kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
kule kwa gwajima, siku ya jumamosi wanalala hapohapo wakikesha nakuombea taifa, siku ya jumapili wanaamkia kanisani asubuhi halafu wote kabla hawajaenda kulala kwasababu ya usingizi wa mkesha, wanapitia kupiga kura kwanza kabla ya yote. nilikuwepo pale jumapili hii iliyopita, na tulishatangaziwa kuwa hatutakuwa na ibada siku ya kupiga kura, badala yake jumamosi tutafanya ibada kama kawaida na jumapili tunaamkia kupiga kura hadi kieleweke. ngoma inogile kwa kweli..
majeshi, majeshi