Chantaburi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 749
- 194
kama hujui usijibu ili uelimishwe. Sio kila jambo ni kubisha tu.tume ya ajira iliwajiri lini? Hebu jitambue.....watumishi wa umma wa kuajiriwa huandika barua za maombi na kuambatanisha cv zao.
kama hujui usijibu ili uelimishwe. Sio kila jambo ni kubisha tu.tume ya ajira iliwajiri lini? Hebu jitambue.....watumishi wa umma wa kuajiriwa huandika barua za maombi na kuambatanisha cv zao.
Yap. Anapenda sana publicity huyu Ngosha. Nchi haiendeshwi kama wizara kwa kukurupuka, kupigwa picha na kupigiwa makofi kwa kudhalilisha watendaji hadharani kama ilivyotokea jana wizara ya Fedha.Very soon ataisoma namba yeye mwenyewe. Tunataka mikakati siyo misifa ya kufoka mbele ya kamera.
Kama mikutano ndo kasi na viwango waliomtangulia mbona wangetisha?? Mikutano si tija, aelekeze anachokitaka kifanyike tu. Walikaa mahoteli makuubwa ya Ngurdoto lakini mwisho wa siku tuliona kilichotokea. Akumbuke maneno yake mujarab; HAPA KAZI TU sio vikao na kutembeleana ofisini. Hiyo ni kazi ya tarishi tuuuu
Magufuli amewapiga marufuku Makatibu Wakuu wa Serikali kusafriri nje ya nchi akiwataka wakae wafanye kazi na hasa kuokoa fedha kiasi kikubwa kinatumika ktk sfari za nje. Vile vile ameelekeza mabalozi walioko nje waiwakilishe serikali lakini kama kuna ulazima itabidi kibali kitolewe na Katibu Mkuu Kiongozi au yeye mwenyewe.
Amewaagiza Makatibu Wakuu kwa sasa waelekeze nguvu zao kutembelkea miradi na kutatua kero za wananchi vijijini.
Kwa upande wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, amewataka kutoza kodi kwa wafanya biashara wakubwa wakubwa na wale watakaokwepa basi maafisa wa TRA wajiandae kuwajibika.
Ameitaka Mamlaka ya Bandari kuhakikisha inasimamia vilivyo upitishwaji wa mizigo na kulipa kodi inayotakiwa.
makatibu wakuu wasiende nje ila mawaziri ambao ni product ya ccm ni ruksa kwenda nje kama karamagi alivyoenda london kusaini mkataba wa buzwagi..