Mafuta ya taa kwenye msosi shule za bweni, ni kweli yanapunguza nyege?

Hivi ukweli kwamba hua tunawekewa mafuta ya taa katika chakula huko shule za boarding kwa makusudi?na kama hivo lengo hua nini?...
 
Kimsingi hakuna aliyefanya niniiii?Mafuta ya taa ni muhimu kwa afya ya binadamu.Mpe hi AZ! NIMESAHAU.
 
Inamaana hujui yakwamba mafuta yataa yanafanya wanafunzi haswa wa boading kuwapunguzia heat?haaaa wanaondolewa nyege kiaina bila wao kujua,ndo waishi swari bila kupata ugonjwa wa mapenzi na kuanza kucheka wenyewe.
 
Hihii!!duh,kuna kauchunguzi ka kisayansi juu ya hilo?nataka niandamane
Inamaana hujui yakwamba mafuta yataa yanafanya wanafunzi haswa wa boading kuwapunguzia heat?haaaa wanaondolewa nyege kiaina bila wao kujua,ndo waishi swari bila kupata ugonjwa wa mapenzi na kuanza kucheka wenyewe.
<br />
<br />
 
POPEYE WE UNA MHUSIANO NA MREMBO0 YOyOTE?MAFUTA NI DAWA NZURI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.UKEKE WOTE KWISHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
 
Bora mi-niliyesoma secondary ya kata maana hata nilikua sijui kama mafuta ya taa ni dawa ya penzi, teh teh teeeh!!!!!
 
shule mchanganyiko!boarding za was kwa wav. Hazina mtindo huo!zile za jinsia moja ndo zina mtindo wa kuweka mafuta ya taa
 
Asee inawezekana lakini sijui kwa vile sikuwah kusoma boarding za mchanganyiko!duh
shule mchanganyiko!boarding za was kwa wav. Hazina mtindo huo!zile za jinsia moja ndo zina mtindo wa kuweka mafuta ya taa
<br />
<br />
 
Teh teh we kweli kamkuki,duh nimekushusha mpaka kasindano maana hii issue ya mafuta ya taa ni common
Bora mi-niliyesoma secondary ya kata maana hata nilikua sijui kama mafuta ya taa ni dawa ya penzi, teh teh teeeh!!!!!
<br />
<br />
 
Kaka we tangu lini me niwe na demu?teh teh teh teh!kwanza umefunga?
POPEYE WE UNA MHUSIANO NA MREMBO0 YOyOTE?MAFUTA NI DAWA NZURI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.UKEKE WOTE KWISHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
<br />
<br />
 
habari zenu wana MMU..
Nadhani kwa mtu yeyote aliyesoma boarding schools au hata kama hukusoma basi utakuwa umesikia hili swala la kuwekewa mafuta ya taa kwenye chakula ili kupunguza ny*ge(mihemuko ya kimapenzi) kwa wanafunzi!!
Je kuna ukweli wowote kwamba yanasaidia?..maana mi nakumbuka pamoja na kuwekewa hayo mafuta bado watu walikuwa wanajichua na kutembea na wasichana nje ya shule kama kawa n kwa upande wa kina dada wao kusagana bado kupo mashuleni!!
Sasa je hii njia haina madhara yoyote kiafya!!?
Nini mtazamo wako katika hili je ni njia sahihi kutumika kupunguza hiyo mihemuko(ny*ge) kwa wanafunzi?
KARIBUNI.
 
Nikiwa KATIKA kipindi cha masomo ya elimu ya sekondari ya Bweni na hata mafunzo flan hv ya awali kijeshi, nilikuwa nikishuhudia harufu ya MAFUTA YA TAA ktk msosi wa mchana au usiku hasa KATIKA maharagwe, nikawa najiuliza kulikoni kila siku mafuta. ya TAA yagusane na chakula,? lakini wadau wangu walikuwa nao pia wakijibu pasipo uhakika kwamba ile kitu huwa inamiminiwa kwa makusudi ili kuwasaidia walengwa yaani wanafunzi wasiweze kupata HAMU YA KU DO! lakini pamoja na hiyo kitu kuwekwa ktk beans bada watu walikuwa wanatembeza na kupokea vichapo!! SASA huwa najiuliza hii kitu inaukweli wana Jf?
 
sijui sisi wa boarding tupo salama au??mafuta ya taa kuanzia form 1 hadi form6..duuh waje wanifanyie extraction maana nahisi sipo salama naweza kuripuka nikipita karibu na jiko.
 
Hadi nilivo graduate form 4 mafuta ya taa ilikua km daily meal kwangu,5 na 6 kadhalika...
 
Back
Top Bottom