Andrew Kellei
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 348
- 123
Wadau,leo asubuhi nilikua nasikiliza redio MAGIC FM katika kipindi cha morning magic,katika kile kipindi cha zaidi ya habari mwandishi Kibwana Dachi ametuambia leo ni siku ya tatu (3) tangu mafuta yaanze kuchimbwa Tanzania.Kwa siku wanachimba mapipa 100 (mia moja).Hii ina maana kwmba tayari watakua wamechimba mapipa mia tatu.
Swali la kujiuliza ni kwamba,mbona hii ishu ipo kimya kimya sana?
Ina maana serikali haijui au wanataka kutuambia kuwa bado jamaa wanafanya utafiti?
jamani hebu tulifuatilie kwa kina hili jambo isije kuwa ndo mtindo ule ule wa wachimba madini.
Nawakilisha.
Swali la kujiuliza ni kwamba,mbona hii ishu ipo kimya kimya sana?
Ina maana serikali haijui au wanataka kutuambia kuwa bado jamaa wanafanya utafiti?
jamani hebu tulifuatilie kwa kina hili jambo isije kuwa ndo mtindo ule ule wa wachimba madini.
Nawakilisha.