Magazeti yanayomchafua LOWASSA!!

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Wanajamii, salaam!!!
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.

SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE.
 
Wanajamii, salaam!!!
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.

SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE.

Hapo kwenye red hapo,
Kila siku mnatuambia ana malengo yake, mbona hamtutajii hayo malengo? Na hata yeye mwenyewe nilimsikia akinukuliwa na gazeti moja akiwa kanisani kwamba kuna watu wanamwandama ili asifikie malengo yake? Kwani anataka afanye ufisadi kiasi gani akiupata huo Urais?
 
Lowasa ni mtendaj mzur sana ambaye pia ana madhaif yake. Kila gazet lipo huru kuzungumzia ubora na udhaifu wake.
 
Wanajamii, salaam!!!
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.

SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE.

hizo hela zake anazokupa zitakutokea pabaya tu!!we endekeza njaa!!kwa nini mtu mzima unashindwa tumia akili yako vizuri?
 
"wanajamiii salaam!!!
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.
SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE"



Usiwe mjinga kama Lowassa aliyemuomba eti mwalimu nyerere aende akamsafishe kwa wapiga kura wake!unadhani kwa nini alimuomba mwalimu "akamsafishe"?wewe huko kwenu mtu akiwa msafi ana safishwa tena???sasa unadhani kwanini mwanaume wako wa shoka Lowassa aliomba kusafishwa kama ni msafi kiasi hicho unachofanya jitihada ili nasisi tuwe wajinga kama wewe na lowassa wako kuamini lowassa ni msafi,haiwezekani kumchafua mtu ambae tayari amejichafua mwenyewe kwa tamaa zake za utajiri,swahiba wake aliposhika madaraka alimpa opportunity mwenyewe akai abuse,sasa mnahagaika nae wa nini na mpaka wapi?
 
Who is Lowassa hapa Tanzania? Unamzungumzia yule muhujumu uchumi wa taifa, mwizi wa rasilimali za watanzania? anyway who cares about Fisadi kama Lowassa?
 
Dawa ya wahujumu uchumi kama wakina Lowassa ni hii
draka.gif
 
Lowasa ni mtendaj mzur sana ambaye pia ana madhaif yake. Kila gazet lipo huru kuzungumzia ubora na udhaifu wake.

Ktk lipi,Tueleze na malengo yake pia utueleze acha bla bla.hata Jk watu wanaoeleza kama wewe walikuwa wengi kuliko wa Edo.
:mvutaji::A S 114:
 
Sijawahi kusikia mtu akishtakiwa kwa kuua maiti. Lowassa anachafuliwaje wakati yeye mwenyewe ni uchafu? Kama nia ilikuwa ni kuanzisha thread ili iende parralel na ile ya magazeti aliyoyweka mfukoni then this is a wasted effort that will not see the light of the day.

Aliye msafi hawezi kutumia fortune kununua ufuasi na hata waandishi ili wafiche yale mabaya wanayoyajua kuhusu yeye. Kamwe urais haupatikani kwa kuficha mabaya yako, ambayo hata hivyo jamii mnayojaribu kuificha inayafahamu sana kuliko hata hao waandishi. Mtateseka sana mwaka huu na kaniki itabaki na rangi yake!
 
Lowasa ni mtendaj mzur sana ambaye pia ana madhaif yake. Kila gazet lipo huru kuzungumzia ubora na udhaifu wake.

Lowassa hakuwahi kuwa mtendaji bora pale ambapo hakuna maslahi binafsi. na Utendaji bora ni kutoa broadsides na kudhalilisha watendaji wake? Hizo siasa za kinyapara atuondolee hapa. Zilikufa na Dr. Kleruu!
 
Wanajamii, salaam!!!
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.

SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE.

mtu mzima hovyo mada yako ime kaa kitaarab taraaab,taja wewe unavyovijua na isiwe kwa edo tuu
taja na vya JK,SLAA,WASSIRA n.k
ukweli utabaki kuwa ukweli acheni kutumika kama kondom mwisho wa siku atawatupa wakati keshapiga bao
think twice!!!!
 
mtu mzima hovyo mada yako ime kaa kitaarab taraaab,taja wewe unavyovijua na isiwe kwa edo tuu
taja na vya JK,SLAA,WASSIRA n.k
ukweli utabaki kuwa ukweli acheni kutumika kama kondom mwisho wa siku atawatupa wakati keshapiga bao
think twice!!!!

You couldn't be more candid brother!
 
Very interesting thread, Inamaana hakuna hata mwandishi mmoja au gazeti mojawapo katika yote yaliyosajiliwa wanapewa PESA ili kuandika habari za kutunga za kumchafua EL? Chemusha bongo kwa watu wanaomuunga mkono EL ni kujiuliza kama huyu kipenzi chao ni mchafu, je kachafukaje? Na kama ni 'msafi' basi mwenye afya njema hamuhitaji Daktari. Tuchukulie amechafuka, na kama sio magazeti yaliyomchafua, kujisafisha katika magazeti si ni sawa na kumvalisha suti mpya ya bei mbaya mtoto aliyetapakaa mavi kabla ya kumuosha kwanza. Hiyo haijalishi mavi hayo kajipaka yeye au kapakwa na mama yake aliyemzaa. Hii inanikumbusha methali moja maarufu isemayo "Kwenye ukweli uongo hujitenga".
 
Lowasa ni mtendaj mzur sana ambaye pia ana madhaif yake. Kila gazet lipo huru kuzungumzia ubora na udhaifu wake.

Ufisadi ndio unao mmaliza hata mumsafishe vipi hatakati huyu.
Ukiongelea tu ufisadi picha kubwa ya L inakujia usoni .Huyu ni hatari kwa TZ
 

Hapo kwenye red hapo,
Kila siku mnatuambia ana malengo yake, mbona hamtutajii hayo malengo? Na hata yeye mwenyewe nilimsikia akinukuliwa na gazeti moja akiwa kanisani kwamba kuna watu wanamwandama ili asifikie malengo yake? Kwani anataka afanye ufisadi kiasi gani akiupata huo Urais?

Kila mtu ana malengo yake, hata EL si makosa kama akiwa na malengo yake. Anaweza kuwa na malengo ya urais, si dhambi kwani ana sifa zote zinazotakiwa kikatiba. Pia anaweza kuwa na malengo ya kuuthibitishia umma kwamba yasemwayo na yahubiriwayo mitaani dhidi yake kuwa si sahihi. Yote yanaweza kuwa ni malengo yake
 
mtu mzima hovyo mada yako ime kaa kitaarab taraaab,taja wewe unavyovijua na isiwe kwa edo tuu
taja na vya JK,SLAA,WASSIRA n.k
ukweli utabaki kuwa ukweli acheni kutumika kama kondom mwisho wa siku atawatupa wakati keshapiga bao
think twice!!!!

Kumbe hao mnaowasifia na kuwapigia chepuo ni kwa kuwa mnategemea 'chochote' kutoka kwao. Kama ndio hivyo, nchi imekwisha. kila mtu ana mawazo ya kifisadi fisadi
 
yeye kama kiongozi wa serikali bungeni aliyepita tumeona utawala na ufanisi umekuwa ukishuka katika serikali baada ya yeye kujiuzulu.. sasa ni busara tuendelee na siasa za kuangalia nani mtoto wa mkulima badala ya yupi anaweza kazi? tubadilike na kuwa output oriented badala ya input oriented.
 
Ungesema magazeti yaliyokuwa...yaliyokuwa yanamchafua. Kwa kwa sasa hayopo tena. Yote yanamsifu.
 
yeye kama kiongozi wa serikali bungeni aliyepita tumeona utawala na ufanisi umekuwa ukishuka katika serikali baada ya yeye kujiuzulu.. sasa ni busara tuendelee na siasa za kuangalia nani mtoto wa mkulima badala ya yupi anaweza kazi? tubadilike na kuwa output oriented badala ya input oriented.

kweli kazi ipo yaani wewe bila lowassa huwezi kusimama peke yako ukafanya mambo ya maana? hivi siku lowasa ikifa ndiyo basi maisha ya watanzania nayo yatakuwa yamezikwa? acha kujifariji na mambo ya kusadikika. mimi nakuona kama wewe unafaa zaidi yake, wewe unalionaje hilo?
 
Back
Top Bottom