124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
Ha!ha!ha! nkweli! huko asa ndiko nkusudia miye yakhe! twasubiri koti la tanganyika livuliwe ,lichanwe au liraruliwe nkisha kiremba cha pemba kitupwe halafu chupi ya n'jini magaribi, sidirii ya kaskazi,gagulo ya kusini mpaka kila n'zanzibari awe na 'nchi yake'.Mwishowe utaishia na Jamhuri ya Mjini Maghribi weye, mbona Vatican ni nchi na ina eka si eka.