The_future
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 215
- 162
Kwa nini haumalizii alivyosema?Katoa statement hii akiwa Singida - Sherehe za CCM. Hii JPM amepitiwa? au ndivyo inavyokusudiwa kuwa!
Kasema, ni marufuku kwa sababu watatekeleza ilani yao na kuwafanya watu wasitake kuchagua vyama vingine.