Magari ya Kizamani Unayakumbuka?

DSC_8082A.jpg

Kitu Mgongo wa Chura Brand New kitu cha mwaka 1949 kweusi
DSC_8084A.jpg

Oh my...my dad used to have this...kila akinunua gari ni mgongo wa chura tuuuu...kilikua kinabamizwa ila kipo tu..so durable
 
daa apo unanikumbusha mbali sana,,,,,,,,,,,,,,,,,,! 504............hzo gari zilikuwa balaa 2pu
 
Nini picha Bana!
Nenda Mkoa wa Kilimanjaro hasa wilaya zenye Wachaga;
Utakutana na magari mengi ya kizamani hasa Toyota Enye Nguvu (Toyota Stout) old model.
Pijot kuanzia 201 na kuendelea
Na mengine mengi.
Mbaya zaidi bado yanapiga mzigo kwa kwenda mbele.

Bazazi!

Toyota_truck1.jpg

Kitu hicho Old Model cha kubebea Mbege Toyota Stout...

Ila Pegiout hazitembei mkuu Spare ni issue wengi wamezipaki uwani tu

1967-toyota-stout-1900-pickup-truck-1.jpg


 
Jiefong la Ukweli

faw-jiefang-ca10-12.jpg


faw-jiefang-ca10-09.jpg



Haya Magari Walikuja Wachina wakayanunua nadhani karibu yote... Walikuwa wakikuta nayo wanakupa ile Jiefang Mpya unawaachia ngara ngara nadhani yalikuwa yanatumia Petrol
 
Nakumbuka kwenye Magazeti ya Newsweek enzi hizo unakuta kwenye ukurasa mmoja Tangazo la Hizi Gari Isuzu TX-55 Tipper Binua
isuzu-tx-01.jpg
 
Jiefong la Ukweli

faw-jiefang-ca10-12.jpg


faw-jiefang-ca10-09.jpg



Haya Magari Walikuja Wachina wakayanunua nadhani karibu yote... Walikuwa wakikuta nayo wanakupa ile Jiefang Mpya unawaachia ngara ngara nadhani yalikuwa yanatumia Petrol

Hahaaa....!!! haaa.....!!. Tulikuwa twayaita majaifongo ' jaifongo'. Those days...... haaahhaaa!!!!
 
1974%2B74%2BPeugeot%2B404%2BGrand%2BTouring%2BSaloon%2BSedan%2B4%2BDoor%2Bby%2BPininfarina%2B4.jpg

1974%2B74%2BPeugeot%2B404%2BGrand%2BTouring%2BSaloon%2BSedan%2B4%2BDoor%2Bby%2BPininfarina%2B1.jpg


1969-peugeot-404-station-wagon-familiale-estate-1.jpg

1969-peugeot-404-station-wagon-familiale-estate-2.jpg

1969-peugeot-404-station-wagon-familiale-estate-5.jpg

Hizi kitu zilikuwa Taxi kwa sana Abiria unapakia mzigo kwenye gari kisha unasukuma gari likiwaka dereva anasimamisha unapanda mnaendelea na safari mkifika unamlipa pesa yako kwisha....
 
Back
Top Bottom