Amejaaa tele Askofu wa watu... nilidanganywa kuwa hayupo nikasema ngoja niende kanisani kwakwe nithibitishe.... daaah kweli wtz ni wazushi sana jamaaa yupo tele kanisani kwakwe.... wewe fanya kwenda leo pale utajua kama yupo au la usisikie maneno ya watu kajithibitishie mwenyewe....Jamani huyu mtu aitwaye Kakobe yuko hapa nchini???
Aliyekuwa na interest na kesi hiyo ameondoka
Hiyo kesi angeshika Jaji mmoja ingekuwa imekwisha siku nyingi na wala hakuna kesi hapo ila ni kweli kuna maelekezo ya WakubwaHata kama aliyekuwa na interest ameondoka still inaonyesha vyombo vyetu vya sheria haviko huru vinafuata Mihemko ya wakubwa.Kwa kipindi chote hicho lazima kuna kipengele sheria inasemaje!!Ni haya haya mtu anakamatwa na kielelezo lakini kesi inachukua miaka kwisha na ni hayahaya yanayotokea Arusha leo kesi ina dhamana kwa manufaa ya wakubwa kesi inazungushwa na kuwekewa figisufigisu nyingi ili tu wakubwa wafurahi!!!
Kwani wewe una fikiri yuko wapi?Ni mtumishi wangazi ya juu mno ndiyo maana humuoniJamani huyu mtu aitwaye Kakobe yuko hapa nchini???
Kulikuwa na ushauri wa bure kuwa mtumishi wa Mungu kama Kakobe usi jaribu kufikiri utapambana naye kwa uongo na kufanikiwaPale uongo unapokwama kupanda mlima.
Patrick alisha iacha imani,ndiyo kuanza vituko namna hiiPale uongo unapokwama kupanda mlima.