kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Magufuli nae ameingia kwenye orodha ya walalamikaji wa CCM wanaoijia juu Chadema kuhusu maandamano wanayofanya akisema waache kutoa matusi kwenye mikutano na wanachochea chuki hivyo washindwe na walegee.
Gazeti la Mwananchi la Leo.
Magufuli nae ajibu hoja asilalamike,
Inaonekana na yeye ndio ameshindwa na ameshalegezwa na Pinda.
Gazeti la Mwananchi la Leo.
Magufuli nae ajibu hoja asilalamike,
Inaonekana na yeye ndio ameshindwa na ameshalegezwa na Pinda.