UTAPANIC SANA NA POVU LITAKUTOKA HASWAA ,HUNA UNALOLIJUA ZAIDI YA FARAJA ZA KISHENZI KWA WASIOWEZA KUJIPA WENYEWE FARAJALTN USU ninapokwambia una akili ndogo sana uniamini tu kaka ni kweli yaani,ETI UNANIULIZA NAELEWA MAANA YA BARAZA LA MAWAZIRI UKO SERIOUS KWELI BW.MDOGO? KILE NI KIKAO CHA KIUTENDAJI CHA WATENDAJI WOTE WAKUU(MAWAZIRI) WA WIZARA ZOTE ZA NCHI NA AJENDA ZA KIKAO ZILE NI MAJADILIANO YOTE YA MSINGI KUHUSU MASUALA YA NCHI NA HIYO NI UFAFANUZI AMBAO MWEREVU ATAUELEWA NANGA NA KENGE KAMA WEWE UNANISHANGAZA ULIVO MWEUPE KICHWANI POLE SANA ******
KUMBE ULIKUA UNABISHANA NDIO MAANA POVU JINGINimegundua nabishana na MTU mweupe sana kichwani anaejenga vihoja vyepesi vyepesi siwezi kubishana tena
ACHA KUISHI KWA MASHAKA MASHAKAHatukupi source ww c umesema mwakani..inamaana hujiamini
Sina hasira mim kwa moyo mweupe Nina amani Ila nakusihi acha kujifanya wajua kila kitu kumbe u know nothing.Habari ndo zimebadilika ,hufai kuingia jeshini wewe kwa hasira za kishenzi hizo
ACHA KUISHI KWA MASHAKA MASHAKA
Mkuu humu kuna vijana ambao umri wao bado haujapevuka kiakili ndo maana unayaona hayaVijana aminini katika Mungu kuwa mwezi kesho oktoba mnaondoka na nyinyi mkatimize ndoto zenu,kikubwa ni kozi zingine zimeshafunguliwa hivo yenu nayo muda wake umefika
Soon bro...Kozi zingine zimefunguliwa
Leo mwanangu 1 kaniaga
Kaniambia anaenda kupga kozi monduli ya nyota
I think sisi soon tutaitwa
Oya mwana nicheck pm basi nikutonyeKozi zingine zimefunguliwa
Leo mwanangu 1 kaniaga
Kaniambia anaenda kupga kozi monduli ya nyota
I think sisi soon tutaitwa
kwahiyo ww ulikuwa unaropokaunategemea msemaji wa jeshi aje kuleta taarifa kwenye uzi huu.? kama mnamsubiri msemaji wa JESHI MSUBIRINI ATAONGEA KWENYE VYA HABARI SIO MNAKUJA KUSUMBUA KWENYE HUU UZI NA MASWALI YA LINI MTAENDA
Oi iyo ishu ya kozi zimefunguliwa ni kweli?Oya mwana nicheck pm basi nikutonye
Add me 0769326137Add me pls 0654121950
mkuu hiiikitu jakata imekaa tata...., ngoja tuendelee kujifajiri labda atatusikia, mana ni yeye ndo mwe maamuzi...SALI SANA.Aisee kuna dalili ya kozi ya jkt kua mwakani...maana uhakiki umeanza tena ijumaaa jana.
Nimeona hapo juu mdau anazungumia watu kwenda TMA Monduli, lili ni chuo la kimataifa hivyo haiwezekani wanajeshi kutoka Canada, Rwanda, Kenya,Uganda and like waanze kozi wakati wa Tz ampo, pia kuna wadhamini wa kozi za TMA kutoka majuu
mkuu hiiikitu jakata imekaa tata...., ngoja tuendelee kujifajiri labda atatusikia, mana ni yeye ndo mwe maamuzi...SALI SANA.
hata tulio na form za jakata,naona uhakiki utakua upya lasivyo mchakato utaanza upya.....mana haiwezekani utoke uraiani uende moja kwa moja jikoni......hii kitu hii....Mimi nimegundua viongozi wetu wengi hawako sirious na kazi zao, watu wanaishi utafikiri wako kwenye karne ya nne. Maana ya kua na maofisa habari kwenye hizo taasisi ni nini?