The Analyst
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 464
- 246
Magufuri ni Kiboko kweli. Jinsi anavyokaripia watendaji wa wizara yake inatisha. Muda si mrefu uliopita ameonekana kwenye taarifa ya habari TBC1 akimkaripia Meneja wa Tanroad mkoa wa Dsm kama anamgombeza mhudumu vile. So serious and irritated.
Mawaziri wa JK japo nusu yao tu, wangekuwa wanajiamini kama huyu jamaa tungepiga hatua japo kidogo kimaendeleo.
Mawaziri wa JK japo nusu yao tu, wangekuwa wanajiamini kama huyu jamaa tungepiga hatua japo kidogo kimaendeleo.