Katafute dawa moja inaitwa Trimazine 30% na Vitalyte kisha utatumia dawa zote mbili kwa dozi utakayoambiwa na muuza daka la dawa. Au kama unaweza kuchoma sindano katakute dawa moja inaitwa Gentamizin sulphate, nahisi kama tifodi vile ingawa hujabainisha dalili nyingi.
Kuku wangu takribani kumi.
Wana mafua na mmoja amekufa dawa nimewapa lakini naona wanazidi kuzubaa sijui nifanyeje?
Ulitakiwa kwanza utaje kwanza dawa uliyotumia ili nikushauri vizuriKuku wangu takribani kumi.
Wana mafua na mmoja amekufa dawa nimewapa lakini naona wanazidi kuzubaa sijui nifanyeje?
Ulitakiwa kwanza utaje kwanza dawa uliyotumia ili nikushauri vizuri
nasikia tetracycline pia hutibu kuku.....>!!!