Wanajamii, salaam!!!
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.
SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari mbalimbali vya huko nyumbani na hata mitandao ya kijamii. Katika pitapita zangu ndani ya jamiiforums, nimekutana na thread isemayo MAGAZETI YANAYOMSAFISHA LOWASSA, HAYA HAPA. Baada ya kusoma thread hiyo na kuona wachangiaji wanavyochangia, nikatafakari na nikapata swali. Nalo ni hili: Kama kuna magazeti yanayomsafisha LOWASSA basi lazima kutakuwa na magazeti yanayotumika kumchafua Lowassa. Na kama kuna wahariri wanaomsafisha lowassa basi wapo wanaomchafua lowassa.
SASA BASI, TUTAJE VYOMBO VYA HABARI VINAVYOTUMIKA MUMCHAFUA LOWASSA KWA MAKUSUDI KABISA ILI ASIFIKIE MALENGO YAKE.