Mafanikio ya mwanaume!!

Dah....yani umesemakweli kabisa...mpaka wajione wao ndo wenye bahati kumbe movie ilishaandikwa cast tu ndo hajakamilika!!!Lolzzz!Embu fanya fasta huo mpango bibie.....



Ndo tunarudi pale pale kwenye hii Thread,,, Gentle push, anatoa wazo anafikiri yeye ndo kalitoa kumbe umempandikiza ... LOL ... akija unajifanya hata kusita kama unafikiria kumbe ......
 
Dearest sikuelewi tangia utoe ile thread yako nimekuomba feedback umegoma kunipa.....sasa hao ma bachelor wa kwa kina Asha,tukidondoka dimbwi moja naomba uwe tayari kuniachia......kwanza we bado mdogo....:third:

Mpaka hujasikia nikisema kitu dearest jua ni habari mbaya!!!Ile tupotezeee....sasa twende kinadharia zaidi kwa dada Asha tukaangalie kama bado tunakubalika!!! Mhh ikitokea itabidi niwe mdogo mtiifu!!Heheheh
 
Ndo tunarudi pale pale kwenye hii Thread,,, Gentle push, anatoa wazo anafikiri yeye ndo kalitoa kumbe umempandikiza ... LOL ... akija unajifanya hata kusita kama unafikiria kumbe ......

una akili sana Asha....can't wait to see you..:happy::happy:
 
Mpaka hujasikia nikisema kitu dearest jua ni habari mbaya!!!Ile tupotezeee....sasa twende kinadharia zaidi kwa dada Asha tukaangalie kama bado tunakubalika!!! Mhh ikitokea itabidi niwe mdogo mtiifu!!Heheheh

Tunakubalika bado dearest usiweke doubts....tuombe yawe salama manake sitaki uninunie after that event....:caked:
 
Ndo tunarudi pale pale kwenye hii Thread,,, Gentle push, anatoa wazo anafikiri yeye ndo kalitoa kumbe umempandikiza ... LOL ... akija unajifanya hata kusita kama unafikiria kumbe ......
Kumbe mawazoni uko hatua mbili mbele!!
 
good idea...utampata tu wako nikishampata wangu....:bange:



LOL ...Nyie warembo guys wako watatu, wote viwango.... msijali - na nikikwambia kua ni kiwango I mean it.... mmh but kwa upande mwingine au ndo mnapenda wale ma HB mno mpaka anakushinda mtoto wa kike?
 
LOL ...Nyie warembo guys wako watatu, wote viwango.... msijali - na nikikwambia kua ni kiwango I mean it.... mmh but kwa upande mwingine au ndo mnapenda wale ma HB mno mpaka anakushinda mtoto wa kike?

Hahahahha....mwanaume wakugombania nae kioo tutapeleka wapi sie jamani???
Tunatakahandsome....sio pretty bwoiz bwana!!!
 
Hahahahha....mwanaume wakugombania nae kioo tutapeleka wapi sie jamani???
Tunatakahandsome....sio pretty bwoiz bwana!!!


LOL...Umenifurahisha.... Alafu na wewe umegundua wanatumia sana vioo eeeh?
 
LOL ...Nyie warembo guys wako watatu, wote viwango.... msijali - na nikikwambia kua ni kiwango I mean it.... mmh but kwa upande mwingine au ndo mnapenda wale ma HB mno mpaka anakushinda mtoto wa kike?

waweza kuwa hata kumi tukampenda mmoja...kwa kuwa mimi ni mkubwa kuliko Lizzy ndo tumekubaliana kama ikitokea tukaangukia dimbwi moja,yeye aniachie tu mimi manake umri umekwenda....:bange:

Good Night dearest Lizzy and Asha....see you!
 
Sasa Lizzy mbona unaonekana mtaalam na unakataa hutaki mume, mana a lady anaejua sauti ina nafasi gani katika mahusiano ina maana tayari unaweza handle mume.... Ile dinner nilosema nitaandaa mapema iwezekanavyo

Hahahha....Asha bwana..wengi tu wanajua sheria za mchezo...wakati mwingine hata zaidi ya baadhi ya wachezaji ila hawataki kuingia ili na wao wasiishie kuanguka na kuvunjika miguu!!Still....that dinner will be very much appreciated!!Niambie siku niandae kagauni ka RED !

Nimekupata... LOL..Tafadhali hako ka RED utakakokatupia hakikisha unaachia breathing space walau kidogo, si unajua tunaalika wale rafiki zake bachelaz ina maana huby atakuwepo - mume wangu nae ana macho Lizzy, lakini ngoja nitafute solution.....

Hehehe...ntahakikisha sizidishi kipimo ili nisije nikapata mwaliko ya kua nyumba ndogo!!!Hao bachelaz hao...naweza kuwapa chakuangalia hata siku nyingine!!

Lizzy naomba unipitie twende dinner kwa Asha,nitavaa kale ka gauni kangu ka RED tulikonunua wote..please do not dissapoint me.:bange:

Lizzy unajua nitafanyaje? sitaki wajue nina lengo la kukutanisha.... hawa wakijua jeuri, watajidai - cause J2 ya mwisho wa mwezi i cook for him and his friends; kupitia kwako itakua kama zari ... kama vile kuna issue tunataka kujadili, nia yangu uje and make an impression, tule wote dinner and pretend that they are not there ... si unajua hawa singles. najua tu wataomba namba yako hapo ndo watukua wamepotea.... LOL

LOL...Michelle wapo wa kutosha... mradi tu mjipange ma impressions....

I will not dissapoint....l.o.l.......Thank you :happy:

Hehehehhe....dearest usisahau kamkanda keusi kuongeza nashki!!Ila nahope hatutaangukia kwenye dimbwi moja!!!

:welcome: Its a pleasure''''

Dah....yani umesemakweli kabisa...mpaka wajione wao ndo wenye bahati kumbe movie ilishaandikwa cast tu ndo hajakamilika!!!Lolzzz!Embu fanya fasta huo mpango bibie.....

Dearest sikuelewi tangia utoe ile thread yako nimekuomba feedback umegoma kunipa.....sasa hao ma bachelor wa kwa kina Asha,tukidondoka dimbwi moja naomba uwe tayari kuniachia......kwanza we bado mdogo....:third:

kamkanda keusi sitasahau,somo lako limenikaa....!!

Ndo tunarudi pale pale kwenye hii Thread,,, Gentle push, anatoa wazo anafikiri yeye ndo kalitoa kumbe umempandikiza ... LOL ... akija unajifanya hata kusita kama unafikiria kumbe ......

Mpaka hujasikia nikisema kitu dearest jua ni habari mbaya!!!Ile tupotezeee....sasa twende kinadharia zaidi kwa dada Asha tukaangalie kama bado tunakubalika!!! Mhh ikitokea itabidi niwe mdogo mtiifu!!Heheheh

una akili sana Asha....can't wait to see you..:happy::happy:

Tunakubalika bado dearest usiweke doubts....tuombe yawe salama manake sitaki uninunie after that event....:caked:

Kumbe mawazoni uko hatua mbili mbele!!

Lolzzz dearest...nta :A S cry: tu yaishe!!

Nakwambia there no other way ya kuishi na kaka zetu bila kua hivyo.... hasa kama unampenda

good idea...utampata tu wako nikishampata wangu....:bange:

LOL ...Nyie warembo guys wako watatu, wote viwango.... msijali - na nikikwambia kua ni kiwango I mean it.... mmh but kwa upande mwingine au ndo mnapenda wale ma HB mno mpaka anakushinda mtoto wa kike?

Hahahahha....mwanaume wakugombania nae kioo tutapeleka wapi sie jamani???
Tunatakahandsome....sio pretty bwoiz bwana!!!

LOL...Umenifurahisha.... Alafu na wewe umegundua wanatumia sana vioo eeeh?

waweza kuwa hata kumi tukampenda mmoja...kwa kuwa mimi ni mkubwa kuliko Lizzy ndo tumekubaliana kama ikitokea tukaangukia dimbwi moja,yeye aniachie tu mimi manake umri umekwenda....:bange:

Good Night dearest Lizzy and Asha....see you!
:ranger::ranger::ranger:
 
Kama wengi tunavyojua mafanikio ya baadhi ya wanaume hua yanategemea wanawake walio nao.Siwezi kusema wengi kwasababu wapo wengi wanaofikia kiwango kikubwa cha mafanikio bila wanawake...tho mwishoni hua wanahitaji/wanawatumia wanawake kuMAINTAIN mafanikio yao!

Binafsi hua nafikiria kwamba ntafurahi sana kukutana na mtu ambae ana potential ya kufika mbali ila anahitaji kusukumwa kidogo ili mimi ndo niwe hiyo ''force''. Mpaka nilipoongea na rafiki yangu mmoja kama wiki mbili hivi zilizopiata akaniambia kitu kilichonishangaza kweli.Nilishangaa kwasababu nilikua sijui wala sikuwahi kufikiria kwamba mambo yanaweza kua kama alivyoniambia!!

Aliniambia kwamba wanaume wanaosaidiwa (kusukumwa...kupewa mawazo...kupewa moyo na kuonyeshwa wanaweza zaidi ya wanavyodhani) na wanawake kufikia mafanikio yanayoonekana kwa kila mtu hua hawayafurahii kwasababu wao wanajua na kila mtu anaona kama sio mwanamke asingefika alipofika!Yani anaona kama amebebwa na mwanamke.

Maswali...
...Je ni kweli kwamba kina kaka (napenda kusema baadhi) hawayafurahii maendeleo yao kwasababu mwanamke ndie anaeonekana msababishi??
...Inawezekana kwa watu kama hawa wakashindwa hata kuwashukuru wenza wao hao kwasababu itadihirisha kwamba bila wao sio kitu??
...Kuna ubaya wowote kumENCOURAGE mtu kama unaona kabisa hajafikia kiwango ambacho anaonekana anaweza???

Hapa siongelei ile kumsema mtu mpaka ajisikie vibaya bali kumjulisha tu katika hali ambayo hata yeye ataifurahi!!!
Lizzy, whoever told that hakuwa mkweli na ana chembe nyingi sana bado za kukosa imani na wanaume... as long as the support given is genuine with no masimango, every man would be proud of his wife/partner support

I am very proud of the support i receive, and i say it loud to people who ask
 
hahahaaaaaaaaaa.... wewe sasa unatafuta bifu na supa darling, ngoja aku-PM uone

ubavu wangu nao umeingia humu basi nidhamu tele aisee, kama papa yohane:second:
Ila akiona hii "..... Super darling!!! " lazima hakikishe unampa clarificaton kuwa it is meant for whom
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom