Lj Mwambar
JF-Expert Member
- Apr 23, 2013
- 605
- 355
Ha ha ha ha ha haDaaa!!awa wakuu wanatuweka katika mazingira magumu,,,walituambia tusifanye ngono karibu tuondoke,,sasa muda wote huu tutavumilia kweli??
Ha ha ha ha ha haDaaa!!awa wakuu wanatuweka katika mazingira magumu,,,walituambia tusifanye ngono karibu tuondoke,,sasa muda wote huu tutavumilia kweli??
hatareee Sanaa majarbu hayaDaaa!!awa wakuu wanatuweka katika mazingira magumu,,,walituambia tusifanye ngono karibu tuondoke,,sasa muda wote huu tutavumilia kweli??
AUGUST ndo newz inayo kiki hapa town
Hahahaahaaaaaaaaaaaaaaa dahhh hatariiiiPoa poa mkuu nimeipataa.
Daaa!!awa wakuu wanatuweka katika mazingira magumu,,,walituambia tusifanye ngono karibu tuondoke,,sasa muda wote huu tutavumilia kweli??
Daaa!!awa wakuu wanatuweka katika mazingira magumu,,,walituambia tusifanye ngono karibu tuondoke,,sasa muda wote huu tutavumilia kweli??
Tulia, vuta subira wewe.Pia umri unazid kwenda ,,wengine ikifika mwezi wa Tisa ,,miaka inakua 24 ,,na mwisho Jkt form six ni miaka 23 nayo pia ni changamoto,,,kama zoez limefutwa wawe wazi tufanye shughul nyingine,,mi wananiniboa
Baba tusije kutoka huku Lindi kwenda Kahama alafu ikawa doro, bora hiyo nauli niandae shamba langu la ufuta tuu.mlio mbali sogeeni karibu na mkoa uliofanyia usahili filimbi ishawekwa mdomoni bado kupuliza
Achen kututia presha nyie,,iyo filimbi toka iwekwe mdomon,imeshajaa mate sasa haiwezi kupulizwamlio mbali sogeeni karibu na mkoa uliofanyia usahili filimbi ishawekwa mdomoni bado kupuliza
Yani mwisho itaingia tumboni tu kusiwe na biashara tenaAchen kututia presha nyie,,iyo filimbi toka iwekwe mdomon,imeshajaa mate sasa haiwezi kupulizwa
acha mbwembwe za kikuda kutafuta kiki ktk jfdogo anataka kitenge anafikri msata au orjolo pasimple ***** zake huyu k. wazii
Chali wa r- chuga Sina mbwembwe ww tukana tuu hayo yote tumepitia tumeacha, na Kama ni bangi tulivuta Sana Zile za Mlima Meru kabisa Ila sasa tumepata elimu tumetulia hatuvuti..nakusubiri utukane tena........ Tukana Nanga....mamaeeee unakitwa waziij
Jamaa apunguze mashauzi hajapita jkt kakosa nafasi, punguza majigambo Jombaa, matusi kwa vijana wanaosubiri jkt sio ishu, nimeona thread yako ni kweli kitaa kuna njaa tulia magufuli amekusikia ataachia ajira,
Kuendelea kum tag ndo mnamuongezea kiki..acha mbwembwe za kikuda kutafuta kiki ktk jf
Jamaa mbona mpotezeeni tu, hajielewi.Chali wa r- chuga Sina mbwembwe ww tukana tuu hayo yote tumepitia tumeacha, na Kama ni bangi tulivuta Sana Zile za Mlima Meru kabisa Ila sasa tumepata elimu tumetulia hatuvuti..nakusubiri utukane tena........ Tukana Nanga....
Cha muhimu vijana wasikate tamaaJamaa apunguze mashauzi hajapita jkt kakosa nafasi, punguza majigambo Jombaa, matusi kwa vijana wanaosubiri jkt sio ishu, nimeona thread yako ni kweli kitaa kuna njaa tulia magufuli amekusikia ataachia ajira,
Nimewasoma shefwaa ,, ila huyu Jamaa ni snitch, yuko mtaani anatafuta ajira analeta hapa usoja uchwara,wakufunzi wametulia zao kambini, ww unaleta umaarufu wa kipimbi, Kama huna kazi acha kuwatisha vijana, nakupa kazi ya kufanya futa sms na picha ktk simu yako, sio unaleta tabia za kike hapa, masoja hawana kiherehere Kama chako,Kuendelea kum tag ndo mnamuongezea kiki..
Jamaa mbona mpotezeeni tu, hajielewi.
Ndo maana Mungu alisema ktk Mithali 4:13 Mkamate sana Elimu usimuache aende zake. Kwa anayoongea Jamaa amejionesha yeye ni wa namna gani.Nimewasoma shefwaa ,, ila huyu Jamaa ni snitch, yuko mtaani anatafuta ajira analeta hapa usoja uchwara,wakufunzi wametulia zao kambini, ww unaleta umaarufu wa kipimbi, Kama huna kazi acha kuwatisha vijana, nakupa kazi ya kufanya futa sms na picha ktk simu yako, sio unaleta tabia za kike hapa, masoja hawana kiherehere Kama chako,
Baba Kantuma ushapata form?Wa Orjoro Wanakinusha Tarehe 15 August