Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
usisumbuke na hao watu walio mamluki, wana macho lakini wanajifanya wao ni vipofuila watu wengine sijui upeo wao wa kufikiri unaishi wapi.
Hivi Tatizo la umeme lilivyokua sensitive kipindi kile, kila kiongozi anahaha kulitafutia uvumbuzi, halafu aje mtu ambaye ni rafiki wa mkuu wa nchi hii kutusaidia kutatua tatizo hilo na Richmond yake halafu Kikwete asimjue? Labda basi hili tatizo la Umeme lilikua halimhusu Kikwete!
nakwambia hao watakuwa wanapata benefit kutoka kwenye huo uongozi si bure
waambie wasubiri tu siku zikifika waajiandae pa kwenda kuishi