john watson
Senior Member
- Apr 28, 2015
- 152
- 29
Kweli mkuu????Wakuu nimepata habari nyingine kuwa mwezi ujao mambo yataanza kukaa tena kwenye mstari.
Kweli mkuu????Wakuu nimepata habari nyingine kuwa mwezi ujao mambo yataanza kukaa tena kwenye mstari.
Sawa sawa mkuu Aleyn, endelea kutuhabarisha kila kinachojiri.Wakuu nimepata habari nyingine kuwa mwezi ujao mambo yataanza kukaa tena kwenye mstari.
Baba kantuma lazima iwepo, hawa wa wilaya na mkoani wataanza kwenda ili kusafisha kambi na mambo mengine, kisha Baba kantuma ndo wanakuja.wana2tengenezea mazingira 2liokoxa wilaya 2pate kwa kna baba kani2ma
Wakuu naombeni ushaur,,mimi nilifanya usaili Mkoa wa Iringa na nimepangiwa 842kj ,,sasa nimekaa sana hapa iringa kusubir tarehe ya kuondoka ila bado hakuna dalili ,,sasa nataka kuondoka kurudi nyumban sumbawanga,, je naweza kuruhusiwa kuondoka na vijana walioko Sumbawa nga ambao tumepangiwa kambi moja??wakati ukifika
daaaaaaa!mbio nje nje kama style ndo hizokama maisha yamekupga ukaamua kuja huku hakika utaweza lkn km home umeacha nyumba 4 magari 8 housegirl mashamba hakika huku hapakufai utatoroka tu, huku tunataka watot wa maskiniView attachment 357441 View attachment 357442 View attachment 357443 View attachment 357444 View attachment 357445 View attachment 357446 View attachment 357447 View attachment 357448 View attachment 357449 View attachment 357450 View attachment 357451 View attachment 357452
Hahh sina undugu na kita ,,Mkuu unaundugu na Luten kanali kita yule mshauri wa mkoa?
Unaweza ukaondoka mkuu Ila lazima safari yako yakwenda kikosini uanzie mkoa ulioingilia, na ndio maana hizo fomu namba 27 kila mkoa Una za kwake na namba zake.
Tarifa zako ka mkubwa UA nnachokipendea UA zinakuja zikiwa na asilimia kama 80% za ukweli ndani yake I hope itakua ivo i will kip on waiting for more infoWakuu nimepata habari nyingine kuwa mwezi ujao mambo yataanza kukaa tena kwenye mstari.
mkuu huyo Jamaa picha ya kwanza Alisha fariki akilinda amani nchi za watudaaaaaaa!mbio nje nje kama style ndo hizo
mkuu huyo Jamaa picha ya kwanza Alisha fariki akilinda amani nchi za watu
Baba kantuma ushapata form?AUGUST ndo newz inayo kiki hapa town
Unachosema Makanya ni sahihi kabisa, mimi kuna mtu mwazoni mwa mwezi ameniambia ishu kwa sasa imesimama mpaka mwezi wa 10.
Ila Jumapili nimeambiwa Ishu ni mwezi wa 8, hawa ni watu wawiili tofauti, huyu aliyesema October sijaongea nae mda kidogo na ni mtu ninayemuamini kwa kiasi flani.
Makanya tulia mwez August utaendaKuna Facts na Perceptions
Hapa nyingi hapa ni Perceptions and Rumours kwa kua hakuna ajuae siku wala tarehe ya kuondoka isipokua watu wanapercept tu Mara Mwakani hz nafasi zinarudiwa upya tena , mara mwezi August, sept.. etc.
Mi nadhan Jeshi sio Chama cha siasa wala Club ya soka , siku ikifika tutajulishwa na sisi Tupo.
Sawa mkuuMakanya tulia mwez August utaenda