GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 3,2023 amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye hafla ya kusimikwa na kuwekwa wakfu kwa Mhashamu Askofu Thomas John Kiangio Kanisa Kuu la Mtakatifu Antony wa Padua, Chumbageni Mkoani Tanga.
Chanzo: owm_tz
Na Ibada ya Jumapili ijayo katika moja ya Makanisa ninayosali ya Mtakatifu Michael Kawe au Mtakatifu Petro Oysterbay au Mtakatifu Joseph Posta GENTAMYCINE nitaomba ( kwa Kujitolea na Kimakusudi ) kabisa niendelee Kulisoma tu hilo Tamko Tukuka la TEC kuhusu Wanyonyaji DP World.
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Chanzo: owm_tz
Na Ibada ya Jumapili ijayo katika moja ya Makanisa ninayosali ya Mtakatifu Michael Kawe au Mtakatifu Petro Oysterbay au Mtakatifu Joseph Posta GENTAMYCINE nitaomba ( kwa Kujitolea na Kimakusudi ) kabisa niendelee Kulisoma tu hilo Tamko Tukuka la TEC kuhusu Wanyonyaji DP World.
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.