Mafanikio huwa yanaanza na watu kuanza kujali usafi na utunzaji wa mazingira

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,295
4,911
Kuna siri kubwa katika kujali usafi na utunzaji wa mazingira yanayotuzunguka ardhi inanguvu kubwa sana tangu kuumbwa kwa adam na Eva waliwekwa kwenye bustani ya Eden bustan safi yenye kupendeza na kuvutia hili ndilo lilikuwa kusudio la Mungu binadam waishi katika mazingira yanayopendeza na yanayovutia kwa macho mwanzo 2:8 pale Eden Adam na mkewe walikuwa wanakula bure baada ya adamu kufukuzwa ilitakiwa akaitengeneze bustani yake mwenyewe kwa jasho yenye kupendeza ili aweze kuishi na kupata matunda

Wenzetu nchi zilizoendelea wanachotuzidi wanaishi katika kusudio la Mungu alivyotaka tuishi walishajifunza jambo hili kujali mazingira yanayowazunguka na ndio mana wanazidi kupata mafanikio Kuna jambo hili wengi hawalijui ukiyajali mazingira yanayokuzunguka na maarifa yanaongezeka

Afrika inabakia kuwa bara la watu wengi masikini sababu wengi hawajali usafi na utunzaji wa mazingira kama mazingira yanayokuzunguka ni machafu hata uwezo wako wakufikiria unapungua maarifa yanapungua hapa mfano mzuri Tanzania asilimia kubwa ya nyumba hazina mashimo ya maji taka yakuogea na kufulia uchafu kila mahali misingi inayotililisha maji ni michafu nyumba hazipandwi maua au miti kitu kingine utakuta mtu kapanga matunda anauza karibu na msingi mchafu hili sio kusudio la Mungu kuishi kwenye maeneo machafu

Mungu hawezi kuonekana katika mazingira machafu tunajifunza pale Musa alipoambiwa avue viatu vyake mahali pale ule ni mji mtakatifu kutoka 3:5
 
Umeeleweka mkuu kuanzia kesho tutaanza kuzingatia ushauri wako, ndo maana PK alitenga siku moja ya kila mwez iwe kwa ajili ya usafi nchi nzima nasi tukaiga, hv kwa pk bado upo, maana huku kwetu naona uliondoka na mtu.
 
Umeeleweka mkuu kuanzia kesho tutaanza kuzingatia ushauri wako, ndo maana PK alitenga siku moja ya kila mwez iwe kwa ajili ya usafi nchi nzima nasi tukaiga, hv kwa pk bado upo, maana huku kwetu naona uliondoka na mtu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hii nchi taflani tu kufanya usafi mpka serikali itoe order na usimamizi wa mwakilishi wa nyumba kumi anyway utaratibu umelala na mwendazake
 
Nikweli ila Kuna wakati baadhi ya watu uchoshwa na baadhi ya vitongoji vya serikali za mitaa kupitia Almashauri za jiji ndio wanaongoza kuweka taka taka maeneo ya watu zaidi ya miezi . Na inafikia wakati hata mwananchi mmoja mmoja ushindwa kuweka mazingira safi .ikiwa Anaona mrundikano wa taka baadhi ya maeneo .mi naona usafi uanze na hizi Almashauri na ndipo hata sisi tutapata kasi ya kuboresha mazingira safi na salama katika maeneo yanayo tunzunguka
 
Nakubaliana na wewe mkuu,

Usafi ni tabia ndio maana nchi kama Japan,watoto wanafundishwa issue ya usafi toka wakiwa wadogo.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hii nchi taflani tu kufanya usafi mpka serikali itoe order na usimamizi wa mwakilishi wa nyumba kumi anyway utaratibu umelala na mwendazake
Watu badala ya kufanya usafi watu wanaotea jua wakisubiri muda wakufungua biashara zao Kuna magonjwa hayakutakiwa kuwepo kabisa Africa kama malaria lakini sababu kubwa ni uchafu watu wanaendelea kupoteza maisha
 
Nikweli ila Kuna wakati baadhi ya watu uchoshwa na baadhi ya vitongoji vya serikali za mitaa kupitia Almashauri za jiji ndio wanaongoza kuweka taka taka maeneo ya watu zaidi ya miezi . Na inafikia wakati hata mwananchi mmoja mmoja ushindwa kuweka mazingira safi .ikiwa Anaona mrundikano wa taka baadhi ya maeneo .mi naona usafi uanze na hizi Almashauri na ndipo hata sisi tutapata kasi ya kuboresha mazingira safi na salama katika maeneo yanayo tunzunguka
Usafi unatakiwa kuunza na sisi wenyewe Kuna shida kubwa kwenye makazi yetu tunayoishi asilimia kubwa watu hawana mashimo ya kumwaga maji taka ya kuongea na kufulia ni jambo la kushangaza kuona mtu anafua maji Yale akishamaliza anamwaga barabarani
 
Kuna siri kubwa katika kujali usafi na utunzaji wa mazingira yanayotuzunguka ardhi inanguvu kubwa sana tangu kuumbwa kwa adam na Eva waliwekwa kwenye bustani ya Eden bustan safi yenye kupendeza na kuvutia hili ndilo lilikuwa kusudio la Mungu binadam waishi katika mazingira yanayopendeza na yanayovutia kwa macho mwanzo 2:8 pale Eden Adam na mkewe walikuwa wanakula bure baada ya adamu kufukuzwa ilitakiwa akaitengeneze bustani yake mwenyewe kwa jasho yenye kupendeza ili aweze kuishi na kupata matunda

Wenzetu nchi zilizoendelea wanachotuzidi wanaishi katika kusudio la Mungu alivyotaka tuishi walishajifunza jambo hili kujali mazingira yanayowazunguka na ndio mana wanazidi kupata mafanikio Kuna jambo hili wengi hawalijui ukiyajali mazingira yanayokuzunguka na maarifa yanaongezeka

Afrika inabakia kuwa bara la watu wengi masikini sababu wengi hawajali usafi na utunzaji wa mazingira kama mazingira yanayokuzunguka ni machafu hata uwezo wako wakufikiria unapungua maarifa yanapungua hapa mfano mzuri Tanzania asilimia kubwa ya nyumba hazina mashimo ya maji taka yakuogea na kufulia uchafu kila mahali misingi inayotililisha maji ni michafu nyumba hazipandwi maua au miti kitu kingine utakuta mtu kapanga matunda anauza karibu na msingi mchafu hili sio kusudio la Mungu kuishi kwenye maeneo machafu

Mungu hawezi kuonekana katika mazingira machafu tunajifunza pale Musa alipoambiwa avue viatu vyake mahali pale ule ni mji mtakatifu kutoka 3:5
Hakika kweli na dhahiri...toka zamani nilipokuwa nakwenda kwenye familia zilizofanikiwa nakuta mazingira ni safi sana...Kuna mzee mmoja Iringa Gangilonga nyumba yake ilikuwa ina ukoka kijani safi pia amezungushia fensi ya mierezi...ukiingia tu kwenye eneo lake unapata hali fulani ya utulivu wa akili nafsi na roho... ๐Ÿ‘
 
Usafi unatakiwa kuunza na sisi wenyewe Kuna shida kubwa kwenye makazi yetu tunayoishi asilimia kubwa watu hawana mashimo ya kumwaga maji taka ya kuongea na kufulia ni jambo la kushangaza kuona mtu anafua maji Yale akishamaliza anamwaga barabarani
Kumwaga barabarani hupunguza vumbi... ๐Ÿ™‚
 
Back
Top Bottom