50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 3,875
- 3,730
Haka ka nchi kenye watu zaidi ya milion 45 bado kako kwenye enzi za mawe1.kifo cha sajuki ,freemason wahusishwa,inasemakana 1/1 ni aina ya kafara ya hali ya juu
2.sajuki alijua kifo chake
3.masaa 24 kabla ya kifo cha sajuki kama vie alijua
4.uchawi wahusishwa kifo cha sajuki
5.etc
nini maana yake jina langu kuliwekea rangi?
chezea mjasiriamali es wewe!kweli shigongo ameharibu sana hii nchi. Hapa anajua atapiga hela ndefu kwa mauzo.
1.kifo cha sajuki ,freemason wahusishwa,inasemakana 1/1 ni aina ya kafara ya hali ya juu
2.sajuki alijua kifo chake
3.masaa 24 kabla ya kifo cha sajuki kama vie alijua
4.uchawi wahusishwa kifo cha sajuki
5.etc
Sajuki aliacha taa ya chumbani kwake ikiwaka. Mwenye nyumba alonga na Sani.
Kutafuta misifa tu,kwa nini fedha kama asingempa imsaidie kwenye matibabu yake?Wema atoa mil 2, msiba wa sajuki.
Siri anaijua Muumba wa mbingu na nchi,mengine ni umbea mtupu!Kifo cha sajuki siri kubwa yafichuka