Wanajamii nipo safari na ninapita Same mjini na nimekuta mafuriko makubwa na mvua bado inaendelea kunyesha. Wanaoendesha njia hii wawe makini maeneo haya maana maji yanapita juu ya barabara.
Wanajamii nipo safari na ninapita Same mjini na nimekuta mafuriko makubwa na mvua bado inaendelea kunyesha. Wanaoendesha njia hii wawe makini maeneo haya maana maji yanapita juu ya barabara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.