kweli shigongo ameharibu sana hii nchi. Hapa anajua atapiga hela ndefu kwa mauzo.
Wenzako tunamlilia Sajuki wewe waleta masihara!!! Yatakushinda!! Au yameshakushinda tayari!!! Soma hili bango hapa chini halafu mpigie simy Dr Chipoteka atakupa ushauri nasaha.
View attachment 77913
nilikuwa na machungu na CCM nilipopita hapa nimecheka balaa, ngoja nilale sasa