mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
magufuli sio jk aliyekuwa mpole kupindukia
magufuli ni buldozer la ukweli lazma wataisoma.twende magufuli usimwogope mtu hata kama ni katibu mkuu wa ccm
Magufuli piga bei hayo mashangingi ya serikali, wanunulie landcruiser hardtop ndo zinafaa kwa barabara zetu hasa kuendea vijijini, hizo ni all weather vehicles and durable