Dengue
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 2,039
- 1,431
Umepitaje na daraja hakuna?
Hata mimi kanishangaza.
Umepitaje na daraja hakuna?
Jamaa kakimbia kajua kashtukiwa.Umepitaje na daraja hakuna?
Umepitaje na daraja hakuna?
Jamaa kakimbia kajua kashtukiwa.
Nimepitia iringa road -kilosa -dumila
Barabara ya huko inapitika kirahisi kwa gari ndogo? Ni km ngapi?
Barabara inapitka vizuri sana, ukitoka moro unafuata iringa rd unaingilia pacha ya kilosa-kimamba-ludewa-unatokezea ktk lami toka kilosa town unaunga na lami hadi dumila
Ok thanks makadirio ya urefu ni kama kilometa ngapi?
Kiongozi for sure sina uhakika na sikusoma km, ila barabara ni mzururi.Kwa gari dogo unatembea vizuri