Magazetini leo: Sept 28, 2012

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,542
93,149
Mimi ni mtu ambaye nimeshakinaishwa na Tamthiliya za huyu Zitto Kabwe na ndio maana nilikuwa nasubili kwa hamu nione coverage ya magazeti ya leo yatakuwaje, kama ilivyo kawaida na desturi ni Gazeti la Mwananchi pekee ndilo lililoipa coverage habari hii ambayo source yake eti ni Mirald Ayo.

My take: Ukiona habari yoyote ya kuibobomoa Chadema, haijapewa kipaumbele na magazeti ya Uhuru, Mtanzania na Habari leo basi ujuwe ni Gazeti la Mwananchi pekee ambalo Zitto Kabwe ni sehemu ya wahariri wake tayari wanakuwa wameshaandaa story yao ili kuwapumbaza watu.

Bado sijamsahau Zitto huyu huyu aliyetangaza kutogombea Ubunge mwaka 2010 na baadaye akaibuka kutangaza kugombea ubunge kwenye majimbo 5 tofauti, huyo ndio Zitto Kabwe.


DSC02174-509x600.jpg
.
DSC02175-450x600.jpg
.
DSC02176-422x600.jpg
.
DSC02177-424x600.jpg
.
DSC02178-473x600.jpg
.
DSC02179-430x600.jpg
.
DSC02194-450x600.jpg
.
DSC02195-427x600.jpg
.
DSC02196-421x600.jpg
.
DSC02197-442x600.jpg
.
DSC02191-423x600.jpg
.
DSC02192-409x600.jpg
.
DSC02188-450x600.jpg
.
DSC02190-422x600.jpg
.
DSC02185-450x600.jpg
.
DSC02186-438x600.jpg
.
DSC02201-800x590.jpg
.
DSC02202-800x477.jpg
.
DSC02199-800x600.jpg
.
DSC02200-800x482.jpg

 
:rockon:Agombee! Hasigombee! ni uamuzi wake yeye mwenyewe,,sisi tunaendelea na M4C yetu..2015 lazima kieleweke piga ua garagaza.:yo:

CDM alikikuta na atakiacha kikiwa madarakani:frusty:
 
Asante kwa magazeti mkuu,
nimeona hii ya mitihani ya form four na six,
ngoja niitafute.
 
Hakuna cha mapema, hiyo ni sera ya CCM, Mh Zitto kafanya jambo zuri kutangaza nia mapema, Ni wajibu wetu sasa kumpima. Namuunga mkono Mh Zitto na yeyote ndani ya CDM anayetaka kuwania nafasi ya Urais wajitokeze sasa hivi tuanze kuwapima, kabla ya kuwanadi. Hakuna haja ya CDM kucheza ngoma ya CCM.
 
Sioni tatizo kutoa kauli za kisiasa kama hizi. Hata mwaka 2010 alisema the same thing na hakutekeleza.
Hizi ni siasa tu.

Japo hii one man show is becoming boring sasa.
 
Matola bana....huyu Lowassa tunayemfahamu au Lowasa yupi huyo!!
Unajuwa kuna vitu vinakera na vinabore sana, Chadema bado haiko serious kukabidhiwa Serikali ndio maana wanaentertain ujinga mpaka leo.

Hivi kati ya Zitto Kabwe na Hamad Rashid ni nani mwanasiasa mkongwe? kwa nini CUF wamemfuta uanachama? na ni kwa nini mtu dhaifu kama Mbatia amemkata kabisa kilimilimi Kafurila mapema kabla ya kukiaharibu kabisa chama cha NCCR? who is Zitto?
 
:A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade: "one day things will be open!!" teh teeeh teeeeh
 
Kama umechoka kuona habari zake hama nchi, lakini ukiwa Tanzania utasikia tuu kuhusu kijana toka 6503 he he he bado mtaumwa sana tumbo juu yake na hasa vibaraka wa watu fulani

chadema haiwezi kuongozwa na hisia za watu wachache kama mnachuki zenu chadema kama cha wanajua haki ya msingi ya kila mwanachama wao hivyo siyo sehemu ya kufukuzana wanajua kijana wao ana weza then wa mfukuze kwenda wapi?

Jambo la muhimu ni kwamba tumetoa nafasi kwa kila anaye weza kugombea uwongozi kutangaza mapema ili kuweza kupima uwezo wake, chadema hatuwezi ishi kwa kuogopa kivuli, hivyo pongezi kwa uwongozi makini wa chadema kuonyesha umepevuka na mambo ya kusikia hisia za watu.

Zkk hawezi fukuzwa angefukuzwa kwanza Shibuba ambaye anatukana chama kila siku, but still yupo na hakuna hatua yoyote anachukuliwa, walikuwepo kina Chachawangwe marehemu nao pia walikuwa wanasikilizwa kila wasemalo ukianzishwa kurisha mawe usiogope kamwe kupigwa na jiwe so chama cha demokrasia kina msingi mpana kuonyesha upevu wake.

wenye chuki na zkk mtachoka tuu lakini mimi naona ni jambo la msingi kupima uwezo wa chombo kabla ya kwenda bahari kuu.

Hamad Rashid ni mkongwe na Nccr ni wao sisi chadema hatuwezi kuishi kwa kuigawengine wao ni wao na sisi ni sisi
 
Back
Top Bottom