Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

hali si o mby ila hawa wakirsto washenzi sn wanapinga kitu ambacho wingereza Italy wanakikubali kwenye katiba zao

Uuuuuuuwiiiii!
Assad mbona mitusi tena kaka? Christians zao kimyamya kaka. No mikelele wala mitusi but the mision and goal must be met.
 
Hakuna mtu mwenye chuki, waislamu ni ndugu zetu wa damu na marafiki wa kweli. Kwa nini serikali isiyo na dini itambue sheria za dini. Dini ni ya Mungu sasa mnamuabudu Mungu au serikali? Na kama mnamuabudu Mungu kwanini serikali ndiye atambue sheria zenu?
Hatumung'unyi maneno kila nchi iliyojichanganya kuingiza dini Kwenye shughuli zake iliishia pabaya .na hili pinda litamhukumu . Wakisimama bado mapema wadeclare interest za watanzania Kuwa serikali haina dini hakuna atakaewalaumu. Lazima tutambue wote Kuwa serikali yetu haina dini -​mwalimu alisema bila kuuma midomo
 
Inaonekana unachuki kubwa tena ya moyoni dhidi ya uisilam. Hiyo habari ilirushwa kipekee sana kwako kuliko kwa wengine?
Kuna mdau kaitoa habari kama ilivotolewa na ITV na binafsi nieaangalia habari ITV HAKUNA mahali wameaema wabunge 'waisilamu' wewe hiyo habri umetoa wapi?
Jafu kajenga hoja tu na Machali naye nimemuona tena akiwa anaongea huku akitoka nje( ambayo kwangu bado sidhani kama ni vurugu sana) ila pia Anna Makinda alimuonya Machali kwa kuwa na fujo zake anazofanyaga, sasa hapo hao waisilam walofanya fujo wakinani?
Ndugu zangu kukimbilia kuanzisha mada za chuki tu kila wakati SIO SIFA na hazitusaidie.
Wenye mtizamo bora, ojective na wanaothamini dini za wengine wantakiwa kuja na maswali magumu yanayolenga namna ya kuondoa huu mpasuko unaozuka hapa bila sababu za msingi
mkuu hakika kama taifa sasa tunahitaji busara zaidi kuliko jazba. Leo nimemsikiliza yule sheikh ambaye huwa anaendesha kipindi cha Al Risala. Ameelezea vizuri suala hili kwenye utangulizi wa kipindi chake.

Sisi wa upande mwingine tunapata tabu tunapoambiwa kwamba Mahakama ya Kadhi ni ibada kama ilivyo Hijja, Swalat Jumaa na swala zingine, Mfungo wa Ramadhan, kuchinja, nk. Sasa kama Mahakama ya Kadhi ni ibada kwa nini suala la ibada liingie kwenye sheria za dola? Kama ni ibada si limalizikie huko huko kama ibada zingine? Mbona hijja, ramadhan, swala, nk havipo kwenye sheria za dola?
 
Waislaam wabaki na sheria zao kuzifuata kwa hiari yao. Haiwezekani bunge kukubali sheria zinazopingana na haki za binaadamu kama vile talaka na mirathi ya kiislaam. Kuna mgongano kati ya sheria za kiislaam na haki zinazotolewa na sheria zingine. Haifai kuwa na mifumo miwili ya sheria kwa nchi moja. Kwa desturi ya uislaam wanawake watatishwa na kutengwa ikiwa watasita kudai haki yao kupitia mahakama za kadhi ambapo sheria inawakandamiza.
 
Mahakama ya kadhi ipo na inafanya kazi mwenye kutaka kulithibitisha hilo aende Bakwata makao makuu Kinondoni.Wanachotaka waislam ni kutambulika kikatiba dhidi ya maamuzi na hukumu zinazotolewa juu ya masuala yanayohusu mirathi,ndoa na mali za wakfu .Kwa Mfano leo kesi inaenda kwa kadhi inatolewa hukumu (kwa mujibu ya matakwa ya dini ya kiislam) halafu mahakama ya serikali inatengua.
Waislam wanachodai ni kutambulika si jinsi ya kuindesha au kuwahukumu wasiokuwa waislam.Ni hilo tu wasomi wa kikristo wanashindwa kulielewa.

Sasa huyo muislam anaye hukumiwa na kadhi asikubali akimbilie mahakama za serikali atakuwa bado ni muislam kwa imani na kwa maana halisi ya usilamu?

Hata kama mahakana ya serikali ikiitengua hukumu, je huko kwa Mungu nako hukumu itatenguliwa kama ni ya haki?

Kama ndio mnataka kulazimishia hukumu za dunia hii, jehanamu itakuwa na kazi gani? au akiachiwa na mahakama za serikali ndio ameachiwa na hukumu ya jehanamu? Kwanini mnataka kumsaidia Mungu wenu kazi zake?
 
Hali hii imetokea kwenye semina ya kujadili Mahakama ya Kadhi kwenye kamati za bunge.

Ilikuwa ni mpambano wa Wakristu na Waislamu, Waislamu wakaleta vitisho ikabidi waingie FFU kudhibiti vurugu .

Akiitimisha Mizengo Pinda amesema atawasiliana na Rais amshauri wafanyaje maana hali ni mbaya. Kuna dalili nchi kumeguka.

Chanzo: ITV

Weka basi mbunge yupi amesema lipi maana sio kila mmoja wetu anaweza kuangalia ITV et al!!
 
hah hah hah hah hii mada imewagawa mpaka buku 7...

Ndio utagundua mkuu siasa za bongo zinashabikiwa na wenye njaa...

Majitu ya Lumumba yashasahau msimamo wa chama chao ni kupenyeza hii kitu ya kadhi katika katiba...
 
Tupe darasa imemkomboa kivipi? Akipewa talaka anaondoka na begi tu hata kama wamechuma pamoja mali zilizopo?

Hapo ndipo usipoujuwa Uislam, kwanza kabisa, mwanamke akishakuwa na watoto tu, basi hata kama nyumba ni yako, unaondoka wewe, mpaka watoto wakuwe (balehe) au aolewe na mume mwingine. Kumbuka hilo.

Ya kuchuma pamoja Uislam umehimiza maandikiano ya mikataba yenu (hii ipo kwenye Qur'an) si kukubaliana tu kisha kudhulumiana, kila mmoja aandike mali zake na mkiwa partners kila mmoja apate haki yake akiwa hai na si mpaka mmoja afe - kumbuka hilo pia.

Urithi kwa Waislam ni kitu kingine na mali za kuchuma pamoja ni kitu kingine. Hapo ndipo mnapowadanganya wake zenu, kuwa tunachuma pamoja, katika Uislam kama mnachuma pamoja mgawane kama biashara nyingine yoyote ile mkiwa hai, kila mtu anachukuwa haki yake na kuifanyia apendacho akiwa hai. Si kungoja mmoja kafa mwengine akombe zote.

Unaona raha ya sharia hiyo?
 
Wabunge wakiristo nawashangaa sana!eti KENYA UGANDA MSUMBIJI ,UK S.AFRICA ata hapa ZENJI ipo,walioleta ukiristo na waliotutawala waliruhusu,sisi tunajifanya tuna akili
 
hakuna mtu mwenye chuki, waislamu ni ndugu zetu wa damu na marafiki wa kweli. Kwa nini serikali isiyo na dini itambue sheria za dini. Dini ni ya mungu sasa mnamuabudu mungu au serikali? Na kama mnamuabudu mungu kwanini serikali ndiye atambue sheria zenu?

ni kweli kabisa, tunawapenda sana hawa ndugu zetu. Ninavyo waona najua uislamu ni upendo, utu, furaha, amani, uislamu ni haupendi maovu, wanapenda sana watoto, wanawake, wazee. Mashehe wengi wana kauli nzuri sana.

Tunawapenda sana, tunawapenda saaaaaanaa ni watu wenye utu. Nikitaka kuku au mbuzi nawapelekea kuchinja. Na hawa ndugu tunasaidiana kwa mengi. Hata nikiishiwa na damu wanajitokeza kwa wingi kunisaidia bila ya chuki. Wao ni mimi na mimi ni wao.
 
mpuuz sana wewe mnamke!!!

Hapondo naelewa jinsi gani waislamu msivyojiamini katika dini yenu. Ndiyo maana mkonyuma kwa kila kitu. Ndiyo maana mnabakia kulalamika tu! Kwa sababu hamnacreativity!Mnangojea kila kitumfanyiwe! Hocus Pocus!Mbona wakristowana mahakama zao ambazo zinakubalikakitaifa ila zinatumika ndani ya kanisa? Kwa nini utake sharia za kiislamu zitazotumika zikubalikeKitaifa? Kitaifa kwa misingi ipi?Sheriahizi ni za kwenu waislamu… mkitaka kukata mikono mnapoibiana, haya ni mambo yakwenu si ya taifa. Mkitaka kupiganamawemnapokamatana ugoni hayo ni mambo yenu waislamu si ya kitaifa! Fanyeni mnavyotaka.Msistake kujustify hukumu zenu eti zimetambuliwa kitaifa… hili ni Big Nooooo!Wajibu wa Serikali ni kuwaruhusu muundemahakama zenu na mzisimamie wenyewe kwa gharama zetu kama wakristo wanavyofanyakwenye mahakama zao, na kama Serikali inavyosimamia mahakama zake! Serikali yaTanzania itasimamia mahakama ngapi….? Au mnapohukumu kukatana mikono… serikaliya Tanzania itakwepaje lawama hizo, ikiwa serikali yenyewe ndiyo inayoziendeshamahakama za kiislamu?

ewe mgalatia usiokuwa na akili, ni nani aliyekuroga hata kuandika hujui?
 
Mkuuusituletee hoja za kipuuzi puuzi hapa. Huyo baba yako wa kambo kukusomeshaisiwe issue. Alifanya hivyo ili kumpendezesha mama yako ili azidi kumpa ile kitu katikati ya mapaja.Huu si uzuri wa dini ya kiislamu. Hoja hapa ni mahakama ya kadhi waianzishewaislamu wenyewe misikitini kwao! Wasitake Serikali ya watanzania wote katika Imani tofautiu na zadini iigharamie mahakama hiyo! Hili haliwezekani Tanzania

Huyo dogo mjinga sana,alisomeshwa ili mama yake afurahi awe anampa msela kitumbua bila shida. haya ndio matatizo ya mtu kushuhudia ndoa ya mama yake akiolewa na mwanaume mwingine tofauti na baba yake. jamaa anashangilia kabisa mama yake kuolewa na mwanaume mwingine ambae atakua anamsomesha,jinga sana.
 
Back
Top Bottom