Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,675
mnaikumbuka View attachment 111359
Hizi bado zipo mjini..mbili tatu hv.
mnaikumbuka View attachment 111359
Kitu Mgongo wa Chura Brand New kitu cha mwaka 1949 kweusi
kama hili nimeliagiza juzi tu
Nini picha Bana!
Nenda Mkoa wa Kilimanjaro hasa wilaya zenye Wachaga;
Utakutana na magari mengi ya kizamani hasa Toyota Enye Nguvu (Toyota Stout) old model.
Pijot kuanzia 201 na kuendelea
Na mengine mengi.
Mbaya zaidi bado yanapiga mzigo kwa kwenda mbele.
Bazazi!
Leyland, FIAT, Austin
mnaikumbuka View attachment 111359