Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,377
Wewe rais Magufuli na chama cha chako cha CCM waoneeni huruma watoto hawa kwa kuwapatia huduma bora ya elimu
Sio kila siku mnatamba tu Mara nchi ina fedha Mara tunanunua ndege,Mara tunajenga reli Mara umeme kwa fedha zetu
Mara elimu bure wakati watoto wa wanyonge unaodai kuwapigania wanasoma kwa shida hivi
Unachojua wewe rais ni kutaka sifa kwa kugawa hela kwenye mikutano yako upate sifa wakati kundi kubwa la watoto wa kitanzania wanasoma katika mazingira magumu hivi
Sio kila siku mnatamba tu Mara nchi ina fedha Mara tunanunua ndege,Mara tunajenga reli Mara umeme kwa fedha zetu
Mara elimu bure wakati watoto wa wanyonge unaodai kuwapigania wanasoma kwa shida hivi
Unachojua wewe rais ni kutaka sifa kwa kugawa hela kwenye mikutano yako upate sifa wakati kundi kubwa la watoto wa kitanzania wanasoma katika mazingira magumu hivi