Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Kuhusu kwenda Jwtz sidhani kama itakua rahisi kwake kwa sababu ni juzi tu nilikua makao makuu ya Jwtz Upanga nikaonana na wakubwa wa pale swali la kwanza walituuliza elimu yetu ikoje? Tulivyowaambia ni graduate wakasema ndio tunaowahitaji kwa sasa 7bu tuna Professional je dogo ana Professional yoyote? Kama hana ni ngumu kuingia huko kwa sasa haya ni maelezo yao wenyewe