Mafuriko Dar: A case for the presidential candidates 2015!

Kiranga huna hoja unachojua ni mipasho tu na vitisho tu kwani mke wako aliingiaje pale anapofanya kazi mbona itakuwa aibu tukienda hiyo njia! Wacha wewe eti Lowlives! Ha! Ha! Kwa hiyo kazi ya dukani tena la nguo! Ha! Ha!

- Kiranga unataka tuongelee habari baba yako na uchawi alipokuwa pale Ubalozini na ule wizi wake wa Credit Card na kumuuzia Ubunge Mwapachu! Ha! Ha! Uko kwenye kioo acha matusi wewe!

- Mafuriko ni kipimo cha uongozi na kampeni za Urais hasa CCM zilishaanza So walitakiwa kuwepo wagombea wote kwenye haya mafuriko.

Hahaha,

Ur bluffing bro.

Mara nina blog, nimekwambia uitaje umechina, umesepa, hukumbushii tena blog. Unadaiwa.

Mara baba angu kamwachia Mwapachu jimbo, mimi sina ndugu mwanasiasa hata mmoja ukoo mzima, sembuse baba yangu, hatuwezi uchafu wa kudanganya watu katika mfumo mbovu na umalaya wa ku sacrifice principles for party politics. Watu wako na professions zao, wengine wanalima tu huko.

Mara mke wangu kafikaje pale, wakati mie sina mke.

Au kwa sababu nyie ndio mnaoingizana mabalozini kwa kujuana mnafikiri kila mtu hivyo hivyo? Acha ku bluff, unajionyesha mjinga zaidi na zaidi. Hunijui kabisaa na unazidi kuonyesha hilo.
 
Kiranga siuzi nguo za wanawake Dukani, nina Leseni Class A ya Haz Mart na Bio Hazard and Poison Handling, nina Operate Machine ndefu kama Treni yenye Mataili 18. Leseni yangu lazima iwe approved na Waziri wa Homeland Security wa USA, na katika hili taifa la kwanza Duniani wenye hizo Special Leseni kama yangu hawazidi 400 katika la Wananchi Million 350 lakini kuna wauza maduka ya nguo za ndani za Wanawake kila kona hapa US So kuwa na heshima kidogo. Nina Ass. Degree ya Criminology and Police Sciense na BA ya Political Sciense Halafu nina Leseni ya Ass. Marine Eng toka Belgium So kuwa na Respect Bro, ha! Ha! Sibebi taka!

- Wale wote wanaotaka kutuongoza walitakiwa kujitokeza sasa kwenye haya Mafuriko, watuonyeshe mfano kama wa Bush na Giuliani kwenye September 11, as moja ya kigezo cha kuwa kiongozi anayetujali wakati wa majanga ya taifa.

Duh,

Acha longolongo za kuuza nguo, mie sijawahi kufanya biashara ya goods hata siku moja, my nauza intellectual property mazee.

Nimekwambia taja blog, unadaiwa mpaka sasa. Jiiiiiiiiiii.Una bluff. Huyo mtu unayemsema mi simjui.

Mazee kaidi, una degree ambayo hata kuiandika huwezi naona (Sciense!! bwahahaha). Maana hata excuse yangu ya dyslexia siwezi kukupa, unarudia the same thing mara mbili hapo hapo maana yake hata spelling hujui. I was not wrong to tell you to run a spellchecker kabla ya kupost lugha ngeni.

Chuo gani hicho, au umesoma na Mkullo Almeida nini chuo ambacho hata mbwa anagraduate?

Kuna kutuongoza na kututongoza, huko kutoa misaada siku moja mbili tatu unakokusema ni kututongoza, si kutuongoza.

Wanaotaka kutuongoza tutawapima kwa miaka, sio kwa maafa ya mpito.
 
Mzito EL ameingiaje hapa? Anyway wewe ukikubali hoja yangu kwa 100% basi amina, maana wasomi vichwa kama wewe Bongo ni wachache sana.
 
Tutamlalamikia Nyerere hadi lini 100yrs to come, 500yrs?, nyie wadanganyika msimsingizie Nyerere kwa kila kitu ameshatangulia mbele ya haki, Malaysia, China ziliachwa hivi hivi na mafounder wao lakini leo ziko mbali sisi tumekalia kucheza bao tu na kulalamika.
Tumezoe sana kutafuta visingio kwa matatizo yanayotukabili na hilo ni moua ya matatizo yetu makubwa.
 
Kiranga wacha personal attack nitakuvua nguo hapa, aibu tupu Bro!

- Kukosea herufi ni kawaida lakini muhimu ni kwamba hivyo vifaa ninavyo na siuzi chupi za wanawake Dukani.

- Bush alipokwenda Ground Zero hakuenda kuuza meno alienda kutoa maelekezo kwa taifa na what to do baada tu ya janga kutokea na that is all we could ask kwa wagombea wetu!

- Otherwise kujuana na mtu kama wewe nilisha conclude loongtime ago kuwa ni waste of my time ndio maana huwa ninakukwepa sana.
 
We ni mTz mlalahoi USA? Mwisho wako kuja nyumbani ni nili? Mbona unaandika kama Tx na sio mzalendo? Mafuriko sio Dar tu, hata mikoani na wabunge wanawajibika huko kwenye majimbo yao kwa wapiga kura wao kwanza.
 
Mkuu Kiranga na W.J. Malecela,

Mbona malumbano haya yenu tulishayaacha toka mwaka 2006?.

Nikirudi kwenye mada; wote mna mawazo mazuri. Willy mawazo yako ni mazuri ila umeyaweka vibaya kidoogoo.

Ni kweli kuwa kama mtu anapita pita kutoa misaada kanisani au kwenye matawi basi katika ubinadamu wa kawaida basi tungetegemea apite pite basi na sasa katika mafuriko atoe misaada (sio apite kwakuwa anataka Urais 2015!!)

Kiranga upo sahihi pia President should be strategical thinker. Agreed. Yet he should avail himself during national calamities like this.
Mkiwa mna fight na kiongozi mstari wa mbele mnapata hata moyo. Pia viongozi wengine wengi wanajitokeza pia na kuongeza nguvu kazi.

Ila nakubaliana na Kiranga na Wildcard na wengineo kujitokeza sio KIGEZO.
 
We ni mTz mlalahoi USA? Mwisho wako kuja nyumbani ni nili? Mbona unaandika kama Tx na sio mzalendo? Mafuriko sio Dar tu, hata mikoani na wabunge wanawajibika huko kwenye majimbo yao kwa wapiga kura wao kwanza.


Asante Nakwetu.

Sioni LIKE button hapa.

Mafuriko sio Dar tu.
 
Kiranga ha! Ha! Nimesoma: 1. Marine Eng. CMB-Antwerpen, Belgium. 2. Ass. Degree Criminology and Police Science at Westchester Comm. College New York. 3. BA Political Science at Lehman University New York.

- Licence Class A CDL nimeipata toka Motorvehicle Dept ya New York na Endorsement za Haz Mat na Poison Handling toka US Homeland Security DC Washington. HAYO YA MKULLO SIJUI.
 
We ni mTz mlalahoi USA? Mwisho wako kuja nyumbani ni nili? Mbona unaandika kama Tx na sio mzalendo? Mafuriko sio Dar tu, hata mikoani na wabunge wanawajibika huko kwenye majimbo yao kwa wapiga kura wao kwanza.

You missed the point; the issue is responsibility and accountability so it does not matter whether Njombe or Iramba has mafuriko the government response is very slow; it likes we never had one; all top government officials live in Dar es salaam; where are they?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
- Na pia swali muhimu sana hapa ni kwa nini Miaka 50 ya Uhuru hatuna System ya mifereji ya kisasa ya ku-deal na mvua kubwa kama hiii? Shame on wale wote waliowahi kushika Wizara inayohusika na mifereji in the past na tuhakikishie mgombea wa Urais 2015 hakuwahi kushika wizara hiyo!

William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia Big Show!

kweli wewe si mtanzania,huna taarifa kamili za athari.
 
You missed the point; the issue is responsibility and accountability so it does not matter whether Njombe or Iramba has mafuriko the government response is very slow.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Wapi hasa response imekua slow? Maana isije ikawa magazeti na TV na Redio zinafikiria badala yetu (ndo bongo zetu) sisi tunameza tu.
 
Nakwetu wacha hizo mkuu naza bongo blai chokiwona nili muli Big ligi! Ha! Ha!

@ Fairplayer ninajitayarisha kwa Big Ligi Politics So ni vyema sana nikaanza mazoezi mapema huku JF, otherwise huyo jamaa ni mshikaji sana na ni majuzi tu nilikuwa home kwake for Thanksgiving Party, lakini some reasons akifika tu hapa huanza matusi ya nguoni I dont get it!
 
Kiranga siuzi nguo za wanawake Dukani, nina Leseni Class A ya Haz Mart na Bio Hazard and Poison Handling, nina Operate Machine ndefu kama Treni yenye Mataili 18. Leseni yangu lazima iwe approved na Waziri wa Homeland Security wa USA, na katika hili taifa la kwanza Duniani wenye hizo Special Leseni kama yangu hawazidi 400 katika la Wananchi Million 350 lakini kuna wauza maduka ya nguo za ndani za Wanawake kila kona hapa US So kuwa na heshima kidogo. Nina Ass. Degree ya Criminology and Police Sciense na BA ya Political Sciense Halafu nina Leseni ya Ass. Marine Eng toka Belgium So kuwa na Respect Bro, ha! Ha! Sibebi taka!

- Wale wote wanaotaka kutuongoza walitakiwa kujitokeza sasa kwenye haya Mafuriko, watuonyeshe mfano kama wa Bush na Giuliani kwenye September 11, as moja ya kigezo cha kuwa kiongozi anayetujali wakati wa majanga ya taifa.


Mbona unapenda sifa za kijinga?kila mtu akiweka CV yake humu hapatatosha....hii inaonyesha jinsi CCM isivyokuwa na hazina ya watu
 
- Kwanza naomba kutoa salam zangu za Rambi Rambi kwa Wananchi wote ambao kwa njia moja au nyingne wameathirika na mafuriko haya na hasa familia za waliopoteza maisha yao, MUNGU AWAPE NGUVU NA WABARIKIE BUSARA KWA KIPINDI HIKI KIGUMU SANA KWENU NA KWA TAIFA ZIMA.

- HOWEVER: Now nyinyi ndugu zangu wananchi wa Tanzania, look here ni matukio kama haya ndio yanatakiwa kuwa kipimo cha uwezo wa wale wote wanaohangaika huku na kule kuhonga honga hela zao chafu kutaka kujiweka sawa na Urais wa 2015, I mean where are they now? Je mmemsikia hata mmoja wao akijitokeza huko kwenye mafuriko? Sasa kama hawawezi kujitokeza mkiwa na shida now Je wakishakuwa ndio watajitokeza?

- I mean toka ishus za EPA, IPTL, MEREMETA, RICHIMONDULI, SUKARI JESHINI, BALALI NA BOT, hatujawahi kuwasikia hata wakitoa misimamo yao on the ishus, at least Mpiganaji Mh. Sitta peke yake and I hope atagombea, ndiye peke yake so far amekuwa mstari wa mbele kuweka wazi misimamo yake kwenye serious ishus ambazo ni kero kwetu walalahoi, sasa ni vyema tukajifunza kwamba kama hawajitokezi tukiwa na shida, basi hawatufai kushika Urais wa Jamhuri na tukumbuke haya wakati wa kampeni na uchaguzi ukifika,

- Na pia swali muhimu sana hapa ni kwa nini Miaka 50 ya Uhuru hatuna System ya mifereji ya kisasa ya ku-deal na mvua kubwa kama hiii? Shame on wale wote waliowahi kushika Wizara inayohusika na mifereji in the past na tuhakikishie mgombea wa Urais 2015 hakuwahi kushika wizara hiyo!

POLENI SANA WENZETU HUKO DAR NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia Big Show!

Mkuu William,

Naomba utoe ufafanuzi, unamaanisha wanaotaka urais kupitia CCM au hata upinzani? Kama ni kupitia CCM nikusahihishe kama ifuatavyo:

Hakukuwa na mtu yeyote ndani ya CCM aliyekuwa anapiga vita na kuemea ufisadi kama wa EPA, IPTL, MEREMETA, RICHIMONDULI, SUKARI JESHINI, BALALI NA BOT kama ulivyoseama. wengi wao walikuwa wanapiga tu kelele hadi leo kwani sioni sababu ya waliohusika na hizi kashfa kutokutajwa na mwana CCM hata mmoja, including wewe mwenyewe na kwa mujibu wa wapinzani watu hao wapo ndani ya CCM na wengi ni wakubwa.

Wote waliokuwa wanakemea mambo ya ufisadi walikuwepo na nadhani umesikia Mbowe na Zito wakiahirisha kazi zao na kuungana na wananchi wa Dar, Chadema wako mstari wa mbele katika kupigania haki za wananchi na kuwatetea wananchi.

NOTE: LAWAMA ZETU WATZ NI KWA JWTZ NA POLISI KWANI HATUNA WANACHOKIFANYA ZAIDI YA KUZURURA NA KUFUNGA MABARABARA.

NAOMBA KUTOA PONGEZI KWA WAVUVI WOTE WA ENEO LA FERI NA WATZ WA KAWAIDA KWA KUJITUMA.

YAANI SI HATUNA JESHI KABISHA, NA POLISI KAZI YAO NI KUTUMIWA NA CCM KUTUPIA WATU MAABOMU YA MACHOZI, KUNA WANAOZUNGUKA NA HELIKOPTA NDIYO HAWANA KITU KABISA, KAZI YAO NI KUSHUHUDIA WATU WALIVYOATHIRIKA.
 
Kiranga wacha personal attack nitakuvua nguo hapa, aibu tupu Bro!

- Kukosea herufi ni kawaida lakini muhimu ni kwamba hivyo vifaa ninavyo na siuzi chupi za wanawake Dukani.

- Bush alipokwenda Ground Zero hakuenda kuuza meno alienda kutoa maelekezo kwa taifa na what to do baada tu ya janga kutokea na that is all we could ask kwa wagombea wetu!

- Otherwise kujuana na mtu kama wewe nilisha conclude loongtime ago kuwa ni waste of my time ndio maana huwa ninakukwepa sana.

Heshima kwako Le Baharia.

Sasa mkuu unamfananishaje bush raisi na wabongo wenye nia ya kugombea?

Maana Bush alikwenda ground zero na kutoa maelekezo kwakuwa alikuwa na mamlaka na wajibu wa kufanya hivyo. Hoja yako ningeiona imesimama wima kama ungesema kulikuwa na mtu X mwenye nia ya kuingia kwenye race ya uraisi, na akajitokeza wakati wa milipuko ya september 11, au akajitokeza katika mafuriko ya new orleans na kutoa misaada ili kuwe na ulinganifu sawia. Kumlinganisha raisi na mtu tu mwenye nia ya kutaka kugombea uraisi hapo hujawatendea haki.

Kitu chengine nachokiona hapo, kama Bush alijitokeza ground zero mara tu baada ya milipuko basi aliyetakiwa kuwa mstari wa mbele katika janga hili la mafuriko ya wananchi wa dsm ni raisi kikwete, ili akatoe maelekezo ya namna ya kukabiliana na janga la mafuriko. Sasa raisi anatumia muda wake kutoa salamu za pole kupitia facebook wakati wananchi wanahangaika. Ilitakiwa yeye ndiye atangulie eneo la tukio ili ajionee ukubwa wa tatizo na kutoa maelekezo stahiki.

Hao wagombea wenu wa ccm unaotaka wajitokeze kutoa misaada, hawana sababu ya kufanya hivyo na bila shaka ndio maana hatujamuona yeyote japo hata kutoa kauli tu. Tumemuona mbunge wa mafia akisaidiana na wananchi kutoa msaada kwa waathirika, mbona wabunge wa dsm hatujawaona? Mameya wa manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni wako wapi?
 
Mwita mbona tumeambiwa kuna viongozi wa Chadema wamekuwepo huko I mean walitakiwa wawepo huko wanaotaka Urais just to show support kwa waathirika!
 
Back
Top Bottom