Mafuta ya Petroli yameshuka kuliko maelezo

EWURA ni kansa nyingine inayotutafuna watanzania na hakuna Dawa nyingine zaidi ya LOWASA ili kupambana na akina JK waliotandaza sheli nchi nzima alafu wanatuhadaa watanzania wakiungana namabwege wachache wenye gundi machoni.
 
Huku Nyakanazi imegonga 2650 per liter, ni hatari sana. Ila hivi na hawa UKAWA tukiwapa nchi si na wao watafanya hayahaya? Maana hata mkuu alivoingia hakuwa anajua chochote sasa akajanjarukia njiani kwani UKAWA wao hawawezi kujanjaruka.Dawa ni kuliombea taifa liwe na hofu ya Mungu tu basi, aje CCM aje UKAWA ama hata ACT kama hakuna hofu ya Mungu mambo ni yale yale tu

EWURA ni kansa nyingine inayotutafuna watanzania na hakuna Dawa nyingine zaidi ya LOWASA ili kupambana na akina JK waliotandaza sheli nchi nzima alafu wanatuhadaa watanzania wakiungana namabwege wachache wenye gundi machoni.
 
Mafuta hayawezi kushuka kiasi hicho tz ingawa kwenye soko la dunia ndo hivyo yapo chini,sasa hivi CCM wapo busy kukomba hazina.

Kwani mara ya mwisho yalipanda kwa kuwa yalipanda kwenye soko la dunia? sisi tu, hivi mkisikia mawaziri wa serikali ya jk wanabeba fedha kwenye vikapu na rambo kwenye kampeni wanazitoa wapi? Si ndio hiyo! Nasikia mmoja musoma hela lumbesa zilikamatwa airport, eti ndio chama asili cha ukombozi, namuheshimu sana babu kipara la sivyo ningemshushia ya haja. Tukutane Otober 25 bandugu
 
Mwenye Tenda ya kuingiza mafuta nchini Ridhimoko,sasa unategemea nini?Mkapa alisema kweli sisi ni wapumbavu kuendelea kuwaweka madarakani hao hao wanaotunyonya!Watu wananunuliwa kwa kofia na t shirt kwa miaka mitano,kwanini wasikuone mpumbavu
 
Ni kweli kabisa mafuta yameshuka kuanzia jumatano iliyopita.

Bei ya jumla depot ni: Petrol 1730 na Diesel 1560.

Mandla.
 
Bei itapanda zaidi ya hapo kwa tanzania au mnajifanya hamjui mama baba riz na huyo riz ni wamiliki wa vituo vya mafuta

Sasa ikiwa mkuu wa kaya ndio muuza mafuta je unafikiri atasimamia kushuka kwa bei

Lowasa hoyeeeeee ukawa hoyeeeeee jamani Chonde Chonde dawa ni Kuwamwaga nnya hawa ccm
Lowasa anao marafiki. Wanamchingia billions. Marafiki wa Lowasa ni akina nani? Marafiki wa Lowasa ni wafanyabiashara matajiri. Marafiki wa Lowasa wanafanya biashara gani? Mimi sijui, ila wengine ni wafanyabiashara ya mafuta, ingawa kapuya alishadokeza habaro za watoto wao kuuza unga. Bahati nzuri lowasa anauchukia umaskini ila kashindwa hata kuanzisha kiwanda cha kusindika maziwa ya ng'ombe wa Masai wajomba zake.
 
EWURA ni kansa nyingine inayotutafuna watanzania na hakuna Dawa nyingine zaidi ya LOWASA ili kupambana na akina JK waliotandaza sheli nchi nzima alafu wanatuhadaa watanzania wakiungana namabwege wachache wenye gundi machoni.
sheli ....ulimaanisha kituo cha kuuzia mafuta?, duh bado safari ni ndefu.
 
Ewura hapo macho yana gundi, yakipanda ni fastaaa kabla hata mtangazaji hajamaliza kutangaza...
Wanajamvi tuanze kupiga kelele.
Tuanze wakati tayari chama kimesha weka cha juu kwenye ununuzi wa mafuta wa jumla sh biliioni 20 toka tarehe 29 julai 2015.kwa kuvunja sheria ya manunuzi .na hayo mafuta ya bei ya chajuu.yanaingia nchini wiki hii.:source the citizen
 
America the GREATEST....

Oil prices dropped due to MORE PRODUCTION from U.S.A, using cheaper technology like cracking rocks methods...!!!

" Let me clarify a bit about the WONDERS of this TECHNOLOGY, i.e OIL SHALE...

OIL SHALE is in FACT not SHALE and does not contain OIL, but is instead a ROCK that at GREAT MONETARY and EVIRONMENTAL COST can yield COMPOUNDS that could eventually be made into OIL...in short, the OIL SHALE the right name is TIGHT OIL....it is a rock that contains oil, sometimes in MILLIONS years to come may come to be SHALE...

So what U.S.A it does, is to use all CHARACTERISTCS to apply pressures to those rocks by cracking to PRODUCE OIL...!!!

IMAGINE... IMAGINE... IMAGINE... IMAGINE...

FROM just rocks that might be shale in millions of years to come...but they pump and pressure all CHARACTERISTICS TO THAT ROCKS to get out OIL...!!!

U.S.A very genius... like Lowassa...!!!

Wonderful... HII NDIO sbb kuu BEI ya mafuta kufika hadi $39 a barrel....!!!
 
Lowasa anao marafiki. Wanamchingia billions. Marafiki wa Lowasa ni akina nani? Marafiki wa Lowasa ni wafanyabiashara matajiri. Marafiki wa Lowasa wanafanya biashara gani? Mimi sijui, ila wengine ni wafanyabiashara ya mafuta, ingawa kapuya alishadokeza habaro za watoto wao kuuza unga. Bahati nzuri lowasa anauchukia umaskini ila kashindwa hata kuanzisha kiwanda cha kusindika maziwa ya ng'ombe wa Masai wajomba zake.

Masai hawafugi ngombe wa maziwa .ngombe wa nyama tuu.na tayari kuna kiwanda cha nyama .masaini
 
Huku Nyakanazi imegonga 2650 per liter, ni hatari sana. Ila hivi na hawa UKAWA tukiwapa nchi si na wao watafanya hayahaya? Maana hata mkuu alivoingia hakuwa anajua chochote sasa akajanjarukia njiani kwani UKAWA wao hawawezi kujanjaruka.Dawa ni kuliombea taifa liwe na hofu ya Mungu tu basi, aje CCM aje UKAWA ama hata ACT kama hakuna hofu ya Mungu mambo ni yale yale tu
Ombea maji yageuke petrol mkuu. Naona hujui maana ya uongozi na mfumo kandamizi. Nina uhakika hata kura wewe hupigi kwasababu unaamini haya yanayotokea yanahitaji maombi tu.

Poor you.
 
SATURDAY, AUGUST 22, 2015
Revealed: Ewura warned against
In Summary
Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) director general Felix Ngamlagosi wrote PIC on July 30, demanding the latter to follow the law with regard to the picking of a firm to import fuel under the Bulky Procurement Arrangement.

ADVERTISEMENT

Dar es Salaam. The saga involving a tender that will see Tanzanians dig deeper into their pockets to pay for what is seen as inflated oil importation tender took a new twist yesterday when it was established that the sector’s regulator had warned Petroleum Importation Coordinator (PIC) against the move.

The sum in question is a staggering $9,040,840.756 (about Sh19.3 billion at the prevailing rate) in additional $20.596 premium per metric tonne.

Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Ewura) director general Felix Ngamlagosi wrote PIC on July 30, demanding the latter to follow the law with regard to the picking of a firm to import fuel under the Bulky Procurement Arrangement.

That came after PIC had informed Ewura on July 22 – through a letter addressed to the managing director for Augusta Energy SA and a copy of which was sent to the permanent secretary in the Ministry of Energy and Minerals – that the importation coordinator was handpicking Augusta for the job. “Reading from the letter, the Authority is concerned that your instructions to Augusta are in conflict with the applicable laws,” reads the letter Ewura wrote to PIC general manager.

The letter states that Regulation 4(1) of the Petroleum (Bulk Procurement) Regulations, 2013 requires that procurement of petroleum products must be conducted through an efficient manner, which is through competitive tendering.

“Further, Part IV of the above said regulation clearly outlines the procedures that need to be adhered to in the BPS tenders. Your instruction to Augusta doesn’t seem to abide by this requirement,” the letter reads.

But unknown to Ewura, its words fell on deaf ears of PIC as by the time the letter reached the importation coordinator, a Shipping and Supply Contract with Augusta had already been signed on July 29.

The contract in question was signed between PIC and Augusta Energy SA in July under the BPS, putting the Weighted Average Premium at $64.911 per metric tonne of petroleum products.

This was $20.596 more than the Weighted Average Premium of $44.315 per metric tonne which was signed by PIC and the very same Augusta Energy SA in the preceding Shipping and Supply Contract on July 3.

Industry experts say the Weighted Average Premium caters for the supplier’s freight costs and profit margins. Sources within the oil marketing sector have told The Citizen that marketers have ordered a total of 438,961 metric tonnes to be imported under the 29 July Shipping and Supply Contract. With an additional $20.596 premium per metric tonne, the 438,961 metric tonnes translates into a staggering Sh19.3 billion, which marketers will then transfer to final consumers for the benefit of people known only to PIC at the expense of millions of Tanzanian consumers who will have to pay through their noses to purchase petroleum products to compensate for the increase.

Augusta Energy SA country manager Orlando B’costa confirmed to The Citizen in Dar es Salaam yesterday that the tender was not advertised but that PIC was acting in the general good of making sure that the country has enough petroleum reserves during the election period.

“We were invited to give our offer and we did. We were invited back for negotiations, so we had to review them before we were offered the contract to sign,” Mr B’costa told The Citizen.

He said his company was to give its offer due to its track record. “We are probably the only company that has participated in all of PIC’s tenders since the BPS was introduced and we have always supplied the fuel as required,” he said noting that part of the petroleum products, imported for the month of September will start landing at the Port of Dar es Salaam early next week.

He said PIC might have decided to handpick them basing on the fact that if a tender were to be floated, any company may have won due to the amount offered. However, he said, there could be no assurance that a company which may have won after offering a lower price would deliver the products as required.

On the Weighted Average Premium of $64.911 per metric tonne of petroleum products, Mr B’costa said such a figure is arrived at after analyzing the market forces.

“You may be told a lot of stories but the fact is that Premiums are never constant. They vary depending on market forces. In fact, we have had much more than this during some of the past tenders,” he said.

Prior to the signing of the contract, PIC general manager Michael Mjinja is on record as having communicated with all the oil marketing companies to submit their requirements for the period prior to the General Election, during the elections and thereafter. Mr Mjinja is on record as having been quoted saying that the PIC was also undergoing restructuring, and they were fearing that the new structure was going to adversely affect fuel importation during the sensitive period as the country was preparing for the General Election hence the need for enough supplies during the period between August and November this year would be “transitional!”

Industry sources say with the upped premium, Tanzanians should expect another fuel price hike when Ewura announces new indicative prices early next month.

“You should not be surprised when Ewura puts the cap price for petrol at Sh2,500 in Dar es Salaam next month. There is a lot of politics in this business,” said a source privy to oil marketing who asked not to be named as he was not authorized to speak. This is happening at a time when global prices of petroleum products are still falling while the shilling is on a two-month break from its free-falling spree.

From 2010 until mid-2014, world oil prices were fairly stable, at around $110 a barrel. But since June prices have more than halved. Brent crude oil has averaged below $50 a barrel for the first time since May 2009 while the US crude is approaching the $40 a barrel mark. In Asia trading yesterday, crude extended losses to trade a hair’s breadth away from the psychologically-important $40 a barrel mark -- a level not seen since the height of the financial crisis in 2009.

US benchmark West Texas Intermediate (WTI) dipped 41 cents to $40.39 in afternoon trade, after falling sharply in New York to its lowest level since March 2009. Brent crude dropped 28 cents to $46.57 a barrel.

After a public outcry, Ewura reacted by slashing pump prices late last year. In February 2015, Ewura capped the price for petrol at Sh1,768 per litre in Dar es Salaam while that of diesel was capped at Sh1,708.

Tanzanians rejoiced further in March when the price of petrol went down further to Sh1,652 while that of diesel reached Sh1,563. With a falling local currency, Ewura started reviewing prices upwards. In January last year, the shilling traded at an average of 1,630 against the dollar. In February this year, it was trading at between Sh1,830 and Sh1,900 per dollar before depreciating to a historic level of Sh2,400 in June, sending the Bank of Tanzania (BoT) back to the drawing board that saw it (the shilling) bouncing back to hover around the Sh1,900 mark in early July 2015. It currently stands at an average of Sh2,150.
 
Huku Nyakanazi imegonga 2650 per liter, ni hatari sana. Ila hivi na hawa UKAWA tukiwapa nchi si na wao watafanya hayahaya? Maana hata mkuu alivoingia hakuwa anajua chochote sasa akajanjarukia njiani kwani UKAWA wao hawawezi kujanjaruka.Dawa ni kuliombea taifa liwe na hofu ya Mungu tu basi, aje CCM aje UKAWA ama hata ACT kama hakuna hofu ya Mungu mambo ni yale yale tu

Kukaa tu Kimya na kumtegemea Mungu katika mambo ambayo yapo katika uwezo wako huo ni ujinga ,vipi kwa wasio na imani hizo za kuja nao waseme vipi?.

Nishati ya mafuta ndio kila kitu katika uchumi hasa katika nchi kama yetu ambayo nishati hii inatumika sana kutokana na mahitaji yetu kutegemea huko kama magari/Meli/treni/et.c.

Hivi vyoote kama bei ya nishati hii ya mafuta itakuwa juu basi navyo vinageuka kuwa kama anasa vile ,nauli zitapanda na budhaa zote tunazozitumia zitapanda bei.

Wasomi wetu wameutumia usomi wao kuwagandamiza masikini tusio na elimu ,ni nani wa kutusemea au kututetea kwani CCM wameshashindwa kwa miaka 53 sasa.

Kama mfumo huu umeshindwa kutoa matokeo yaliyotarajiwa ni wa kuwekwa pembeni tulete mfumo mpya wenye fikra tofauti..
 
Masai hawafugi ngombe wa maziwa .ngombe wa nyama tuu.na tayari kuna kiwanda cha nyama .masaini

Kuna ng'ombe asiyetoa maziwa? Kama wapo umasaini hongereni. Ukweli ni kwamba lowasa angejua thamani ya utajiri wa Masai, Leo vijana wa kimasai wasingekimbilia mijini kuchunga magari wangeendelea kichunga ng'ombe, huku wakimiliki kiwanda vya maziwa, nyama na mgozi.
 
Back
Top Bottom