Usitegemee kama kuchimbwa kwa mafuta kutaisaidia Tanzania kama serikali ilioko madarakani inaendelea kusaini mikataba jini. Tutaishia kupewa 1%Wadau,leo asubuhi nilikua nasikiliza redio MAGIC FM katika kipindi cha morning magic,katika kile kipindi cha zaidi ya habari mwandishi Kibwana Dachi ametuambia leo ni siku ya tatu (3) tangu mafuta yaanze kuchimbwa Tanzania.Kwa siku wanachimba mapipa 100 (mia moja).Hii ina maana kwmba tayari watakua wamechimba mapipa mia tatu.
Swali la kujiuliza ni kwamba,mbona hii ishu ipo kimya kimya sana?
Ina maana serikali haijui au wanataka kutuambia kuwa bado jamaa wanafanya utafiti?
jamani hebu tulifuatilie kwa kina hili jambo isije kuwa ndo mtindo ule ule wa wachimba madini.
Nawakilisha.
Usitegemee kama kuchimbwa kwa mafuta kutaisaidia Tanzania kama serikali ilioko madarakani inaendelea kusaini mikataba jini. Tutaishia kupewa 1%
At least tunapata 3% kwenye dhahabu
1% yote hiyo? Usishangae wakivuna mwaka mzima bure ukiuliza unaweza ambiwa yanafanyiwa uchunguzi kama yanafaa
Labda huyo mwandishi alikuwa hajui ni nini alichoambiwa. Uchimbaji wa mafuta bado upo kwenye hatua za utafiti. Ni kweli kuna baadhi ya maeneo ya Ruvuma basin kumeonyesha dalili za kuwapo mafuta, na ndiko huko ambako utafiti huo unafanyika katika hatua za mwisho mwisho
Mafuta yaanza kuchimbwa mtwara,na kampuni husika imekiri na kuwa inatoa mapipa
300 kwa siku tangu tarehe 16/12/2011 ila waziri Ngeleja adai kampuni bado inafanya utafiti kwa miaka mitano.
Taarifa hii imetolewa na Mwanahabari wa magic fm (kibwana dachi) na kusisitiza
kuwa wananchi waamke
Source: Magic fm 19/12/2011, morning magic
Hivi iweje viongozi wetu tuliowapa dhamana katika maamuzi kuudanganya umma, hivi mafuta mapipa 300 kwa siku huo ni
utafiti kweli, je miaka mitano watakuwa wamechukua mafuta kiasi gani?
Rasilimali zetu lazima tuzilinde sisi wananchi la sivyo wataendelea kugawana na kuendelea kuwadanganya umma wa watanzania kwakujua kuwa sio wafuatiliaji wa
mambo. Tuamke jamani, tuache itikadi za kichama.
Source:mwanahakati wa fb
(Mbagala chadema Igunga mbegu).
hahahaha pipa100 kwa siku hata dsm hazitosh