Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
Kama wengi tunavyojua mafanikio ya baadhi ya wanaume hua yanategemea wanawake walio nao.Siwezi kusema wengi kwasababu wapo wengi wanaofikia kiwango kikubwa cha mafanikio bila wanawake...tho mwishoni hua wanahitaji/wanawatumia wanawake kuMAINTAIN mafanikio yao!
Binafsi hua nafikiria kwamba ntafurahi sana kukutana na mtu ambae ana potential ya kufika mbali ila anahitaji kusukumwa kidogo ili mimi ndo niwe hiyo ''force''. Mpaka nilipoongea na rafiki yangu mmoja kama wiki mbili hivi zilizopiata akaniambia kitu kilichonishangaza kweli.Nilishangaa kwasababu nilikua sijui wala sikuwahi kufikiria kwamba mambo yanaweza kua kama alivyoniambia!!
Aliniambia kwamba wanaume wanaosaidiwa (kusukumwa...kupewa mawazo...kupewa moyo na kuonyeshwa wanaweza zaidi ya wanavyodhani) na wanawake kufikia mafanikio yanayoonekana kwa kila mtu hua hawayafurahii kwasababu wao wanajua na kila mtu anaona kama sio mwanamke asingefika alipofika!Yani anaona kama amebebwa na mwanamke.
Maswali...
...Je ni kweli kwamba kina kaka (napenda kusema baadhi) hawayafurahii maendeleo yao kwasababu mwanamke ndie anaeonekana msababishi??
...Inawezekana kwa watu kama hawa wakashindwa hata kuwashukuru wenza wao hao kwasababu itadihirisha kwamba bila wao sio kitu??
...Kuna ubaya wowote kumENCOURAGE mtu kama unaona kabisa hajafikia kiwango ambacho anaonekana anaweza???
Hapa siongelei ile kumsema mtu mpaka ajisikie vibaya bali kumjulisha tu katika hali ambayo hata yeye ataifurahi!!!
Binafsi hua nafikiria kwamba ntafurahi sana kukutana na mtu ambae ana potential ya kufika mbali ila anahitaji kusukumwa kidogo ili mimi ndo niwe hiyo ''force''. Mpaka nilipoongea na rafiki yangu mmoja kama wiki mbili hivi zilizopiata akaniambia kitu kilichonishangaza kweli.Nilishangaa kwasababu nilikua sijui wala sikuwahi kufikiria kwamba mambo yanaweza kua kama alivyoniambia!!
Aliniambia kwamba wanaume wanaosaidiwa (kusukumwa...kupewa mawazo...kupewa moyo na kuonyeshwa wanaweza zaidi ya wanavyodhani) na wanawake kufikia mafanikio yanayoonekana kwa kila mtu hua hawayafurahii kwasababu wao wanajua na kila mtu anaona kama sio mwanamke asingefika alipofika!Yani anaona kama amebebwa na mwanamke.
Maswali...
...Je ni kweli kwamba kina kaka (napenda kusema baadhi) hawayafurahii maendeleo yao kwasababu mwanamke ndie anaeonekana msababishi??
...Inawezekana kwa watu kama hawa wakashindwa hata kuwashukuru wenza wao hao kwasababu itadihirisha kwamba bila wao sio kitu??
...Kuna ubaya wowote kumENCOURAGE mtu kama unaona kabisa hajafikia kiwango ambacho anaonekana anaweza???
Hapa siongelei ile kumsema mtu mpaka ajisikie vibaya bali kumjulisha tu katika hali ambayo hata yeye ataifurahi!!!