Madhara ya kusajili meli za wairan yaanza kuonekana(some bank block money transfer to Tanzania).....

mpya

Member
Sep 18, 2012
10
11
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo
 
Hawana ujanja wala uwezo wa kutuwekea vikwazo. Tanzania hatufungamani na siasa za upende wowote, hatuko tayari na hatutakuwa tayari kuchaguliwa marafiki/maadui na mataifa mengine.
 
Diaspora ya Ghana inashikilia nafasi ya tatu kwa uchumi wa nchi hiyo; ya Nigeria ni ya nne kwa kuchangia uchumi wa nchi hiyo, vivyo hivyo kwa Uganda. Hapa kwetu badala ya kuweka mazingira mazuri kwa walio nje ya nchi kuchangia uchumi wa nchi yetu kama ilivyo kwa nchi za wenzetu, kwa ujuha wetu tunaziba hata kile kidogo kilichokuwa kinapatikana! Tumekwisha.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
yap ni kweli hiyo kitu mimi imenitokea personally yaani kwa kifupi imeshangaza sana na maana imebidi kuongea na yule Teller maana nimeshatuma zaidi ya mara kumi toka nije huku ughaibuni na kutumia benki hiyo hiyo mana nina akaunti hapo....sasa nilipokwenda this time nimeshangaa sana maana mpaka alienda ndani nadhani kwa manager akarudi akaniambia wametublock tanzania na iran....duh kwa kifupi ni noma
 
Au ndo maana makampuni ya madini nayo yameanza kufungasha virago kurudi makwao?. Bora tuwekewe vikwazo ili serikali yetu ijue udhaifu wao ndo umepelekea yote hayo kutokea
 
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo

acha pumbea nauzandiki..habari za fita tuuu,unavielelezo......
 
Wamzuei pia baba mwanaasha kwenda kwenye hizo nchi pia.
 
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo

je wamejiuliza iran kuleta bidhaa bongo na kurudi na hela?Je wamejiuliza kama mzigo wa iran kufika bongo ni kufikia nchi kibao za africa na pengine za Asia?
 
Hali ni mbaya kweli kwani hata nchi wahisani kwenye kapu la pamoja (basket fund) hawajakaa hadi oct ndo watakaa kupitia budget kwa hiyo inawezekana nao wapo kwenye mpango wa kusitisha misaada hiyo.
 
Tz imeblokiwa kwa madeni walionayo. wacheni propaganda za kipuuzi sisi tuko hukuhuku ughaibuni na tunatuma pesa kwenda Zanzibar kama kawaida msiwadanganye watu kwa kisingizio cha Iran.

kama unatumia wasomali kwanini zisifike?
 
Nchi ambayo, kila kiongozi anajiamulia cha kusema na kufanya, raisi yeye kila kukicha anadai kadanganywa bt still hana ubavu wa kuwafukuza wanaomdanganya.
Acha wasitishe misaada ili tukumbuke wajibu wetu kama taifa ktk kujitegemea.
 
Unachosema ni kweli kabisa maana nilijaribu kutafuta option zingine kuna jamaa yangu kaniambia unaweza tumia hao wasomali sasa hapo risk kibao

watakuweka wewe na uliyemtumia katika highlights zao kuwa ni mwanamtandao wa money laundering,na likitokea tatizo linahitaji wao kungalia record yake basi hutokuwa na nafasi njema sana.

upuuzi na nguvu ya wenzetu ni kwamba wanaweza kuachia na hata mara nyingine ruhusu deal zako harama ziende ukadhani unapiga bao.Kumbe wao ndio wanaapprove ktk background before nyendo zako hazijawafikisha kwa big fishes ,katik hao big fishes wanawekewa mazingira ya kupata ushahidi wa kimahakama kwanza ili wakitibua basi isiwe shida. mahakamani.Kisha ndio hutibua.
 
watakuweka wewe na uliyemtumia katika highlights zao kuwa ni mwanamtandao wa money laundering,na likitokea tatizo linahitaji wao kungalia record yake basi hutokuwa na nafasi njema sana.

upuuzi na nguvu ya wenzetu ni kwamba wanaweza kuachia na hata mara nyingine ruhusu deal zako harama ziende ukadhani unapiga bao.Kumbe wao ndio wanaapprove ktk background before nyendo zako hazijawafikisha kwa big fishes ,katik hao big fishes wanawekewa mazingira ya kupata ushahidi wa kimahakama kwanza ili wakitibua basi isiwe shida. mahakamani.Kisha ndio hutibua.

Asante sana kwa ushauri
 
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo
Mkuu pengine wewe mwenyewe ndio unakisiwa maana sisi tunatuma kama kawaida na hakuna kitu hicho...
 
Hawana ujanja wala uwezo wa kutuwekea vikwazo. Tanzania hatufungamani na siasa za upende wowote, hatuko tayari na hatutakuwa tayari kuchaguliwa marafiki/maadui na mataifa mengine.

Wee kwani vipi? uzi si umeusoma? unacho sema ni ushabiki au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom