwake.
Ni kweli ni nzuri. Kama ipo na inatambulika sasa mnataka nini? au mnataka bunge lijadili nini?
Tatizo ni nyinyi makafiri mnapinga.
Pili pili siyo zenuu.
Zawashia nin??
Enyi wagalatia msio na akili.
Mkuu hii umeipata wapi?Nchi haina dini, Saudi Arabia yenyewe serkali haigharamii mahakama ya kadhi japo ni nchi ya kiislam ndo ije kwetu Tanzania?
Hivi wewe mahakama ya kadhi inakuhusu nini? sisi kama tuko nyuma si ndiyo furaha kwako au siyo? sasa kinakuuma nini kuwa kwetu nyuma? sisi tunapenda tuwe nyuma, wewe endelea kuwa mbele, kinakuuma nini?
jk si kasema hukuna mahakama ya kadhi sasa semina za nini?
Hawa viumbe wa ajabu sana hawajui hata wanachopinga.Sikiliza kijana unachanganya sana mada.
Mahakama ya kadhi Tanzania, ni limited kwa sheria zinazohusiana, na ndoa, talaka na mirathi na hazihusiani kabisa na sharia za "criminal" au 'sexual offenses".
Mambo ya Sudan waachie wa Sudan.
hali si o mby ila hawa wakirsto washenzi sn wanapinga kitu ambacho wingereza Italy wanakikubali kwenye katiba zao
jk si kasema hukuna mahakama ya kadhi sasa semina za nini?
hivi ndivo mtakavyotendwa.siku mme wako akuingilie kinyume na maumbile halafu ukileta noma anawahi mahakana ya kadhi .kwa mujibu wa sharia za dini anahaki ya kukufanyi hivyo hiyo ni suna .anachotakiwa kwa mujibu wa sharia za dini ni kuuosha dhakari na kupiga janabaa.na wewe hutakiwi kushtaki
jk si kasema hukuna mahakama ya kadhi sasa semina za nini?
Ushoga ulipitishwa na Kanisa, na wewe unajua!
Kwa hili nawalaumu sana viongozi wetu, hapakuwa na sababu kabisa ya kutufikisha kwenye mijadala ya hovyo hovyo hii ya kidini. Wanasiasa mkikosa hoja mpumzike muwaachie wenye hoja kuliko kutaka shortcut ambayo inaanza kutugawa kiimani.