Mafuriko Dar: A case for the presidential candidates 2015!

una hamu sana na mambo ya bongo,lakini kwa kuangalia kwa sharp eye upo mbali na matatizo ya wabongo,kama vipi rudi bongo tuteseke wote au achana na matatizo yetu endelea na starehe zilizokupeleka nyc
 
Waungwana wote wanajua kwamba utamaduni wetu hatuleti siasa katika msiba.

Hata wanasiasa wazoefu wanajua kwamba huwezi kuleta siasa katika janga/ msiba, utaonekana opportunistic. Hata wakileta siasa, wanaleta kwa machale, sio openly kama wewe.

Let's say mtu anasaidia saaana leo kwenye janga, what does that prove? Kwamba ndio atakuwa rais mzuri sana? Unataka kutuletea siasa za pilau, kanga na kofia hapa? Hii JF sio kijijini kwenu huko, hata kijijini kwenu walimshtukia mbunge asiye sifa wakampiga chini.

Let's say mtu haonekani katika kusaidia katika majanga haya kwa sababu ambazo hata hatuzijui, hilo lina prove nini? Kwamba hawezi kuwa rais mzuri?

Acha kuwa shallow hata wakati wa mafuriko mazee.

Urais wa Tanzania is a much deeper issue kuliko mtu kuonekana anasaidia katika matatizo ya mpito haya

I couldn't agree with you more..

Ni makosa makubwa kuufananisha Urais na show-case za kwenye "majanga" , hatuhitaji Rais wa kuwafariji watu wakati wa majanga bali tunahitaji Rais atakayeforecast majanga na kuyazuia.

Kama kushiriki kwenye majanga kingekuwa ni kigezo basi kila mtu angeweza kuwa Rais,na hakuna aliye mzuri kwenye hili kuliko Jakaya Kikwete mwenyewe, nchi hii ipo kwenye mkwamo leo kwa sababu ya wananchi kuendekeza vitu vidogo vidogo kama hivi, kama taifa tunapaswa tutoke kwenye mawazo muflisi kama haya...
 
I couldn't agree with you more..

Ni makosa makubwa kuufananisha Urais na show-case za kwenye "majanga" , hatuhitaji Rais wa kuwafariji watu wakati wa majanga bali tunahitaji Rais atakayeforecast majanga na kuyazuia.

Kama kushiriki kwenye majanga kingekuwa ni kigezo basi kila mtu angeweza kuwa Rais,na hakuna aliye mzuri kwenye hili kuliko Jakaya Kikwete mwenyewe, nchi hii ipo kwenye mkwamo leo kwa sababu ya wananchi kuendekeza vitu vidogo vidogo kama hivi, kama taifa tunapaswa tutoke kwenye mawazo muflisi kama haya...
Mkuu naona kama haujamuelewa vizuri Kiranga.......

Btw......Habari za siku mingi?
 
Kiranga huna hoja unachojua ni mipasho tu na vitisho tu kwani mke wako aliingiaje pale anapofanya kazi mbona itakuwa aibu tukienda hiyo njia! Wacha wewe eti Lowlives! Ha! Ha! Kwa hiyo kazi ya dukani tena la nguo! Ha! Ha!

- Kiranga unataka tuongelee habari baba yako na uchawi alipokuwa pale Ubalozini na ule wizi wake wa Credit Card na kumuuzia Ubunge Mwapachu! Ha! Ha! Uko kwenye kioo acha matusi wewe!

- Mafuriko ni kipimo cha uongozi na kampeni za Urais hasa CCM zilishaanza So walitakiwa kuwepo wagombea wote kwenye haya mafuriko.
 
Wild Card siku hizi tuna wagombea wengi na kutoka vyama mbali mbali, So kama hatukuwaona kwenye mafuriko tunatakiwa kuwaona wapi? Mbona wanapita wakigawa hela huko mtaani lakini kwenye mafuriko hawapo?
Hao wengine wa vyama vingine kwa mfumo wa sasa ni wasindikizaji tu. Mchakato wenu wa CCM ukishakamilika wenye akili timamu huwa tunajua Rais ameshapatikana. Tunachokisubiri ni asilimia ya ushindi na sherehe za kuapa. 2015 hakuna mwenye uhakika kwamba atateuliwa na vigezo vya rafiki yako JMK kumpata mgombea vimeongezeka na wakati mwingine vinazuka ghafla kwenye vikao! Si unakumbuka Mh Sitta alivyotakiwa kubadili jinsia yake dakika za mwisho ili aendelee kuwa Spika?
 
Butola Rais ambaye hawezi kuonyesha uwezo wake kwenye matatizo ya kitaifa kama ya MV. BUKOBA na haya mafuriko, simply hafai kutuongoza taifa.
 
Mkuu naona kama haujamuelewa vizuri Kiranga.......

Btw......Habari za siku mingi?

Salama sana mkuu..

Nimeikubali sana hoja ya Kiranga..

Hatuwezi tukaiweka nafasi ya Urais too low kwa kuangalia jinsi wagombea walivyojionyesha kwenye janga la mafuriko, mwishowe tutaangalia jinsi walivyopeleka mashuka, jinsi walivyopeleka mchele, jinsi walivyogawa tishert, jinsi walivyofuta machozi pindi walivyowaona waathirika na mwisho wa siku tutawapa viongozi wasanii wanaoyatumia matatizo ya wananchi kama ngazi za kupatia uongozi kiurahisi, mtu makini hawezi kutafuta score points za kisiasa kwenye janga...
 
Muyisanzu hoja hujibiwa kwa hoja na viroja sharti vijibiwe kwa viroja!

- @WILDCARD ni kwamba kwanza on FMEs RO, Chikawe na Rais wa Jamhuri wanamjua ni nani that is all counts. Otherwise hawa viongozi wanaopita wakigawa pesa chafu huko mitaani wangejitokeza kwenye haya mafuriko.
 
Kiranga huna hoja unachojua ni mipasho tu na vitisho tu kwani mke wako aliingiaje pale anapofanya kazi mbona itakuwa aibu tukienda hiyo njia! Wacha wewe eti Lowlives! Ha! Ha! Kwa hiyo kazi ya dukani tena la nguo! Ha! Ha!- Kiranga unataka tuongelee habari baba yako na uchawi alipokuwa pale Ubalozini na ule wizi wake wa Credit Card na kumuuzia Ubunge Mwapachu! Ha! Ha! Uko kwenye kioo acha matusi wewe!- Mafuriko ni kipimo cha uongozi na kampeni za Urais hasa CCM zilishaanza So walitakiwa kuwepo wagombea wote kwenye haya mafuriko.
W.Malecela you are just concentrating on personal attacks,unaonyesha jinsi usivyokuwa na uvumilivu wala umakini katika kujadili hoja,unaendeleza majungu kama siasa za chama chenu....Kiranga amejaribu kukuonyesha kuwa mchakato wa urais 2015 si mpaka ufike kwenye eneo la tukio,Rais makini ni yule anayeleta strategy za kukumbana na majanga yanayotupata....pia hatutaki kuona wanasiasa ambao ni opportunistic,otherwise jifunze kujenga hoja siyo kuattack mtu personally.
 
Makamuzi Raisi anayeufaa ni yule anayeweza kujitokeza as soon as possible janga likitokea kama Bush alivyofanya sio yule janga limetokea sasa hatumuoni halafu kuna genius anayesema ajishughulishe kusubiri uchaguzi na kuprevent future majanga I mean it is pure nonsense to me!
 
Jiulize meya wa Ilala na wa Dar wako wapi?

apparently meya wa Ilala ni kijana mdogo tuuu hivyo angewa kupatikana kwenye twitter na website lakini haijulikani yuko wapi
Twitter zinazuia mafuriko? Au yeye ndo aliwatuma mkajenge mabondeni? Aliwatuma mjenge kwenye maeneo yasiyopimwa? Toa shuzi lako hapa
 
W.Malecela- Mafuriko ni kipimo cha uongozi na kampeni za Urais hasa CCM zilishaanza So walitakiwa kuwepo wagombea wote kwenye haya mafuriko.Kama ndiyo hivyo tutaendelea kupata Raisi msanii kama JK ambaye anafikiri urais ni kucheka na watu na kucheza ovyo na watoto
 
Makamuzi Raisi anayeufaa ni yule anayeweza kujitokeza as soon as possible janga likitokea kama Bush alivyofanya sio yule janga limetokea sasa hatumuoni halafu kuna genius anayesema ajishughulishe kusubiri uchaguzi na kuprevent future majanga I mean it is pure nonsense to me!

Sasa hapa ndio umeandika nini? Hata kujieleza kitu kidogo tu shida, unaandika kama una permanent high!.

Wakati Bush mwenyewe katika kitabu chake "Decision Points" anaeleza kwamba moja ya vitu ambavyo alichemsha ni disaster relief, mpaka Brown wa FEMA mwenyewe amesema kwama Bush aliposema "Brown you are doing a heckuva job" Brown alikuwa embarassed kwa sababu he was like" I don't know what you are talkin about Mr. President" leo unataka kumfanya Bush kuwa ndiye mfano wa disaster recovery?

Hivi unafuatilia hata habari? Unasoma kabla ya kujitia ku drop names kama Bush? Umesoma "Decision Points"?

Wewe acha kuji expose for the fraud that you are hapa.

Political commentary sio sawa na kazi yako ya kuzoa takataka kwamba usombe urushe tu poa. Huwasombi watu kirahisi hivyo hapa.
 
Director1 huku NYC ninafanya kazi kama ila sometimes ninastarehe cause kutostarehe sio kipimo cha Uongozi au Location, karibu sana.
 
Muyisanzu hoja hujibiwa kwa hoja na viroja sharti vijibiwe kwa viroja!

- @WILDCARD ni kwamba kwanza on FMEs RO, Chikawe na Rais wa Jamhuri wanamjua ni nani that is all counts. Otherwise hawa viongozi wanaopita wakigawa pesa chafu huko mitaani wangejitokeza kwenye haya mafuriko.
mkuu@ NYC USA, heshima kwako. Kimantiki na kwa hoja kama itasimama yenyewe independently uko right 100%. Unachokosea ni kutaka kuturithisha ugomvi wako binafsi au wa familia yako na EL.
 
Twitter zinazuia mafuriko? Au yeye ndo aliwatuma mkajenge mabondeni? Aliwatuma mjenge kwenye maeneo yasiyopimwa? Toa shuzi lako hapa

Huyu si mtu wa "copy paste", Cory Booker anasaidia watu kwa Twitter huko Newark, basi inakuwa kama fashion.

Wakazi wa bondeni Jangwani wangapi wana Twitter? Anataka kutukana watu huyu hanazo. Wabongo wangapi wana Twitter accounts? Si bora hata mara mia angesema redio?

Tatizo la kukariri mambo hilo.
 
Makamuzi Raisi anayeufaa ni yule anayeweza kujitokeza as soon as possible janga likitokea kama Bush alivyofanya sio yule janga limetokea sasa hatumuoni halafu kuna genius anayesema ajishughulishe kusubiri uchaguzi na kuprevent future majanga I mean it is pure nonsense to me!
Sikubaliani na wewe hata kidogo,hivi tukianza kufikiria vitu kama hivyo ndiyo kipimo cha kuwa na Rais bora,kumbuka Jakaya alipopata urais alianza kuwatembelea wafungwa magerezani,anapiga picha na watoto na hatimaye kugonga nao,Je amefanya nini cha maana zaidi ya kusaidia kutumia billion 60 katika maadhimisho ya miaka 50,huo nao ni ufisadi...hizo fedha zingesaidia kujenga hospitali vijijini kama njia ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru.
 
lets grow up and discuss the issue; who is blame for this disaster? The government for not implementing the laws or The people for not obeying the laws; God is out of this mess! Somebody must come out and say something; I am sick and tired of these Bombo clat who speak sweet things during the campaign but when it comes disaster they always leave ordinary Tanzanians in limbo.

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Kiranga siuzi nguo za wanawake Dukani, nina Leseni Class A ya Haz Mart na Bio Hazard and Poison Handling, nina Operate Machine ndefu kama Treni yenye Mataili 18. Leseni yangu lazima iwe approved na Waziri wa Homeland Security wa USA, na katika hili taifa la kwanza Duniani wenye hizo Special Leseni kama yangu hawazidi 400 katika la Wananchi Million 350 lakini kuna wauza maduka ya nguo za ndani za Wanawake kila kona hapa US So kuwa na heshima kidogo. Nina Ass. Degree ya Criminology and Police Sciense na BA ya Political Sciense Halafu nina Leseni ya Ass. Marine Eng toka Belgium So kuwa na Respect Bro, ha! Ha! Sibebi taka!

- Wale wote wanaotaka kutuongoza walitakiwa kujitokeza sasa kwenye haya Mafuriko, watuonyeshe mfano kama wa Bush na Giuliani kwenye September 11, as moja ya kigezo cha kuwa kiongozi anayetujali wakati wa majanga ya taifa.
 
Back
Top Bottom