Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

Status
Not open for further replies.
wiki moja iliyo..
pita kulikuwa na habari za kulazwa hospitali huko ujerumani kwa mtajwa hapo juu. tunaomba mnaojua habari zake mtuhabarishe maendeleo yake ya afya. mjuavyo maisha ya kiongozi ni kama kioo hivyo lowasa ni kioo pia
 
MAY GOD HELP THIS MAN TO DIE FASTER AS MUCH AS POSSIBLE!!!! AND THE ONE WHO REPORTING THIS ISSUE GOD LET HIM DIE BY CAR CRUSH!!!!:peace:
 
Wakuu Jemedari ameshafika.Waliomuombea, mnashukuriwa sana kwa sala zenu. Waislamu, wakristo na wasio na dini. Namaanisha watanzania wote wapenda maendeleo, Asante kumuombea Jembe !
 
hana jipya lowasa ni chanzo kimoja wapo cha maisha hapa tz kuwa magum kwa watz kwa maovu yake aliyoyafanya akiwa waziri
 
Watu wengne ktk nchi hii are non advantageous k v el!!,rich monduli kwa siku ilikuw inaramba ngap vile?Wakat watu wanalala njaa,madent wanakaa chini hata lab hamna,wajawazito wanajifungulia chin kwa kukosa vitanda au vichakan kwa kukosa huduma za afya,ajira hakuna,then unasema eti mpiganaji,wa nini?
 
kwa hiyo kapewa dawa za kurefusha maisha kidogo au?

Ndio matatizo ya wapambe, njaa inawafanya waseme au waandike vitu ambavyo mtu makini hawezi kufanya hivyo!! Lowassa afya yake sio nzuri , ukiangalia kwa makini picha yao na mkewe pale alipokuwa anazungumza na waandishi utaona kuwa mkewe alikuwa tense with a worried look; pia jicho lake la kushoto na sura yake upande huo huo unaonesha kuwa ni mgonjwa,mkono wake wa kushoto pia una kasoro!! Anastahili kupumzika lakini wapambe wake watamsukuma mpaka aanguke!!
 
Lumato, Feb 22: "Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani...."

Lowasa, alipotoka hospitali: "Wanazusha eti nina stroke, kisukari...mimi mzima sijawahi kuugua hayo magonjwa ni uzushi tu, niko fit tayari kwa mapambano..."

Kanuni kuu ya uongo ni kuwa na kumbukumbu.
 

[h=6]Lowassa Ngoyai Edward
[/h] [h=6]‎''Ndugu zangu Watanzania.Nawashukuru wote mlionipigia simu na
kunitumia ujumbe kwa kutaka kujua
hali yangu.
Pamoja na mlioniombea, kwa pamoja maombi yenu na sala zenu zimenisaidia.
Kwa sasa nawaambia kuwa niko salama kabisa na afya yangu ni njema.
Kwa pamoja tuendeleze mshikamano ili tujenge nchi yetu.
Mungu awabariki sana wote”[/h]
 
Wana Bodi,
Huyu Mzee Afya yake ni Mbovu sana, Tuombe Mungu Magamba wampitishe 2015 CDM tuchukue Nchi Kilainiiiiiiiiiiiiiii
 
Umeona eeeeh
It looks like he is on palliative care.
Hapa ni kumwomba Mungu azidi kumtia nguvu awe na afya njema na maisha marefu.
 
Una maana gani, na taarifa hizi ni za lini?
Kama unaongelea generally, basi utangojelezea sn!
Kesho hii atakuwa anahutubia vijana wa Kiislamu huko Mwanga na Same!
Utasubiri sn.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom