Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Alihutubia kama mwanachama nadhani na sio raisKwani alihutubia kama nani? I hope alihutubia kama mwanachama! Ila kama alihutubia kama raisi basi akajitazame upya kwenye kioo!
Alihutubia kama mwanachama nadhani na sio raisKwani alihutubia kama nani? I hope alihutubia kama mwanachama! Ila kama alihutubia kama raisi basi akajitazame upya kwenye kioo!
Kwa hiyo unaona fahari kwa kitendo cha polisisiem kuwadhalilisha mama zetu?Na hasa kwa wapinzani aina ya kina Kubenea wanaokwenda kuchungulia shanga badala ya kujadili matatizo ya waliowatuma
Ccm ni mijizi ya kura na mijizi ya raslimali ya nchi hiiiCCM SIO ya watz ni kikundi cxha wezi wachache wapiga dili na kuhujumu rasilimali za watz
iko hivyo mkuuuCcm ni mijizi ya kura na mijizi ya raslimali ya nchi hiii
Tena ni bure hasa. Huko tunakoenda ni giza tupu! Rais alikuwa Nyerere tu!Hili jamaa nalo bure tu!
Huo ndio ukweli...rais Magufuri anamaanisha kuwa atatekeleza vizuri ilani yakevna vyama vya upinzani umaarufu wake utaporomoka kwa kasi...Kama kila rais atakuwa kama Magufuli
Kweli upinzani hii nchi wataisikilizia tu radioni.
vitajifuta vyenyewe kama azma yao pekee ni kwenda ikulu.Sasa si mfute tu vyama vingi mbaki wenyewe?
Kule zanzibar mmeachiwa nchi na cuf na bado mnalia lia badala ya kufurahia ushindi wa mezani.
Mkuu umeua maana umemaliza kila kituUnataka kuweka picha kama vile CCM inamilikiwa na mtu binafsi au familia kama chadema, wakati siyo kweli CCM ni Mali ya Watz, ni mtoto wao wamemzaa, wamlea na sasa amekuwa wakati chadema ni mali ya Mtei ameizaa, ameilea na ataamua ni nani amuachie siku zake zikiisha!
Hivyo basi kwa kuwa CCM ni mali ya Watz ina maana Mtz yoyote yule mwenye sifa anaweza kuwa Kiongozi CCM rejea Raisi Magufuli alikuwa Mwalimu tu wa Sekondari leo hii ni Raisi wa nchi ya JMTZ, hata Kikwete mwenyewe hatokei ukoo wa kitajiri na maelite bali ni Mtz wa kawaida ambaye amekulia CCM na leo hii ni Mwenyekiti wa CCM, angalia watu wenye vyeo vikubwa CCM halafu uniambie kama ni maelite kizazi cha ngapi, lkn njoo chadema, nipe stori kama hizo chadema nitajie Viongozi wa chadema ambao ni masikini yaani walioanzia from nothing to the TOP nitajie mmoja TU ili upate uhalali wa kusema CCM wanataka kutawala milele.
Kwa maana kama kuna yoyote yule mwenye kila dalili za udikteta na kujilimbikizia Uongozi na Madaraka ni chadema, Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama na pia na Mkuu ya Upinzani Bungeni na Mtoto wa mwanzilishi wa Chama Mzee Mtei yaani kaoa kwa Mtei, sasa ni nani kati ya CCM na chadema wanastahili kuitwa Chama cha kidikteta?
Kama tu Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa Chama bila hata ya uchaguzi na ndiyo anaamua nani agombee Uraisi na asingombee je akiwa Raisi wa nchi kuna dalili yoyote ile ya yeye kuachia madaraka?
Ninaweza kukutajia ni lini kutakuwa na Uchaguzi CCM wa kuchagua Mwenyekiti wa Chama nitajie ni lini kutakuwa na Uchaguzi chadema wa kuchagua Mwenyekiti wa chama!
Angalia CCM Kikwete anaaga hivyo anaondoka anaingia mwingine, haya niambie Mbowe anaondoka lini? Ameongoza Chama kilichoshindwa uchaguzi mara tatu, kidemokrasia Dunia nzima Viongozi hujiuzulu punde chama wanachokiongoza kinaposhindwa sasa Mbowe kashindwa mara tatu na bado leo hii anasimamisha makende yake Bungeni eti anaunda Baraza la Mawaziri Kivuli, analipi jipya? Ni nani dikteta kati ya CCM na chadema?
Angalia Uongozi wa CCM ni sura ya Watz wa nchi nzima, Kikwete anatoka Bagamoyo, Kinana - Arusha, Nape - Mtwara/Lindi, mwingine Iringa ukija kwenye Halmshauri Kuu ya CCM ni sura ya nchi nzima sasa njoo chadema nitajie viongozi wake na wanatoka wapi?
Asilimia zaidi 85 ya viongozi wanatoka eneo ambalo halifikishi hata asilimia 10% ya WatanZania wote halafu unathubutu kuita CCM Chama cha kidekta? Kuna udikteta zaidi ya chadema?
Huwajui wasukuma wewe! Subiri utaona, kuna siku mdadi utampanda jukwaani ataanza kucheza Ngoma akipata wa kuitikia tuu.Miezi mitatu tu kishalewa, akifikisha mwaka sijui itakuwaje
Sio kweli mkuu Hamad Rashid alivyokuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni alikuwa mwenyekiti wa chama gani?hii inaonyesha ni jinsi gani hujakomaa kisiasa,...
mwenyekiti wa chama lazma awe kiongoz wa upinzani bungeni