Mafao ya wastaafu bado ni kero licha ya Mh Rais kutangaza kuwa amebatilisha asilimia 25, lakini cha kushangaza mstaafu aliyestaafu kuanzia mwezi wa 8, 2018 bado analipwa aslimia 25, Na malipo badala ya kulipwa kwa hundi yanaingizwa moja kwa moja kwenye banki husika , na ukienda kwenye mfuko wako eg PSPF unaambiwa andika barua, kwa mwajiri, je hii imekaaje? tunaomba ufafanuzi kwa jambo hili,