Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Habari wana JF?
Nina mdogo wangu amepata post ya kazi mkoani Tanga baada ya safari ndefu ya kusaka elimu. Ni mwaka na miezi sasa imepita tangu aende kuanza maisha hayo ya kujitegemea.
Hivi majuzi alinitembelea kwangu kwa mapumziko, na katika kupiga piga stori alinipa story ya issue inayomsumbua.
Ana mpenzi kampata huko Tanga, anampenda saana Ila tu tatizo la huyu binti ni kwamba, wanapokuwa kwenye majambozi kunako bed, huyu binti hawezi kuenjoy bila kumsokomeza dole la kati dogo.
Hapo namaanisha kuwa, yule binti huwa anamuingizia dole sehemu za haja kubwa huyu mdogo wangu wakati wanapofanya mapenzi na amejaribu kumuonya lakini inashindikana kwani binti akinogewa tu hujikuta kafanya hivyo.
Binti anadai ndivyo alivyofunzwa katika maswala ya ndoa ili kumstarehesha mwanaume na ameshazoea coz wanaume wote aliowahi kumeet nao amekuwa akifanya hivyo na hawalalamiki kama yeye na anamshangaa sana.
Mimi binafsi nilikuwa najua wanaofanywa hivi ni mashoga but hii ni mupya sana kwangu.
Hebu tumshauri na tuzungumzie aina hii ya mapenzi niliyoisikia kwa mara ya kwanza, inakubalika kweli?
Thanx sana
Nina mdogo wangu amepata post ya kazi mkoani Tanga baada ya safari ndefu ya kusaka elimu. Ni mwaka na miezi sasa imepita tangu aende kuanza maisha hayo ya kujitegemea.
Hivi majuzi alinitembelea kwangu kwa mapumziko, na katika kupiga piga stori alinipa story ya issue inayomsumbua.
Ana mpenzi kampata huko Tanga, anampenda saana Ila tu tatizo la huyu binti ni kwamba, wanapokuwa kwenye majambozi kunako bed, huyu binti hawezi kuenjoy bila kumsokomeza dole la kati dogo.
Hapo namaanisha kuwa, yule binti huwa anamuingizia dole sehemu za haja kubwa huyu mdogo wangu wakati wanapofanya mapenzi na amejaribu kumuonya lakini inashindikana kwani binti akinogewa tu hujikuta kafanya hivyo.
Binti anadai ndivyo alivyofunzwa katika maswala ya ndoa ili kumstarehesha mwanaume na ameshazoea coz wanaume wote aliowahi kumeet nao amekuwa akifanya hivyo na hawalalamiki kama yeye na anamshangaa sana.
Mimi binafsi nilikuwa najua wanaofanywa hivi ni mashoga but hii ni mupya sana kwangu.
Hebu tumshauri na tuzungumzie aina hii ya mapenzi niliyoisikia kwa mara ya kwanza, inakubalika kweli?
Thanx sana