tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Chadema ni chama ni chama cha Wakatoliki, na Padre Slaa ndiye Padre Mkuu wa chama hicho. Mbinu za Padre Slaa ni kuleta Ukatoliki wake zaidi ndani ya Serikali. Chadema bora kifutwe kabla Counter-Attack kutoka haijaanza kazi yake.
Angalia Somalia, Pakistan, au Iraq. Kama Chadema kitaendelea kuwepo basi ujue kabisa nchi itaingia ktk vita vya wenyewe kwa wenyewe. Kwa sababu, Waislamu hakubali Padre Slaa awe Rais.
mmhhh,kazi ipo watanzania wenzangu!! hata wakati wa mapinduzi ya zanzibar, kulikuwa na watu/vikundi vya watu na hata vyama vya siasa vilivyopigania sultani abaki simply because walikuwa wananufaika na tende na halua za mwarabu likewise huyu jamaa yetu!!
so, kama CDM wakimtoa Slaa (PhD) asigombee urais wala asiwe na cheo chochote na badala yake wamsimamishe muislam na hata running mate awe muislam, mtakubali??? i thought you go for material and delivery, kumbe udini???!!! kazi ipo kweli kweli!! katika mapambano, wapo watakaobaki nyuma kwa u-slow wao au kwa kupinga kwao ila vita ikishinda WOOOTE wana-join furaha!! so ngoja sisi tumtoe mkoloni mweusi then tutakula wote matunda ya ushindi.