Angalia nyekundu. Nashangaa kuwa ilishuhudia mtu amekufa na bado unatuliza mzuka na RedBull baridi. Lakini ni kawaida yetu binadamu, kila kinachokatazwa ndo huwa tuna usongo nacho. Mfano, kila siku tunaona madhara ya sigara na bado tunapuliza.Mkuu kunam2 nilishudia amekufa baada tu ya kunywa hii kitu 2katake easy kumbe ni noma du, mimi mwenyewe nilkizipika castle kadhaa au nikiamka nazo huwa natuliza mzuka kwa Red bull baridi kumbe nilikuwa na beep kifo mama yangu nitamwambia wife achanenayo
Reference?
Reference?