<br />Kimsingi hakuna aliyefanya niniiii?Mafuta ya taa ni muhimu kwa afya ya binadamu.Mpe hi AZ! NIMESAHAU.
<br />Inamaana hujui yakwamba mafuta yataa yanafanya wanafunzi haswa wa boading kuwapunguzia heat?haaaa wanaondolewa nyege kiaina bila wao kujua,ndo waishi swari bila kupata ugonjwa wa mapenzi na kuanza kucheka wenyewe.
<br />shule mchanganyiko!boarding za was kwa wav. Hazina mtindo huo!zile za jinsia moja ndo zina mtindo wa kuweka mafuta ya taa
<br />Bora mi-niliyesoma secondary ya kata maana hata nilikua sijui kama mafuta ya taa ni dawa ya penzi, teh teh teeeh!!!!!
<br />POPEYE WE UNA MHUSIANO NA MREMBO0 YOyOTE?MAFUTA NI DAWA NZURI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.UKEKE WOTE KWISHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
<br />duh.!!! mafuta ya taa.. mi sili bora npate hiyo heat, ntatafuta wa kupunguzia
duh.!!! mafuta ya taa.. mi sili bora npate hiyo heat, ntatafuta wa kupunguzia