Kweli mkuu hawapatikani wote.
Hawa watu naona simu walikuwa wanaagana nazo main gate aseeee
Hapo ndipo ninapolipendea jesh sasa
mambo tayari kivipi?Wale tuliokuwa tunasubiri professioal mambo tayariiii siku yeyote mzigoni
swali lako nimelipenda sanaForm lini za baba kanituma
soon kambini mkuumambo tayari kivipi?
kwan na wewe mkuu ulikua unasubiria?umejuaje mkuu?
hapana mkuukwan na wewe mkuu ulikua unasubiria?
Basi ichukue taarifa kama nilivyoitoanauliza kwa faida ya wengine wanaosubiri humu.
poa mkuuBasi ichukue taarifa kama nilivyoitoa
Vipi wameanza kuita watu kwenye usaili ama?kwan na wewe mkuu ulikua unasubiria?
Babu nakutumia msg tubongeWale tuliokuwa tunasubiri professioal mambo tayariiii siku yeyote mzigoni
Mkuu ina maana mambo yanaweza kuwa mwezi huu?Wale tuliokuwa tunasubiri professioal mambo tayariiii siku yeyote mzigoni
yeahMkuu ina maana mambo yanaweza kuwa mwezi huu?
kweli mkuu watu wapiganishe sasa.Form za baba kanituma zimetoka kuanzia juzi na watu wanawasili vikosini
mkuu kuna vitu unavijua ila unafunguka nusu nusu.yeah