OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo Wakuu,
Heshima kwenu!
Kamanda Mawazo na Pamba wanashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Magu baada ya kutofautiana kauli na OCD-MAGU. Ikumbukwe kuwa jana ndo ilikuwa mwisho wa kampeini za uchaguzi wa serikali za vijiji 6 na vitongoji 20 wilayani Magu na leo ndo siku ya uchaguzi.
Zaidi nitaendelea kuwajuza.
My take :-
SISI SOTE NI NDUGU LAKINI ADUI YETU MKUBWA ALIYETUFIKISH A HAPA WATANZANIA NI CCM.
Heshima kwenu!
Kamanda Mawazo na Pamba wanashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Magu baada ya kutofautiana kauli na OCD-MAGU. Ikumbukwe kuwa jana ndo ilikuwa mwisho wa kampeini za uchaguzi wa serikali za vijiji 6 na vitongoji 20 wilayani Magu na leo ndo siku ya uchaguzi.
Zaidi nitaendelea kuwajuza.
My take :-
SISI SOTE NI NDUGU LAKINI ADUI YETU MKUBWA ALIYETUFIKISH A HAPA WATANZANIA NI CCM.