Field Marshal
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 414
- 280
hakuna tetesi zozote kwa waliopo oljoro au wanatarajia kupiga kozi kihangaiko?
Hizo..njia sasa zakuzipata..ndio..shida...wengine..hatuna...watu...huko...mmjktkweli mkuu watu wapiganishe sasa.
wenye mibuyu mikubwa washaaondoka toka week iliopita,wengine wengi wanaondoka kesho.Hizo..njia sasa zakuzipata..ndio..shida...wengine..hatuna...watu...huko...mmjkt
Mkuu wewe ulituma maombi makao makuu au ulijiandikisha walivokua wanapita vyuoni?yeah
nilituma ngomeMkuu wewe ulituma maombi makao makuu au ulijiandikisha walivokua wanapita vyuoni?
Kwahiyo wamekujibu mkuu au imekuaje?nilituma ngome
Mkuu hujib msgnilituma ngome
mbona nimekujibu mkuuMkuu hujib msg
stunnar wewe washakupigia simu?mbona nimekujibu mkuu
unaripoti lini na wapi mkuu?yeah
wahusika gani hao wawasiliane nao?Kwa taarifa nilizopata wamepiga simu kwa wale walotuma maombi ili kuuliza utayari wao wa kujiunga katika jeshi coz ni muda mrefu umepita toka maombi yatumwe so walitaka kujua kama bado wanania ya kujiunga na jeshi.
Hawajatoa utaratibu wowote wa usahili wala mafunzo,walichodai ni kuendelea kuwasiliana na wahusika kulingana na muongozo utakavokua.
Hao walokua wametuma maombi makao makuu.wahusika gani hao wawasiliane nao?
basi ukiona hivyo mambo yashanukia mwezi huu au ujao watu wataanza kozi.Hao walokua wametuma maombi makao makuu.
Yap yawezekana watu wakaanza kuitwa kuanzia week ijayo.Za chini chini kozi ni january..nadhani mwezi huu itakua mambo ya usaili
mkuu hilo zoezi la kupigiwa simu bado linaendelea au limeisha?Kwa taarifa nilizopata wamepiga simu kwa wale walotuma maombi ili kuuliza utayari wao wa kujiunga katika jeshi coz ni muda mrefu umepita toka maombi yatumwe so walitaka kujua kama bado wanania ya kujiunga na jeshi.
Hawajatoa utaratibu wowote wa usahili wala mafunzo,walichodai ni kuendelea kuwasiliana na wahusika kulingana na muongozo utakavokua.