Georgemkali wao
Senior Member
- Jul 30, 2016
- 180
- 118
Wenzenu Wazanzibar waliokua wamewasili kwenye vikosi walivyopangiwa wamepewa nauli na kuanza safari ya kurudi mgulani wanapokutania kisha kurudi zanzibar,sasa kwa anaesubiri ajiandae kuingia mwezi wa 8 mwshon au wa 9, na kama tpdf watakua bado hawajaanza cozi basi mtaingia wa 10MKUU
USIFIKIRIE KAMA KWAPA NDO LINA UBONGO WAKO,ACHA UBWANYENYE
NB:Huo Uzi uliuandika wewe halafu Leo unasema mwakan wew hujui kinachoendelea acha kiherehere na kujifanya mjuaji. Shutup your mouth