Madhara yatokanayo na unywaji wa Red bull

Gudboy

Thank you for the educative and warning thread. Are the authority here aware of this???I mean institutions like the Ministry of Health and Social Wellfare, Tanzania Food and Drugs Authority and Tanzania Bureau of Standards?? Hizi taasisi zilipaswa kuwa zimefuatilia hili jambo maana ni muda mrefu tumepata hizi taarifa za harmfulness of Red Bull.

Ni muda sasa umefika wajitokeze kuzuia products kama hizi. Je tutaua vizazi kwa kiasi gani?? Mara maziwa ya vichanga, mafuta, madawa fake, expired items, maziwa ya NIDO, you name all. Tanzania imegeuzwa shamba la ufisadi wa kila namna.
 
Last edited by a moderator:
Man killed ‘by 4 cans of Red Bull a day’
Thursday, April 24, 2008

A night worker who drank four cans of Red Bull a day died of a heart attack that may have been caused by the energy drink, an inquest heard.

Alfredo Duran collapsed at the end of a nightshift at a supermarket, during which he regularly drank large quantities of Red Bull, advertised with the slogan 'It gives you wings'.

The amount of caffeine found in the 40-year-old's body – although not in itself fatal – could have brought on a cardiac arrest because he already had an enlarged heart, the inquest heard.

Pathologist Dr Ian Roberts said the fatal attack may have been 'triggered by levels which would have no effect on people with a normal heart'.

Bolivian-born Mr Duran, described by the coroner as healthy, collapsed in 2006 at the Asda supermarket in Wheatley, Oxfordshire, where he worked up to five night shifts a week.

Paramedics tried in vain to revive the father-of-two, from Oxford. Colleagues said they usually found at least four empty cans of Red Bull on site when he had been working. Recording a verdict of death by unascertained natural causes, Oxfordshire coroner Nicholas Gardiner compared his death to sudden adult death syndrome, a condition linked to cardiac illness.

Last year, Red Bull sold 3.5billion drinks in 140 countries. One can contains about the same amount of caffeine as a cup of coffee. It is banned in some countries because of fears it could cause high blood pressure. The drink's maker denied it caused any harm – but recommen¬ded that no more than two cans be drunk a day.

A Red Bull spokesman said clinical tests and toxicological evaluations by independent experts had concluded it was safe to drink for adults. 'No one has ever shown any link between Red Bull and harmful effects,' the spokesman added.



Source: Metro.co.uk
 
Always WAJINGA NDIO WALIWAO....... HII NI HATARI KWA TAIFA LETU....TUAMKE SASAAAA......
 
Sijui kati ya RED BULL an Coca cola/Pepsi nani ana madhara zaidi. Hizi nazo zinakwangua kila kitu tumboni. Inasemekana hata kutu zinasafisha

Uncle, bora hata na wewe umesema hili.

Tulikua tunafufua gari ya zamani home, kuna bolt zilikua ngumu kufunguka kutokana na kutu.

Basi nikashangaa yule fundi anaagiza soda aina ya Pepsi - akamwagia ile bolt. Binafsi nikashangaa, nikamuuliza kanini anamwagia Pepsi na sio breke fluid kama wengi tulivyozoea?

Akananiambia "Subiri, we utaona!" Kusema kweli ile bolt ilifunguka!

Nimekuwa mwoga hata wa kunywa Pepsi, since that day nakunywa Fanta and Stoney Tangawizi... lol
 
Uncle, bora hata na wewe umesema hili.

Tulikua tunafufua gari ya zamani home, kuna bolt zilikua ngumu kufunguka kutokana na kutu.

Basi nikashangaa yule fundi anaagiza soda aina ya Pepsi - akamwagia ile bolt. Binafsi nikashangaa, nikamuuliza kanini anamwagia Pepsi na sio breke fluid kama wengi tulivyozoea?

Akananiambia "Subiri, we utaona!" Kusema kweli ile bolt ilifunguka!

Nimekuwa mwoga hata wa kunywa Pepsi, since that day nakunywa Fanta and Stoney Tangawizi... lol

Tukirudi ktk ukweli,vingi hatari tupu. Elimu hii lazima tuanzie kwa watoto pia.
 
Man thanx for a very interesed article. By the way nimeshawai kunywa red bull zamani kama kopo tatu per day nikaona moyo waenda mbio sikurudia tena so nashukuru kama wenzio ndo mnaamka leo ni vema njooni kwa juice natural na maji ndo safe ila haya manywaji yanayotengenezwa na chemical yote hati maana nilishawai kusoma artical moja ya doctor mmoja aliyefanya research ya soda na yenyewe wala si advisable japo mazara yake ni madogo so masela jiepusheni huyo jamaa kaleta issue ya kweli msikilizeni
 
......lakini bora hivi vinywaji tunaviona na twaweza kuchukua hatua kirahisi hasa kuwaelimisha watoto wetu.

Mimi tatizo langu ni hili la hawa wadudu wa HIV/AIDS ambao siwaoni na wako ktk sehemu muhimu ktk maisha yangu sijui nifanye vipi. Mtoto mlembo unamuona (kama hujaoa lakini), ukimtazama usoni ...ah.... unakosa kuamini. Kondomu, tunaambiwa ni nzuri lakini nilienda mexico mwaka 2006 ktk purukushani mtaani nikaambiwa ...ah... wewe vipi? au ndo umenipandikiza ukimwi.....mimi ni salama kaka.....jisikie huru....hii ni mexico.....mzee kama mende vile....sasa mimi nashindwa hata kujua nitakwepa lipi na nitaangamizwa na lipi.
 
Gudboy

Mkuu mimi ningependa kujua kuhusu kemikali ya kafeni inayopatikana kwenye RED BULL je? Inauhusiano wowote na kemikali ya kafeni inayopatikana kwenye KAHAWA NA MAJANI YA CHAI?
 
Last edited by a moderator:
......lakini bora hivi vinywaji tunaviona na twaweza kuchukua hatua kirahisi hasa kuwaelimisha watoto wetu.

Mimi tatizo langu ni hili la hawa wadudu wa HIV/AIDS ambao siwaoni na wako ktk sehemu muhimu ktk maisha yangu sijui nifanye vipi. Mtoto mlembo unamuona (kama hujaoa lakini), ukimtazama usoni ...ah.... unakosa kuamini. Kondomu, tunaambiwa ni nzuri lakini nilienda mexico mwaka 2006 ktk purukushani mtaani nikaambiwa ...ah... wewe vipi? au ndo umenipandikiza ukimwi.....mimi ni salama kaka.....jisikie huru....hii ni mexico.....mzee kama mende vile....sasa mimi nashindwa hata kujua nitakwepa lipi na nitaangamizwa na lipi.

Kwa hiyo mzee ukapiga Stereo mhh.

Kwa upande wa hivi vinywaji vinavyotengenezwa na kemikali vingi vinamadhara makubwa. Mimi niliwahi kupata email kama miaka minne iliyopita ilikuwa inazungumzia madhara ya Pepsi na Cocacola kuwa zinaharibu meno na mifupa.

Pia niliwahi kusikia kuwa Double Cola ilitengenezwa kwa ajili ya kuwapoteza Red Indians hapa duniani lakini sina uhakika wa hili mwenye updates anaweza kutupa ukweli zaidi.
 
yaani red bull na redds zote hazifai.
Wadau wote hapa jamvini,ahsanteni kwa hilo angalizo.Ila nafikiri la msingi ni kwa kila mmoja wetu kusambaza huu ujumbe kwa watu wengi zaidi na mamlaka husika na mada kama hii hapa TZ.
 
Mbona najiona kama nimesha kufa vile huwa nakunywa tatu mpaka nne...daah

asanteni
 
RED BULL Huuzwa katika maduka makubwa (Supermarkets) na madogo (Retail Shops) katika nchi ya Tanzania na watu wazima na watoto wetu wengi wana mazoea ya kunywa kinywaji hiki ambacho kinaweza kusababisha kifo!
.......
 
Kiroroma

UMELETA HABARI NZURI/MBAYA....!

hii habari imeshawahi kuleta hapa jamvini, pamoja na ukweli huo pia huenda ni kampeni za kupiga vita/boycott dhidi ya watengenezaji... japo maelezo yalishatolewa.....!

NCHI NYINGI ZIMEPIGA MARUFUKU kwa sababu wazijuazo wao....!

DDT imepigwa marufuku nchi nyingi bali sisi tumeiruhusu kwani ina faida zaidi kuliko hasara
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kunam2 nilishudia amekufa baada tu ya kunywa hii kitu 2katake easy kumbe ni noma du, mimi mwenyewe nilkizipika castle kadhaa au nikiamka nazo huwa natuliza mzuka kwa Red bull baridi kumbe nilikuwa na beep kifo mama yangu nitamwambia wife achanenayo
 
Cafeine ni hatari..ndo maana kuna tahadhari kwa maandishi mekundu..
mods isogeze JF doctor ndo kwake...
 
Back
Top Bottom