Magufuli 2015-2020: Matarajio ya uchumi na changamoto zake

Hapo ni sawa na kusema Mimi nimeongopa.
Sawa!
But I gave you figures, you can deny them by bringing your figures from your sources.
Nguruvi3 , amesema in 11months government imekopa 10T. Si aonyeshe sources au aweke hizo data hapa? Ukisema bila kuanika chanzo, unamaanisha kuwa you just know it.

Okay, taarab pembeni.

December, 2015 mpaka July, 2016 Deni LA Taifa zimeongezeka kwa 3.6T na Kati ya hizo, Private sector loans ni 1.2 na Central government and Public Corporations Deni liliongezeka by 2.4T. Hapa tunazungumzia ongezeko LA principal na interest. Central Government part of this loan is about 1.9T.

Kwa hiyo, kutoka na data za Nguruvi3 . Kuna Kama 8T zilikopwa August na September. Kwanini asiuonyeshe sources zake?
Sources zangu zipo kwenye BOT (MER/QEB)

Total interest paid by Central Government ni approximately 0.97T.
Ninachowaambia Mimi ni kuwa, mwezi July ambazo ni mwezi wa kwanza wa (2016/17), serikali imelipa 0.625T to domestic banks and non-bank institutions. Na imekopa net bil17 foreign na bil.76 local.

Sasa hapo ni sawa kusema serikali imelipa kuliko ilivyokopa kwa 2016/17 financial year? Maana estimates za bajeti zulikadiria -178bn balance and it ended up to be 461bn surplus.

.

Huko juu ulisema kwamba Serikali ya awamu ya Tano haikopi tena, lakini sasa mwelekeo wako ni wa kuserereka - serikali bado inakopa. Inaonekana unapenda kuwasilisha takwimu za mwezi badala ya kuwa na a holistic presentation of facts. Sio wakati wote takwimu za mwezi zinasema ukweli wote, na unachofanya ni kujaribu kuchukua kasampo cha mwezi kurubuni watanzania wa "Twaweza" lakini sisi wa "Tunaweza" tupo imara na tutawasaidia waelewe nini kinaendelea.

Deni la taifa limegawanyika katika sehemu mbili kuu namely deni la ndani na deni la nje. Tuanze kujadili deni la ndani kisha tutaenda kwenye deni la nje. Tukae kwenye hoja moja kabla ya kurukia nyingine kwani unachofanya hapa ni kuja na ujanja janja wa kusukumiza takwimu and flawed analysis kuwapendezesha waliokutuma kazi huko CCM kwa imani kwamba wale watanzania 1/4 wenye matatizo ya akili wataridhika na kinachoendelea.

Deni la ndani linaratibiwa moja kwa moja na Benki Kuu (BOT), tofauti na Deni la nje ambalo linaratibiwa na Wizata fa Fedha, pale ambapo Magufuli amemteua binamu yake mwenye uzoefu wa miaka michache ya uhasibu ofisi ya wakala wa majengo wa mkoa wa Dar-es-salaam, kuwa Katibu Mkuu.

Deni la ndani linahusisha amana za serikali (government securities) zinazouzwa kwenye soko la ndani la deni la taifa (Domestic Debt Market) kupitia minada maalum inayoratibiwa na Benki Kuu (BOT). Chini ya Serikali hii ambayo tunaambiwa ni transparent, hakuna maelezo yoyote Serikali inakopa ndani kwa lengo la kufanyia nini hizo fedha. Hii ni tofauti na nchi nyingine, hata hapo majirani Kenya ambapo any domestic debt raised inaendana na taarifa kwenye magezeti zinaenda kutumika kwenye nini - item by item.

Kwa Takwimu zilizopo (nenda kwenye Website ya BOT fuata link ya regular publications'), deni la ndani lipo katika hali ifuatayo:
Kufikia July 2015, deni la ndani lilikuwa ni takriban TZS 7.5 Trillioni. Mwaka mmoja baadae - yani kufikia July 2016, deni la ndani lilifikia TZS 10.1 Trilioni. Kwa maana hii, kati ya Mwezi July 2015 na Mwezi July 2016, deni la ndani limekuwa kwa kiasi cha takriban TZS 2.6 trilioni.

Tufananishe utawala wa JPM na JK:
Mnamo July 2014, deni la ndani lilifikia TZS Trilioni 6.8. Mwaka mmoja baadae - yani kufikia July 2015, deni hilo liliongezeka na kufikia TZS Trilioni 7.5. Kwa maana, katika kipindi hiki, deni la ndani lilikuwa kwa kwa kiasi cha takriban TZS Bilioni 740.

Kufikia hapa tunaona nini?
Linapokuja suala zima la deni la ndani, Serikali ya Magufuli inakopa zaidi ndani kuliko ilivyokuwa chini ya Serikali ya Kikwete. Je kufikia hapa, unaweza kutusaidia kuondoa kauli kwamba:
-Serikali ya Magufuli imeacha kukopa?
-Tukichukua sample ya 2014/15 & 2015/15, Serikali ya Magufuli inakopa kwa kasi zaidi kutoka vyanzo vya ndani kuliko ya Kikwete?
-Serikali ya Magufuli haipo transparent inakopa fedha kutoka vyanzo vya ndani kufanyia nini chenye manufaa kwa walipa madeni (wananchi walio wengi)?

Tafadhali bakia kwenye mjadala wa deni la ndani tuumalize halafu tutaingia kwenye mjadala wa deni la nje. Usituchanganye kisa ujira wa CCM.
 
Hii serikali ya Maghufuli inalipa madeni bila kuingiza madeni and thats a good thing. But it's not true kuwa 900bn za TRA zinalipa madeni a month.
Enzi wa JK, ulitetea kwanini deni la taifa linakuwa kwa kasi; Serikali ya JPM, unajenga hoja kwamba serikali ya magufuli inalipa madeni kuliko inavyokopa, suala ambalo hata hivyo sio kweli.
Argument yangu haipo kwenye 1.6T na hata ukisema 1.3T bado haimaanishi 900bn zililipwa madeni na 500bil mshahara.. or 400bil or whatever.
Nimekuwekea document chini inayoonyesha mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi july 2016.

Note that:
  • Tax Revenue = 1,242,417 million Shs.
  • Total Expenditure = 849, 028 mil. Shs.
  • Overall Balance (After grants and ammortization) = 498,611 mil. Shs
Total expenditure:
  • Wages = 534,134 mil. Shs
  • Interest payments = 83,451 mil. shs.
  • Development 129,142 mil. shs.
  • Others = 102,301 mil. shs.
Financing:
-498,611
(negative sign kuonyesha payments, yaani instead of borrowing, the government allocated that money to debt payments)
Net loans:
  • Development loans = 54, 883 mil Shs.
  • Ammortization = 37,809 mil. Shs.
  • Net Foreign) financing = 17, 074 mil. shs.
From above explanation, utaona kuwa
Serikali imedeposit (imelipa banks na non banks), 624,959 mil shs kwa mwezi wa July.

Kwa mwanasiasa atatumia hiyo figure hapo juu na kusema kuwa tumetumia bilioni 625 mwezi July kulipa madeni. Hii inaweza kuwa sawa ila unapoingiza kuwa, tumetumia hizo hela from TRA unakosea.Hela zilizobaki zilikuwa Milioni 438,821.

Bajeti iliestimate kuwa mwezi July tungekuwa na upungufu wa 178,381 mil. shs. (tungekuwa na negative balance after checks were cleared amounting to that).
Bajeti pia iliestimate tungekopa domestically 76,737 mil. Shs.(ili tulipe 76,737 mil shs.)

Vilevile tungekopa 292,927 (Foreign development aid), ila ikakopwa 53,000mil. shs.

Badala yake, serikali imelipa 624,959. Waay ahead of the budget. Hii serikali ya Maghufuli inalipa madeni bila kuingiza madeni and thats a good thing. But it's not true kuwa 900bn za TRA zinalipa madeni a month.

Now tell me what you know, na unipe hizo data zako. Achana na wanasiasa, lete data ambazo siyo magazeti.

You are on record Enzi wa JK ukitetea na kuja na justifications uchwara on why we need to incur huge debts and at a faster pace kuliko kulipa. Hizi ni zile enzi za MwanaDiwani wa JK. Leo enzi za Magufuli ambapo mwanadiwani amebadilika kuwa MsemajiUkweli, sasa unajenga hoja kwamba serikali ya magufuli inalipa madeni kuliko inavyokopa, suala ambalo hata hivyo sio kweli. As i say, zungumza na "Twaweza", watakuelewa kwani wao ni ile takwimu ya 1/4 wana matatizo ya akili, suala ambalo kwenu CCM imekuwa ni mtaji mkubwa sana. Usizungumze hoja hizo na sisi "Tunaweza".

Throughout umekuwa ni flip flopper and at times kujichanganya, aidha kwa kukusudia au kutokukusudia. Nitafafanua kwa ufasaha kabisa:

When it comes to deni la taifa, kuna mambo mawili makuu ya kuyazingatia kwa ukaribu sana, over and beyond akili za "Twaweza". Kwanza kuna suala la 'debt committed' na Pili kuna suala la 'debt disbursed'. Once we become conversant na haya, you will realise kwamba Magufuli ni wale wale tu. Lakini pengine wewe sio wa kuelewa kwani you are hardly rational. Your approach to issues that matter kwa wananchi wenye shida miaka nenda miaka rudi imekuwa demagogic, too much of an ideologue, and at time a jester. Huwa unatufurahisha sana, i have missed that, sasa nimerudi.

Leo hii you can commit deni la kutosha na kupumzika hapo mbeleni kusubiria what you have committed to be disbursed (for you to receive the actual loan). Kwahiyo hoja kwamba serikali ya Magufuli katika kipindi fulani haija commit deni is flawed, to say the least. Tuangalie takwimu uelewa zaidi.

Debt Committed:
Kufikia December 2015, total committed debt stood at $20,6tril, hapa Magufuli akiwa anaingia madarakani. By March 2016 akiwa madarakani, total committed debt ilifikia $ 22,3tril ikiwa ni sawa na ongezeko la takribani $1.6 Trilion. Ni kweli kwamba by June 2016, there was almost nothing committed, na ni huu ndio uchochoro unaotumia kuhamasisha wale wananchi 1/4 wa Twaweza.

Debt Disbursed:
Kufikia December 2015, total debt disbursed stood at $13,9tril, hapa Magufuli akiwa anaingia madarakani. By March 2016 akiwa madarakani, total debt disbursed reached $14,5tril, ikiwa ni sawa na ongezeko la takriban $ 1 billion in only three months. Kufikia June 2016, total disbursement ilifikia $15tril, ikiwa ni ongezeko la takribani $462 billion from March 2016. Kwa maana hii, Magufuli amepokea mkopo wa karibia $1.5 trilion kwa kipindi cha December 2016 to June 2016.

Note:
Magufuli committed takriban $1.6 trillion za walipa kodi kwenye deni la taifa between January 2016 – June 2016. Katika kipindi hicho, total disbursement was approximately $1.5 trillion.

Swali:

- Je hauoni kwamba analysis yako ya kutumia bajeti (tena cash driven budget ambayo world all over inajulikana kuwa na madudu ya kuficha ukweli unlike accrued system) kama framework of analysis is flawed na haionyeshi uhalisia zaidi ya kufurahisha akili za hao unaotumwa kuwafikishia ujumbe - 1/4 (Twaweza)?

Tuendelee…

Je mikopo ambayo Magufuli ameipokea ina unafuu gani na mikopo ya Kikwete kwa walipa kodi in terms of cost of debt?

Kama nilivyojadili huko nyuma kwenye mabandiko yangu ya hoja ya msingi, vyanzo vya mikopo vinapishana sana in terms of masharti nafuu vis a vis masharti yasiyokuwa nafuu. Tuliona kwamba concessional loans zina masharti nafuu kwa maana ya kwamba:

-Kwanza gharama yake/riba ni ndogo sana ikilinganishwa na riba zilizopo katika masoko mengine ya fedha;

-Pili, mbali ya riba kuwa nafuu, riba hizi huwa ni ‘fixed’ (fixed interest rate) kwa kipindi chote cha mkopo husika;

Tatu madeni ya aina hii huchukua muda mrefu sana kuiva (hadi miaka 40), hivyo kupunguza ‘fiscal pressure’ kwa serikali zinazokopa (mfano Tanzania) za kujikuta zinatumia fedha nyingi za walipa kodi kulipa madeni yanayoiva badala ya kuelekeza fedha kwenye huduma za kijamii;

-Nne, mikopo ya aina hii inaambatana na na ‘grace period ndefu’ (miaka hadi kumi), kabla ya serikali kutakiwa kuanza kulipa mikopo husika.

Mikopo yenye masharti ya kibiashara (commercial loans) ni mzigo kwa taifa na nilijadili hilo kwa kina. Kwa mujibu wa takwimu za BOT:

Utawala wa JK na Mikopo ya Masharti ya kibiashara (Commercial loans):
December - March 2015 disbursement ya mikopo yenye masharti ya kibiashara stood at $ 4,706,000,000. April - June 2015, stood at $4,854,000,000. Kwa maana hii, katika kipindi cha March – June 2015, serikali ya JK ilipokea karibia $148b kama mikopo yenye masharti ya kibiashara.

Utawala wa Magufuli na Mikopo ya Masharti ya kibiashara:
December – March 2016, disbursement stood at takriban $4,927 billion; by April - June almost $5,161 billion. Kwa maana hii, katika kipindi cha March – June 2016, serikali ya Magufuli ilipokea karibia $234b kama mikopo yenye masharti ya kibiashara.

Niendelee???
Naomba turudi kwenye mjadala wa deni la ndani kama nilivyopendekeza, huku tutarudi baadae, but only kama kutakuwa na haja.
 
Enzi wa JK, ulitetea kwanini deni la taifa linakuwa kwa kasi; Serikali ya JPM, unajenga hoja kwamba serikali ya magufuli inalipa madeni kuliko inavyokopa, suala ambalo hata hivyo sio kweli.


You are on record Enzi wa JK ukitetea na kuja na justifications uchwara on why we need to incur huge debts and at a faster pace kuliko kulipa. Hizi ni zile enzi za MwanaDiwani wa JK. Leo enzi za Magufuli ambapo mwanadiwani amebadilika kuwa MsemajiUkweli, sasa unajenga hoja kwamba serikali ya magufuli inalipa madeni kuliko inavyokopa, suala ambalo hata hivyo sio kweli. As i say, zungumza na "Twaweza", watakuelewa kwani wao ni ile takwimu ya 1/4 wana matatizo ya akili, suala ambalo kwenu CCM imekuwa ni mtaji mkubwa sana. Usizungumze hoja hizo na sisi "Tunaweza".

Throughout umekuwa ni flip flopper and at times kujichanganya, aidha kwa kukusudia au kutokukusudia. Nitafafanua kwa ufasaha kabisa:

When it comes to deni la taifa, kuna mambo mawili makuu ya kuyazingatia kwa ukaribu sana, over and beyond akili za "Twaweza". Kwanza kuna suala la 'debt committed' na Pili kuna suala la 'debt disbursed'. Once we become conversant na haya, you will realise kwamba Magufuli ni wale wale tu. Lakini pengine wewe sio wa kuelewa kwani you are hardly rational. Your approach to issues that matter kwa wananchi wenye shida miaka nenda miaka rudi imekuwa demagogic, too much of an ideologue, and at time a jester. Huwa unatufurahisha sana, i have missed that, sasa nimerudi.

Leo hii you can commit deni la kutosha na kupumzika hapo mbeleni kusubiria what you have committed to be disbursed (for you to receive the actual loan). Kwahiyo hoja kwamba serikali ya Magufuli katika kipindi fulani haija commit deni is flawed, to say the least. Tuangalie takwimu uelewa zaidi.

Debt Committed:
Kufikia December 2015, total committed debt stood at $20,654,000,000,000, hapa Magufuli akiwa anaingia madarakani. By March 2016 akiwa madarakani, total committed debt ilifikia $ 22,348,000,000,000 ikiwa ni sawa na ongezeko la takribani $1.6 Trilion. Ni kweli kwamba by June 2016, there was almost nothing committed, na ni huu ndio uchochoro unaotumia kuhamasisha wale wananchi 1/4 wa Twaweza.

Debt Disbursed:
Kufikia December 2015, total debt disbursed stood at $13,915,000,000, hapa Magufuli akiwa anaingia madarakani. By March 2016 akiwa madarakani, total debt disbursed reached $14,591,000,000, ikiwa ni sawa na ongezeko la takriban $ 1 billion in only three months. Kufikia June 2016, total disbursement ilifikia $15,053,000,000, ikiwa ni ongezeko la takribani $462 billion from March 2016. Kwa maana hii, Magufuli amepokea mkopo wa karibia $1.5 trilion kwa kipindi cha December 2016 to June 2016.

Note:
Magufuli committed takriban $1.6 trillion za walipa kodi kwenye deni la taifa between January 2016 – June 2016. Katika kipindi hicho, total disbursement was approximately $1.5 trillion.

Swali:

- Je hauoni kwamba analysis yako ya kutumia bajeti (tena cash driven budget ambayo world all over inajulikana kuwa na madudu ya kuficha ukweli unlike accrued system) kama framework of analysis is flawed na haionyeshi uhalisia zaidi ya kufurahisha akili za hao unaotumwa kuwafikishia ujumbe - 1/4 (Twaweza)?

Tuendelee…

Je mikopo ambayo Magufuli ameipokea ina unafuu gani na mikopo ya Kikwete kwa walipa kodi in terms of cost of debt?

Kama nilivyojadili huko nyuma kwenye mabandiko yangu ya hoja ya msingi, vyanzo vya mikopo vinapishana sana in terms of masharti nafuu vis a vis masharti yasiyokuwa nafuu. Tuliona kwamba concessional loans zina masharti nafuu kwa maana ya kwamba:

-Kwanza gharama yake/riba ni ndogo sana ikilinganishwa na riba zilizopo katika masoko mengine ya fedha;

-Pili, mbali ya riba kuwa nafuu, riba hizi huwa ni ‘fixed’ (fixed interest rate) kwa kipindi chote cha mkopo husika;

Tatu madeni ya aina hii huchukua muda mrefu sana kuiva (hadi miaka 40), hivyo kupunguza ‘fiscal pressure’ kwa serikali zinazokopa (mfano Tanzania) za kujikuta zinatumia fedha nyingi za walipa kodi kulipa madeni yanayoiva badala ya kuelekeza fedha kwenye huduma za kijamii;

-Nne, mikopo ya aina hii inaambatana na na ‘grace period ndefu’ (miaka hadi kumi), kabla ya serikali kutakiwa kuanza kulipa mikopo husika.

Mikopo yenye masharti ya kibiashara (commercial loans) ni mzigo kwa taifa na nilijadili hilo kwa kina. Kwa mujibu wa takwimu za BOT:

Utawala wa JK na Mikopo ya Masharti ya kibiashara (Commercial loans):
December - March 2015 disbursement ya mikopo yenye masharti ya kibiashara stood at $ 4,706,000,000. April - June 2015, stood at $4,854,000,000. Kwa maana hii, katika kipindi cha March – June 2015, serikali ya JK ilipokea karibia $148b kama mikopo yenye masharti ya kibiashara.

Utawala wa Magufuli na Mikopo ya Masharti ya kibiashara:
December – March 2016, disbursement stood at takriban $4,927 billion; by April - June almost $5,161 billion. Kwa maana hii, katika kipindi cha March – June 2016, serikali ya Magufuli ilipokea karibia $234b kama mikopo yenye masharti ya kibiashara.

Niendelee???
Naomba turudi kwenye mjadala wa deni la ndani kama nilivyopendekeza, huku tutarudi baadae, but only kama kutakuwa na haja.
Usiendelee ....

Kwanza kabisa, Mimi siyo mfanyakazi wa URT wala siyo mfanyakazi wa CCM. Ingawa ni mwanachama wa CCM. Kwa hiyo, don't be paranoid, Mimi siyo Mwanadiwani na siyo Msemajiukweli. I don't even know those people. Don't be paranoid.
Natukanwa, natishiwa na hata kuombwa kazi huko PM wakati Mimi mwenyewe napiga double shifts ughaibuni.

Pili, bajeti niliyokuwa nazungumzia Mimi ni 2016/17 na kwa mwezi July, 624 bl zimelipwa kwa mabenki na non bank institutions. Badala ya estimated borrowing ya 178 bl. Je, unapinga hili? Hii ni bajeti ya awamu ya tano.sasa

Tuache bajeti, twende kwenye administration.

Public debt disbursed was 13,915.4 bil in December, 2015 and increased to 15,162.5 bil shs in July, 2016. An increase of 1,237.1 bil shs.

Kwenye Public Debt, usiilaumu serikali peke yake. Private sector accounts for at least 10% of the total debt. Kuna

1. Central government
2. Public Corporations
3. Private Sector.

Twende kwenye Central Government, ambayo uongozi wake upo responsible to the mass and not some shareholders from different parts of the globe.

Debt committed and disbursed:

Your explanation - while throwing all of your tantrums to Maghufuli - is a bit misleading since the central government part of the debt was 11,770 bil shs in December, 2015 and stood at 12,461bil. Shs in July, 2016 which was an increase of 691 bil. Shs.

Private sector disbursed loans was 1,741 bil shs by December, 2015 and stood at 2298.9 bil. Shs in July, 2016 which was an increase of 557.6 bil. Shs.

Private Sector loans are a part of the National Debt but decisions about their acquisitions are purely private and done by the board of directors, some of them are living in China, South Africa, Canada etc.

Public Corporations, some of them partly-owned by foreigners, and whose credit decisions are made by a board of directors had 403.9 bil shs disbursed by December, 2015 and it decreased to 392.2 bil shs in July, 2016. A decrease of 11.7 bil shs.

Based on that concept - since this thread is about Maghufuli - Do you agree with the conclusion that Maghufuli added 691 billion shs. By July this year?

Commercial Loans:
Imeongezeka by 368.3bil. Shs on the same period. Can you explain Kati ya hizo, government (Since umesema serikali ya Maghufuli) ni kiasi gani na private ni kiasi gani? Remember, you are talking about the "National" debt na unaweka maneno Kama .. "Serikali ya Maghufuli...."

Tuchukulie kuwa increase ya Deni lote hilo ni responsibility ya central government. Na tuchukulie kuwa hii ni part ya 691 bil shs disbursed debt increase.

Je, unajua "Serikali ya Maghufuli" imelipa kiasi gani katika kipindi hicho?

Hint: Over 1T shs just in interest and over 624 bil shs just last month in principal.
 
[HASHTAG]#123[/HASHTAG] interesting Kobello, again distorting facts kwa kutumia cash budget as a framework of analysis. Pia looks like haujui kitu kinaitwa "government guarantee" debts ambazo zimejaa tele private sector. Nk nk nk.

Tutajadili hoja zako kwa undani punde lakini ili kuepuka kutuburuza kwenye 1/4 Twaweza, let's be systematic basi.

Tuanze na deni la ndani as I kindly requested.
 
[HASHTAG]#123[/HASHTAG] interesting, again distorting facts kwa kutumia cash budget as a framework of analysis. Pia looks like haujui kitu kinaitwa "government guarantee" debts ambazo zimejaa tele private sector. Nk nk nk. Tutajadili hoja zako kwa undani punde lakini ili kuepuka kutuburuza kwenye 1/4 Twaweza, let's be systematic basi. Tuanze na deni la ndani as I kindly requested.

Hoja yako ya commercial loans is kinda flimsy, since nimekupa figure ya 368 bil shs kwa serikali ya Maghufuli (ingawa wewe ukisema 234bil ).

Ukiangalia borrowing for July from banks net yake ni -451 bil, meaning kwamba mabenki yalilipwa 451 bil in July.

That means 451 bil - 368 bil You get 89bil ahead.( since the numbers were rounded, you can see the 90bn shs ahead that the governor was talking about.

Kuhusu private loans, whether guaranteed or not, the responsibility lies on corporations so is the profit/dividend. Still the CEO is not the President, he is the CEO of the Central Government of URT.

Unataka unipinge kwa kutumia figures, siyo kutumia maneno ya taarab Kama vile "mengi" "Nyingi" " "zimejaa tele" "kibao" "kede kede" etc ... Use numbers.
Na pia nieleze wapi nilipoweka numbers fake.

You used the same cash budget, and that's where I'm straightening you up from.
 
Hoja yako ya commercial loans is kinda flimsy, since nimekupa figure ya 368 bil shs kwa serikali ya Maghufuli (ingawa wewe ukisema 234bil ).
Ukiangalia borrowing for July from banks net yake ni -451 bil, meaning kwamba mabenki yalilipwa 451 bil in July.
That means 451 bil - 368 bil You get 89bil ahead.( since the numbers were rounded, you can see the 90bn shs ahead that the governor was talking about.

Kuhusu private loans, whether guaranteed or not, the responsibility lies on corporations so is the profit/dividend. Still the CEO is not the President, he is the CEO of the Central Government of URT.
Unataka unipinge kwa kutumia figures, siyo kutumia maneno ya taarab Kama vile "mengi" "Nyingi" " "zimejaa tele" "kibao" "kede kede" etc ... Use numbers.
Na pia nieleze wapi nilipoweka numbers fake.
You used the same cash budget, and that's where I'm straightening you up.
Tutaenda huko kwenye external debt na nitajibu hoja zako zote. Can we please focus on domestic debt, exhaust it then move to external debt? Nia yako ni kutifua tifua tu ndani-nje, kwa Nina ya kuwashawishi 1/4 Twaweza kwamba mambo sasa yamenyooka. Kama kweli unataka mjadala kwa hoja tafadhali fuata ushauri wangu wa kutenga deni la ndani na la nje, na tuanze kujadili deni la ndani kwanza ili watu waweze kutufuatilia vizuri. Wasiwasi wako nini?

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Tutaenda huko kwenye external debt na nitajibu hoja zako zote. Can we please focus on domestic debt, exhaust it then move to external debt? Nia yako ni kutifua tifua tu ndani-nje, kwa Nina ya kuwashawishi 1/4 Twaweza kwamba mambo sasa yamenyooka. Kama kweli unataka mjadala kwa hoja tafadhali fuata ushauri wangu wa kutenga deni la ndani na la nje, na tuanze kujadili deni la ndani kwanza ili watu waweze kutufuatilia vizuri. Wasiwasi wako nini?

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Twende Deni LA ndani...
What are you saying? Amekopa kiasi gani na amelipa kiasi gani ?
 
Serikali imetangaza kwamba itakopa karibia TZS trilioni mbili kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Tulimweleza kwa ufasaha ndugu yetu Kobello humu kwamba anapotosha pengine kwa ajili ya ujira wake, kwani kama kawaida alitumia muda wake mwingi humu kujaribu kupotosha kwamba Serikali ya Magufuli sasa inalipa madeni, imeacha kukopa.

This is typical of ideologues; he's an intellectual worker of this regime, striving to justify and rationalize mambo kama haya. Atakuja hapa na kutueleza kwamba the government is on course na kusahau awali alisema nini.

Kobello, karibu.
 
Serikali imetangaza kwamba itakopa karibia TZS trilioni mbili kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Tulimweleza kwa ufasaha ndugu yetu Kobello humu kwamba anapotosha pengine kwa ajili ya ujira wake, kwani kama kawaida alitumia muda wake mwingi humu kujaribu kupotosha kwamba Serikali ya Magufuli sasa inalipa madeni, imeacha kukopa. This is typical of ideologues; he's an intellectual worker of this regime, striving to justify and rationalize mambo kama haya. Atakuja hapa na kutueleza kwamba the government is on course na kusahau awali alisema nini. Kobello, karibu.
Ni-quote niliposema serikali haikopi au imeacha kukopa.

Quote it, usiseme post #, quote me.
You are funny dude!

Yaani tunabishana Kama serikali inakopa au la? That's low!
 
Ni-quote niliposema serikali haikopi au imeacha kukopa.

Quote it, usiseme post #, quote me.
You are funny dude!

Yaani tunabishana Kama serikali inakopa au la? That's low!

Duh, just as I explained of the ideologues tendency, gia imebadilishwa hewani (nafuu angani), na sitashangaa kama umeenda ku edit your fallacy arguments za huko nyuma that said exactly that. I am on the road traveling, nitarudi on this. Otherwise keep on avoiding my question to you on 'deni la ndani.'

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Duh, just as I explained of the ideologues tendency, gia imebadilishwa hewani (nafuu angani), na sitashangaa kama umeenda ku edit your fallacy arguments za huko nyuma that said exactly that. I am on the road traveling, nitarudi on this. Otherwise keep on avoiding my question to you on 'deni la ndani.'

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Nipo safari, nipo kwenye mkutano, nipo kwenye research, nitarudi, nitakuwekea video iliyorekodiwa kisiri, naandaa article kabambe etc, etc, etc....

Am I used to this? ..Yes, of course.

So you are traveling??
, just go to the post and quote it!! How hard is that?
 
Bwana Mchambuzi hongera sana kwa makala nzuri, iliyoshiba na yenye kuchokoza tafakuri za ukweli juu ya "Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania".

Obviously, huwezi kuwa sahihi 100% au kwamba kila ulichosema/andika kitakuwa hivyo hivyo....hilo sio lengo lako bila shaka. Bali kwa wale wenye kusoma, kuchunguza, kuchambua na kutafakari watakubaliana nawe kuwa kazi uliyofanya hapa si ndogo. Nakupongeza sana, sana!

Kwa bahati mbaya kuna wenzetu iwe kwa hiari au shuruti hawawezi kutazama mambo katika uhalisia wake. Kila jambo huliangalia au kulisikia kwa miwani ya itikadi za vyama, mlengo, watu nk. Na hapo ndipo tunapofeli kama Taifa kwani ilitakiwa mambo yote ya msingi, na hili la uchumi hakika ni jambo kubwa na la msingi tusiweke ubishi na ujuaji usio na tija.

Yeyote anayeona kuwa hali yetu ya sasa ya uchumi ni nzuri, nachelea kusema huyo haitakii mema nchi yetu. Tena yeyote anayetaka tuunge mkono matendo yao (tumeze) bila kuhoji wala kushirikisha akili zetu ni mnafiki. Lakini mtu yeyote ambaye anaitazama Tanzania leo, miaka 10 ijayo na miaka 20 ijayo na kutoa maangalizo, maonyo na ushauri huyo ni mzalendo na mwananchi asiye mtumwa wa tumbo lake.

Merry Christmas & a Happy New Year 2017 to all JF members!
 
Simple .. Sources za mapato ya local government zinatoka PMO,'s na Local taxes na wizarani na Bima ya Taifa.
Matumizi yanatoka DMOs office. DMO sasa ndiyo inatakiwa apange fungu kubwa.
Solution, ni LGA councils na wakazi through town hall meetings wapange au wagawe hela dispensaries. Siyo wizara.
It's so easy!
Mkuu Kobelo,

Sio rahisi kihivyo, kama ingekuwa ni rahisi je kwanini miaka yote 50 ya uhuru hatujafanikiwa hata robo kwenye LGA??
Tuepuke majibu rahisi, kwa maoni yangu ili tutoke hapo tulipokwama na pia ili tuweze kupiga hatua kwenda mbele collectively:-
1) Uongozi makini/mzuri/bora (top-down)
2) Elimu (kujenga uwezo, mbinu na maarifa ktk kila kada)
3) Sera bora na sahihi (appropriate)
4) Sheria bora (balanced and just laws)
5) Marekebisho/mabadilko ya Katiba yetu ya 1977 (it's almost irrelevant to our times and where we want to go)
 
Mkuu Kobelo,

Sio rahisi kihivyo, kama ingekuwa ni rahisi je kwanini miaka yote 50 ya uhuru hatujafanikiwa hata robo kwenye LGA??
Tuepuke majibu rahisi, kwa maoni yangu ili tutoke hapo tulipokwama na pia ili tuweze kupiga hatua kwenda mbele collectively:-
1) Uongozi makini/mzuri/bora (top-down)
2) Elimu (kujenga uwezo, mbinu na maarifa ktk kila kada)
3) Sera bora na sahihi (appropriate)
4) Sheria bora (balanced and just laws)
5) Marekebisho/mabadilko ya Katiba yetu ya 1977 (it's almost irrelevant to our times and where we want to go)
Nini siyo rahisi? Huu mjadala ni wa muda kidogo, kwa hiyo ni vizuri ungeelewa context ya kilichojadiliwa kabla ya kunukuu jibu langu. Hilo jibu lilitokana na swali kuhusu role of the central government Vs local governments in healthcare financing and decision-making..

Sasa ukiirukia tu na kuanza kuingiza mambo ya Uongozi, elimu, sera, sharia na katiba unakuwa kama unanichanganya kidogo. Nukuu na ulichojadili haviendani, ingawa umezungumzia hoja nzuri ya jinsi ya kupiga hatua kwenda mbele. Of course my friend, hayo uliyoorodhesha si mambo mageni na ni blueprint ya maendeleo ya taifa lolote.

Lakini, ili ulitendee haki jukwaa hili, ni vizuri kutumia vielelezo na siyo maneno tu. Unaposema hatujafanikiwa hata robo kwenye LGAs umetumia vipimo vipi? Na ni kiasi gani tumefanikiwa? 5%, 10%, 20% ......
Siyo unasema tu maneno ambayo ni rahisi kuyasema lakini hayana maana yeyote kiuhalisia na hayapimiki.

Tujadiliane, lakini tukiwa kwenye jukwaa hili basi angalau tutumie vielelezo vya kuthibitisha kauli zetu. Hata kama wewe ni mtaalam, bado tunataka source za maelezo yako.
 
Nini siyo rahisi? Huu mjadala ni wa muda kidogo, kwa hiyo ni vizuri ungeelewa context ya kilichojadiliwa kabla ya kunukuu jibu langu. Hilo jibu lilitokana na swali kuhusu role of the central government Vs local governments in healthcare financing and decision-making..

Sasa ukiirukia tu na kuanza kuingiza mambo ya Uongozi, elimu, sera, sharia na katiba unakuwa kama unanichanganya kidogo. Nukuu na ulichojadili haviendani, ingawa umezungumzia hoja nzuri ya jinsi ya kupiga hatua kwenda mbele. Of course my friend, hayo uliyoorodhesha si mambo mageni na ni blueprint ya maendeleo ya taifa lolote.

Lakini, ili ulitendee haki jukwaa hili, ni vizuri kutumia vielelezo na siyo maneno tu. Unaposema hatujafanikiwa hata robo kwenye LGAs umetumia vipimo vipi? Na ni kiasi gani tumefanikiwa? 5%, 10%, 20% ......
Siyo unasema tu maneno ambayo ni rahisi kuyasema lakini hayana maana yeyote kiuhalisia na hayapimiki.

Tujadiliane, lakini tukiwa kwenye jukwaa hili basi angalau tutumie vielelezo vya kuthibitisha kauli zetu. Hata kama wewe ni mtaalam, bado tunataka source za maelezo yako.

1. Mkuu Kobelo, ni kweli mjadala ni wa kitambo lakini pia si kweli kuwa nimerukia. Nimejitahidi kumsoma Mchambuzi na wachangiaji wengine waliotangulia ukiwemo wewe kabla ya kuandika chochote. Sana sana sikuona haja ya kurudia mambo ambayo wenzangu mfano Nguruvi3, Cartman na wengine walishajadili kwa marefu na mapana so nikaenda kwenye "way(s) forward".

2. Lakini, ili ulitendee haki jukwaa hili, ni vizuri kutumia vielelezo na siyo maneno tu. Unaposema hatujafanikiwa hata robo kwenye LGAs umetumia vipimo vipi? Na ni kiasi gani tumefanikiwa? 5%, 10%, 20% ......
Siyo unasema tu maneno ambayo ni rahisi kuyasema lakini hayana maana yeyote kiuhalisia na hayapimiki.

Vigezo viko vingi. Binafsi sipendi kutumia "academic arguments" kwenye real lives, pia najihadhari kutotumia "political arguments" kwenye professional matters.

Nitakuwa pragmatic & straight to the point, kama hivi:-

a) Wewe hapo ulipo ukishasoma hayo makaratasi, majedwali na madokezo nk kisha ukatoka nje ya nyumba au ofisi yako unaonaje utekelezaji wake? 5%, 10%, 20%......100%?

b) Je unaona tija na mafanikio AU unaona kukwama na kushindwa kwa LGAs na LGs?

c) Unamsubiri nani na lini akuletee kipimo ambacho ni "universal" na sahihi zaidi ya hali halisi (maisha) unayoiona?

d) Self-evaluation ni muhimu kama ilivyo self-confidence, je nani aliyekupa kipimo cha hilo la pili (the later)?
 
Back
Top Bottom