Madhara ya kusajili meli za wairan yaanza kuonekana(some bank block money transfer to Tanzania).....

Diaspora ya Ghana inashikilia nafasi ya tatu kwa uchumi wa nchi hiyo; ya Nigeria ni ya nne kwa kuchangia uchumi wa nchi hiyo, vivyo hivyo kwa Uganda. Hapa kwetu badala ya kuweka mazingira mazuri kwa walio nje ya nchi kuchangia uchumi wa nchi yetu kama ilivyo kwa nchi za wenzetu, kwa ujuha wetu tunaziba hata kile kidogo kilichokuwa kinapatikana! Tumekwisha.



Mkuu wabongo wengi waliopo nje ni wabeba maboksi na wanafunzi,sasa unategemea bongo wafanye uwekezaji gani? Kwaninavyoiona bongo na ka experience kadogo nilikonako kakukaa nje ya nchi wengi waliopo ughaibuni elimu yao si kubwa kivilee so kazi zao ni za kuungaunga tu tofauti sana na wenzetu wa Afrika magharibi na kwingineko ambapo kwa upande wao wasomi ndiyo wanaokimbilia nje ya nchi kutokana na uhaba wa ajira.
 
Hawamshiki mtu inapokatazwa kutuma fedha ktk nchi au jumuiya ilowekewa vikwazo. Unaweza kutuhumiwa kuwa unatuma fedha za kuisaidia Alqaeda na hivyo imekatazwa na kwa baadhi ya watu wanaokisiwa hukataliwa tu hashikwi mtu..Wengine majina yao tu yanawaponza na nakuambia hivi kwa sababu inafanyika hadi kesho.. Sisemi kwa kusoma au kufikiria ila ndivyo inavvyofanyika hapa. Wewe hauishi huku bado unabisha tu ili mradi kubisha. Bora wafundishe FBI kazi yao basi..

Mukandara naona unapenda san bisha uonapo ID yangu.Ila kiukweli hujui usemalo.Money laundering ni kosa lenye sheria kamili na kali sana.Na watu wafanyao hii kazi pia wana mitandao yao a kazi yao ndio hiyo na hulipwa kwa hilo.Ulichosema ni kwamba tataizo lilikuwa huyu jamaa aliyekuwa kaitaka tuma hela akakwama ,a hakuna alichofanyiwa kisheria.Which means kuwa tataizo hakuwa huyu jamaa ila ni route aliyokuwa akipeka hela ilikuwa imefungwa.Wewe usemalo kuhusu kupelekea alqaeda ni kipande tuu cha money laundering schemes zifanyikazo duniani.Hii inaonyesha kuwa hii sehemu usiyoijua sana.Labda tuu nikuambie ktk vitu nimekuwa na interest navyo sana ni operations za FBI na money laundering na jinsi ina affect uchumi wa nchi.

Malezeo yangu kwa mtu simple ataelewa ila kwa mtu uliyechanganywa na vitu vingi ni ngumu kupata concept.Muna mwingi unaangalia nani kasema na si nini kimesemwa.FBI hata CIA huwa kila issue awanazozifuatia lazima wahakikishes ushahidi unajengwa kwa kiasi wanaweza jihaminisha kuwa wanashinda na si kuja ipishwa hela.Na kama ushahidi haujafikia wapo tayari ku lobby "target" yao iendelee fanikiwa na mambo hadi siku ushahidi mkubwa uatakapojitokeza.Kama huyu jamaa alikuwa ndie target basi hiyo hela angeweza tuma bila shida,tena watu wangine wasiokuwa target wangegomewa.pengine wewe hujawahi jiuliza kwanini kuna watu wanapata shida sana kupata visa na vigezo vingi vya kitabia na nini wapo safi,ila wale ambao hata kwa muonekano,matendo na maneno hawaipendi USA wanapata, na baada ya muda wanakutwa na mikasa.HUjawahi jiuliza inakuweje mtanzania anayeishi illegally ktk US anatoka na kwenda Italia, Brazil n amzigo na asumbuliwi wakati wengine kosa dogo tuu wanakuwa depoted.

Mukandala blah blah acha na ukubali issue inaweza kuwa imeshanukia vibaya na itakuwa mbaya sana kabla hizi siasa vuguvugu na za kinafiki sijui zisizofungamana na upande wowote huku sivyo hazifa rasmi hapa kwetu.hatufungamani naupande wowote huku tunaongea na palestina na Iran na kuweka balozi zao wakati Israel hatujawa nao?Huu uchambuzi wenu nadhani somewhere muuache vijiweni na vilabuni.
 
Hawana ujanja wala uwezo wa kutuwekea vikwazo. Tanzania hatufungamani na siasa za upende wowote, hatuko tayari na hatutakuwa tayari kuchaguliwa marafiki/maadui na mataifa mengine.

Mkuu, sijakuelewa, humwamini mtoa uzi au umeamua tu kubisha? yeye anakwambia alitaka kutuma pesa home though a certain Bank na wamemgomea then wewe unakataa, uko nae hapo au ulikua naye wakati anataka kutuma? au umeamua kuongea na wewe kisheria kwamba hukua na maana ya Upande exceot upende? kama ilivyo hapo kwenye Bold!
 
watakuweka wewe na uliyemtumia katika highlights zao kuwa ni mwanamtandao wa money laundering,na likitokea tatizo linahitaji wao kungalia record yake basi hutokuwa na nafasi njema sana.

upuuzi na nguvu ya wenzetu ni kwamba wanaweza kuachia na hata mara nyingine ruhusu deal zako harama ziende ukadhani unapiga bao.Kumbe wao ndio wanaapprove ktk background before nyendo zako hazijawafikisha kwa big fishes ,katik hao big fishes wanawekewa mazingira ya kupata ushahidi wa kimahakama kwanza ili wakitibua basi isiwe shida. mahakamani.Kisha ndio hutibua.


UPDATES: leo nimekwenda katika the same bank X nikajaribu kutuma kwa kutumia MoneyGram aliniambia hawezi jua kama wamebloc nayo au vipi ila nijaze form then nikapeleke. nilipopeleka form zangu akafanya process zote mpaka alipofika mwisho wakati wa kutuma ikakataa tena kwa hii bank X ndio wameshablock transfer money to Tanzania.

Basi hapo nikawa sina unanja moja kwa nikaenda kwenye Western union sasa nitatumia Post office siyo benki nikafanikiwa kutuma pesa Tanzania ila kama ujuavyo Western Unione ni expensive compared normal bank transfer.

Sikuishia hapo nikatoka nikaenda Bank Y kujua kwamba hii issue ipo na benk nyingine LUCKLY huku hawajatublock nimefanikiwa kutuma pesa huku nikasema nijaribu hata kutuma hata pesa kidogo ili kujua kama safi...ni kweli nikatuma pesa na muda wa masaa kama 4 au 5 hivi napata SMS toka benki ya Bongo kwamba pesa imeingia katika akaunt yangu...kwahiyo hiyo ndio feedback yangu
 
Mukandara naona unapenda san bisha uonapo ID yangu.Ila kiukweli hujui usemalo.Money laundering ni kosa lenye sheria kamili na kali sana.Na watu wafanyao hii kazi pia wana mitandao yao a kazi yao ndio hiyo na hulipwa kwa hilo.Ulichosema ni kwamba tataizo lilikuwa huyu jamaa aliyekuwa kaitaka tuma hela akakwama ,a hakuna alichofanyiwa kisheria.Which means kuwa tataizo hakuwa huyu jamaa ila ni route aliyokuwa akipeka hela ilikuwa imefungwa.Wewe usemalo kuhusu kupelekea alqaeda ni kipande tuu cha money laundering schemes zifanyikazo duniani.Hii inaonyesha kuwa hii sehemu usiyoijua sana.Labda tuu nikuambie ktk vitu nimekuwa na interest navyo sana ni operations za FBI na money laundering na jinsi ina affect uchumi wa nchi.

Malezeo yangu kwa mtu simple ataelewa ila kwa mtu uliyechanganywa na vitu vingi ni ngumu kupata concept.Muna mwingi unaangalia nani kasema na si nini kimesemwa.FBI hata CIA huwa kila issue awanazozifuatia lazima wahakikishes ushahidi unajengwa kwa kiasi wanaweza jihaminisha kuwa wanashinda na si kuja ipishwa hela.Na kama ushahidi haujafikia wapo tayari ku lobby "target" yao iendelee fanikiwa na mambo hadi siku ushahidi mkubwa uatakapojitokeza.Kama huyu jamaa alikuwa ndie target basi hiyo hela angeweza tuma bila shida,tena watu wangine wasiokuwa target wangegomewa.pengine wewe hujawahi jiuliza kwanini kuna watu wanapata shida sana kupata visa na vigezo vingi vya kitabia na nini wapo safi,ila wale ambao hata kwa muonekano,matendo na maneno hawaipendi USA wanapata, na baada ya muda wanakutwa na mikasa.HUjawahi jiuliza inakuweje mtanzania anayeishi illegally ktk US anatoka na kwenda Italia, Brazil n amzigo na asumbuliwi wakati wengine kosa dogo tuu wanakuwa depoted.

Mukandala blah blah acha na ukubali issue inaweza kuwa imeshanukia vibaya na itakuwa mbaya sana kabla hizi siasa vuguvugu na za kinafiki sijui zisizofungamana na upande wowote huku sivyo hazifa rasmi hapa kwetu.hatufungamani naupande wowote huku tunaongea na palestina na Iran na kuweka balozi zao wakati Israel hatujawa nao?Huu uchambuzi wenu nadhani somewhere muuache vijiweni na vilabuni.
Mkuu wangu sijakufuata ila wewe ndio umekuja kunifuata na Ubishi wa FBI kama vile unafanya kazi huko. Unachosoma ktk magazeti au vitabu nakwambia sivyo maana mimi naisjhi ktk maizngira ya FBI na CIA bado huataki kuamini sasa nisieme nini?

Nimekwambia kutuma fedha ktk nchi zilizokatazwa huwezi kukamatwa maana sio kosa kumtumia mtu wako fedha isipokuwa wao huchukulia baadhi ya watu kuwa wakisiwa fedha hizo haziendi kwa ndugu zao ila zinaenda kusaidia makundi ya Ugaidi. Na wala hakuna sheria inayofuatilia watu wanapotuna fedha zao isipokuwa wanachokifanya ni kuzia tu mtu asitume au kufungia shirika linalotuma fedha nje. nakumbuka lipo moja la Wasomali wakishi Seattle lenye connection Toronto, Detroit na New York walifungiwa biashara toka wakati wa Bush kwa kukisiwa kuisaidia Al Shabab.

Ila yapo makosa ambayo FBI na CIA wanaweza kufuatilia zaidi ikiwa unajihusisha na UGAIDI wenyewe au biashara haramu iwe unga silaha, money laundry n.k maana hii ni wewe sasa unajishughulisha toka ndani lakini sio mtu unapotuma fedha nje. Kwa hiyo fikiria hivi. Aliyewekewa Vikwazo ni Tanzania au Iraq sio wewe mkosa, hivyo hawawezi kukukamata wewe kwa kupeleka fedha Iran ila watakuzuia kama wanavyozuia exports to Iran... FBI hawawezi kumuachia mtu apeleke export mali zake hadi Iran ili wamkamate sijui wapate ushahidi - Hapana wanakuzuia toka mwanzo kupeleka mali Iran...Am I clear now?
 
UPDATES: leo nimekwenda katika the same bank X nikajaribu kutuma kwa kutumia MoneyGram aliniambia hawezi jua kama wamebloc nayo au vipi ila nijaze form then nikapeleke. nilipopeleka form zangu akafanya process zote mpaka alipofika mwisho wakati wa kutuma ikakataa tena kwa hii bank X ndio wameshablock transfer money to Tanzania.

Basi hapo nikawa sina unanja moja kwa nikaenda kwenye Western union sasa nitatumia Post office siyo benki nikafanikiwa kutuma pesa Tanzania ila kama ujuavyo Western Unione ni expensive compared normal bank transfer.

Sikuishia hapo nikatoka nikaenda Bank Y kujua kwamba hii issue ipo na benk nyingine LUCKLY huku hawajatublock nimefanikiwa kutuma pesa huku nikasema nijaribu hata kutuma hata pesa kidogo ili kujua kama safi...ni kweli nikatuma pesa na muda wa masaa kama 4 au 5 hivi napata SMS toka benki ya Bongo kwamba pesa imeingia katika akaunt yangu...kwahiyo hiyo ndio feedback yangu
Mkuu wangu wapo jamaa hata huku kwa sababu wana majina ya kiarabu yote wanapata taabu sana kutuma fedha TZ kwa sababu wanakisia fedha hizo haziendi kwa walengwa. Ni jambo la kusikitisha sana lakini ndivyo ilivyo ktk National security hawa jamaa wanaweza kukukisia na wakakuzuia kutuma fedha. Hivyo wanachofanya jamaa zetu ni kutumia watu wengine kutuma. Hivyo inawezekana kabisa ikawa jina lako ndio sababu lakini hakuna sheria ilopita kuzuia utumai wa fedha TZ maana unaisaidia familia yako. Acha hiyo kuna mshikaji wangu Mu Iran yeye anatuma fedha Iran kama kawaida tena anasafiri kila mara kwenda kwao, majuzi tu katoka kufunga ndoa kwao iwe leo TZ jamani?.
 
Kama mnakumbuka tulisajili meli za wairan....nimeona kitu kinatokea kuna baaadhi ya nchi sasa hauwezi kutuma pesa Tanzania..hii kitu imenitokea mimi hapa kama wiki moja iliyopita huku Ughaibu nilikwenda kutuma pesa bongo wakaniambia siwezi tuna pesa tanzania kwa kuwa wametu-block pamoja na wairan....ilibidi nishangae kwa kuwa nimeshatuma mara nyingi tu kwa kutumia benki hiyo hiyo kama miezi michache iliyopita. sasa hii kitu imenishangaza sana na nilipojaribu fikiria kidogo nikakumbuka hii issue ya kusajili meli za wairan inawezekana sasa wakubwa wameshaanza kuweka vikwazo


Inawezekana umeblockiwa wewe kama wewe na siyo watanzania na Tanzania
 
Mkuu wangu sijakufuata ila wewe ndio umekuja kunifuata na Ubishi wa FBI kama vile unafanya kazi huko. Unachosoma ktk magazeti au vitabu nakwambia sivyo maana mimi naisjhi ktk maizngira ya FBI na CIA bado huataki kuamini sasa nisieme nini?

Nimekwambia kutuma fedha ktk nchi zilizokatazwa huwezi kukamatwa maana sio kosa kumtumia mtu wako fedha isipokuwa wao huchukulia baadhi ya watu kuwa wakisiwa fedha hizo haziendi kwa ndugu zao ila zinaenda kusaidia makundi ya Ugaidi. Na wala hakuna sheria inayofuatilia watu wanapotuna fedha zao isipokuwa wanachokifanya ni kuzia tu mtu asitume au kufungia shirika linalotuma fedha nje. nakumbuka lipo moja la Wasomali wakishi Seattle lenye connection Toronto, Detroit na New York walifungiwa biashara toka wakati wa Bush kwa kukisiwa kuisaidia Al Shabab.

Ila yapo makosa ambayo FBI na CIA wanaweza kufuatilia zaidi ikiwa unajihusisha na UGAIDI wenyewe au biashara haramu iwe unga silaha, money laundry n.k maana hii ni wewe sasa unajishughulisha toka ndani lakini sio mtu unapotuma fedha nje. Kwa hiyo fikiria hivi. Aliyewekewa Vikwazo ni Tanzania au Iraq sio wewe mkosa, hivyo hawawezi kukukamata wewe kwa kupeleka fedha Iran ila watakuzuia kama wanavyozuia exports to Iran... FBI hawawezi kumuachia mtu apeleke export mali zake hadi Iran ili wamkamate sijui wapate ushahidi - Hapana wanakuzuia toka mwanzo kupeleka mali Iran...Am I clear now?
Angalizo.Kwenye red si rekebisha, kwani laundry na laundering ni vitu tofauti.

Aisee mimi sisomi magazeti tuu, nasoma pia na report toka ktk mitandao yao, na departments za US+documentaries za operations mbalimbali.Nadhani tutaelewana hapo.
Unachoongea hapa si personal, ni jamii ya watu na nchi nas i huyu jamaa.Logically ukifikia kunyimwa huduma kama mtu basi una kosa linalotosha kushitaki.Ila sasa hiyo ya mtu wa dini au muonekano fulani si personal.

Ila unachojaribi sema hapa ni kama vile sheria ya money laundering haina mkosaji.Mtu asiye na kosa katika money laundering ila anahisiwa kwa hisia kuwa akituma zinaweza ishia katik mtandao wa kuhamisha hea haramu basi huyo huzuia tuu,bila kushikwa,ila yule ambaye anaonekana kuwa ndani ya mtandao unaotuma hela huku akijua kuwa anafanya hivyo kutorosha hela huyu huwa kuna sehria ya kutambaa naye.Na hili US wamejaribu shawishi nchi nyingi sana kuweka sheria yake.Nakumbuka hapa bongo Mh Freeman ndiye alikuwa mtu wa kwanza washtua magamba kuwa hiyo ni sissue ila hawakutia maanani sana.Ila kipindi cha Mwinyi wahindi na waarabu walitorosha dollar nyingi sana.Ktk scandle la kuhamisha hela toka urusi kwenda US kipindi cha kubifsisha mali za umma,master planners wote na walioshirikian nao walipigwa miaka.
 
UPDATES: leo nimekwenda katika the same bank X nikajaribu kutuma kwa kutumia MoneyGram aliniambia hawezi jua kama wamebloc nayo au vipi ila nijaze form then nikapeleke. nilipopeleka form zangu akafanya process zote mpaka alipofika mwisho wakati wa kutuma ikakataa tena kwa hii bank X ndio wameshablock transfer money to Tanzania.

Basi hapo nikawa sina unanja moja kwa nikaenda kwenye Western union sasa nitatumia Post office siyo benki nikafanikiwa kutuma pesa Tanzania ila kama ujuavyo Western Unione ni expensive compared normal bank transfer.

Sikuishia hapo nikatoka nikaenda Bank Y kujua kwamba hii issue ipo na benk nyingine LUCKLY huku hawajatublock nimefanikiwa kutuma pesa huku nikasema nijaribu hata kutuma hata pesa kidogo ili kujua kama safi...ni kweli nikatuma pesa na muda wa masaa kama 4 au 5 hivi napata SMS toka benki ya Bongo kwamba pesa imeingia katika akaunt yangu...kwahiyo hiyo ndio feedback yangu

Nadhani hii ni proof kuwa tatizo halikuwa wewe,ila something targeting a bigger community.
 
Wala hilo sidhani kama linahusiana na meli za Wairan, Inategemea hizo pesa zimetumwa kwa njia gani? au umesahau kuwa kuna sheria ya money laundering? ukitumia njia ya kawaida iliyozoeleka kama pesa hazitoki uingereza na nchi za Scandinavia lazima itatumika muda mrefu. Ila pia inategemea kiwango cha pesa, kama una ngo mazee na ukapata kiwango kinachozidi 2m$ lazima uzitolee maelezo na hesabu zake uziweke wazi na hii inafanyika hapahapa kwetu nenda benki kuu ukahakikishe. la sivyo anekutumia mwambie atumie SWIFT, achana na porojo za mitaani
 
kama unatumia wasomali kwanini zisifike?

Wasomali walikuwa na kituo pale Kariakoo jijini Dar kupokea pesa zinazotumwa toka mataifa makubwa, na mtu unachukua madafu yenyewe iwe ni $$$ na kadhalika.

Serikali imefunga huduma hiyo ambayo ilikuwa inawafaa wengi, na papo kusaidia wanadiaspora kuingiza pesa home kusaidia uchumi, kama kuna ubaya wa seriakali ya tanzania ni mabaya mengi yasiyo kifani. Bora kuiondoa tu haina manufaa kwetu kabisa bali matumbo yao walio na nafasi kubwa sirikalini.
 
Angalizo.Kwenye red si rekebisha, kwani laundry na laundering ni vitu tofauti.

Aisee mimi sisomi magazeti tuu, nasoma pia na report toka ktk mitandao yao, na departments za US+documentaries za operations mbalimbali.Nadhani tutaelewana hapo.
Unachoongea hapa si personal, ni jamii ya watu na nchi nas i huyu jamaa.Logically ukifikia kunyimwa huduma kama mtu basi una kosa linalotosha kushitaki.Ila sasa hiyo ya mtu wa dini au muonekano fulani si personal.

Ila unachojaribi sema hapa ni kama vile sheria ya money laundering haina mkosaji.Mtu asiye na kosa katika money laundering ila anahisiwa kwa hisia kuwa akituma zinaweza ishia katik mtandao wa kuhamisha hea haramu basi huyo huzuia tuu,bila kushikwa,ila yule ambaye anaonekana kuwa ndani ya mtandao unaotuma hela huku akijua kuwa anafanya hivyo kutorosha hela huyu huwa kuna sehria ya kutambaa naye.Na hili US wamejaribu shawishi nchi nyingi sana kuweka sheria yake.Nakumbuka hapa bongo Mh Freeman ndiye alikuwa mtu wa kwanza washtua magamba kuwa hiyo ni sissue ila hawakutia maanani sana.Ila kipindi cha Mwinyi wahindi na waarabu walitorosha dollar nyingi sana.Ktk scandle la kuhamisha hela toka urusi kwenda US kipindi cha kubifsisha mali za umma,master planners wote na walioshirikian nao walipigwa miaka.

Marekani wako makini katika kuthibiti money transfer, inategemea pesa zinaenda wapi. Kuna mataifa ambayo unaweza kutuma kiasi kukubwa kidogo, lakini mataifa mengine huwezi kutuma pesa zaidi ya $3000 ni kwa mfano tu.

Kuna wanaotumia mbinu za kusafiri na cash, lakini idara ya customs wako makini kupekua kila aingiaye na kutoka kama ana kiwango kikubwa cha pesa. Pamoja na ukaguzi huo unaulizwa kama una pesa kiasi kinachovuka $10,000. Hii yote ni kuthibiti uvushaji na uingizaji wa pesa chafu na zile idara chafu za kigaidi kufadhili watu wao.
 
Hamna cha Iran wala Tanzania, kuna vijimambo more localized than that.

Tuambie uko ughaibuni nchi gani na unatumia benki gani/ check cashing place hiyo tuifuatilie.

Mbona Moneygram watu wanatuma hela bongo sana tu mtandaoni?
 
Wasomali walikuwa na kituo pale Kariakoo jijini Dar kupokea pesa zinazotumwa toka mataifa makubwa, na mtu unachukua madafu yenyewe iwe ni $$$ na kadhalika.

Serikali imefunga huduma hiyo ambayo ilikuwa inawafaa wengi, na papo kusaidia wanadiaspora kuingiza pesa home kusaidia uchumi, kama kuna ubaya wa seriakali ya tanzania ni mabaya mengi yasiyo kifani. Bora kuiondoa tu haina manufaa kwetu kabisa bali matumbo yao walio na nafasi kubwa sirikalini.

Hela ya msomali haina faida kwa uchumi wetu ndugu yangu.Wao wanapokea hela wanakupatia hela ya madafu kwa rate ndogo, halafu dolar wanaweka katik rambo inakwenda somalia.Haibaki BoT au katika bank zetu.Yaani kutuma hela kupitia msomali isipopokelewa kwa currency husika basi umeshiriki money Laundering Mazee.

Na record yako nzuri huko ughaibuni inakuwa msaada mkubwa kwao,kwani wasingeweza tuma wao na pia bongo wasingeweza uziwa dollar nyingi katk bureau de change nyingi kwa kiwango wanachoweza kusanya kwa hii njia..
 
Hamna cha Iran wala Tanzania, kuna vijimambo more localized than that.

Tuambie uko ughaibuni nchi gani na unatumia benki gani/ check cashing place hiyo tuifuatilie.

Mbona Moneygram watu wanatuma hela bongo sana tu mtandaoni?
Endelea kuuchapa usingizi.
 
Marekani wako makini katika kuthibiti money transfer, inategemea pesa zinaenda wapi. Kuna mataifa ambayo unaweza kutuma kiasi kukubwa kidogo, lakini mataifa mengine huwezi kutuma pesa zaidi ya $3000 ni kwa mfano tu.

Kuna wanaotumia mbinu za kusafiri na cash, lakini idara ya customs wako makini kupekua kila aingiaye na kutoka kama ana kiwango kikubwa cha pesa. Pamoja na ukaguzi huo unaulizwa kama una pesa kiasi kinachovuka $10,000. Hii yote ni kuthibiti uvushaji na uingizaji wa pesa chafu na zile idara chafu za kigaidi kufadhili watu wao.

Yeah, kila nchi ina kiasi cha chini na exceptions zake...hata bongo tuliwahi pata shida tuma ada ya mtu chuoni US.Palihitajika muda fulani in advance +vielelezo.Tofauti ni uwezo wa nchi kubana mianya, na Nchi nyingine kuwa na mahusiano ya kizuri na nchi tofauti kwa hiyo hufungua milango kwa malengo fulani ya nchi ,na inzi nzo wanapitia hizo njia hadi wanafika ktk destibation na kuzikusanya tena.
 
Endelea kuuchapa usingizi.

Sasa mie nnayetuma hela na hao wasioweza kutuma hela hawajui hata sababu wanasingizia Iran nani kauchapa usingizi?

Kama Iran ingekuwa issue mie ningewezaje kutuma hela?
 
Tz imeblokiwa kwa madeni walionayo. wacheni propaganda za kipuuzi sisi tuko hukuhuku ughaibuni na tunatuma pesa kwenda Zanzibar kama kawaida msiwadanganye watu kwa kisingizio cha Iran.

inawezekana unatuma toka Commoro au toka HIZBU huko Oman. Hapo haina shida.
 
Hela ya msomali haina faida kwa uchumi wetu ndugu yangu.Wao wanapokea hela wanakupatia hela ya madafu kwa rate ndogo, halafu dolar wanaweka katik rambo inakwenda somalia.Haibaki BoT au katika bank zetu.Yaani kutuma hela kupitia msomali isipopokelewa kwa currency husika basi umeshiriki money Laundering Mazee.

Na record yako nzuri huko ughaibuni inakuwa msaada mkubwa kwao,kwani wasingeweza tuma wao na pia bongo wasingeweza uziwa dollar nyingi katk bureau de change nyingi kwa kiwango wanachoweza kusanya kwa hii njia..

Tatizo hilo tunalo watanzania, lakini nchi jirani kama Kenya zinakubali mpango huo mzima, kwani pesa zikifika watumiaji kwa kiwango kikubwa wataiacha pesa hiyo kule bureau de change ambao nao huzifikisha bank kuu. Labda wasichoona ni faida kubwa kwenda kwa mlalahoi badala ya bank kuu na mabank kufaidi faida yake lakini hawako makini kuangalia mzunguko mzima wa pesa hiyo.

Watu wanatumia Kenya na Uganda kutuma pesa kutumia mtandao huo kwani zitakufikia madafu yenyewe uyafanyie upendavyo kwa rate unayotaka kuliko hawa wa western union ambao wanakumba nyingi tu kwa rate kubwa tu ambayo hata serikali haiambuli vya kutosha.

Diaspora ndiyo inayosaidia nchi nyingi kama huko Ufilipino walioko nje kama Marekani ni waingizaji wa pesa nyingi kwa mtindo huu na husaida sana uchumi wa nchi, lakini kwetu tumetanguliza maskini asipate nafasi, lakini ingekuwa wakubwa ndio wanaonufaika moja kwa moja mtandao huo ungelindwa kwa nguvu ya ziada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom