Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Kweli sasa nimegundua Sheria zimewekwa ili zivunjwe.Haya magari ya Serikali tena na Milingoti ya bendera baa mpaka usiku mkubwa inamaana gani jamani?Au tuchukue sheria mikononi?Hawajui tumechoka serikali?