Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Kikwete anatakiwa aondolewa kwa box la kura lakini sio kumfanyia vitu vya aina hii vya kutaka kuhatarisha maisha yake bila sababu amfute kazi mkuu wa itifaki ikulu akingojea mengine yatokee watammaliza,hawana nia njema mambo gani hayo bwana waache uzembe ujinga mtupu kabisa yaani hawana vituo maalumu wanaweza wakajaza mafuta popote pale ,hii ni hatari sana hatuna tena watu tuliokuwa tunawaamini waliokuwa wnalinda viongozi wetu ,mbaya,mbaya mbaya ,KIKWETE fukuza mkuu wa itifaki hapo IKULU wanakula bure kodi za wananchi
mtafukuza wote lakini yeye mwenyewe anawajuwa wabaya wake ..kwa majina ....maana alilowafanyia anayajuwa...my take is kwamba ni bora watu wakajifunza kusameheana!!!